Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nawasalimia kwa jina la JMT. Kunahitajika wakili au mwanasheria wa mambo yanayohusu mazingira, Kibaha, mkoa wa pwani. Kuna kiwanda kipya kabisa, kimejegwa ubavu kwa ubavu na makazi ya watu...
1 Reactions
1 Replies
223 Views
Naomba msaad juu ya aina za uraia km zilivyo ainishwa katik(Tanzania Citizenship Act, No. 6 of 1995 and its Regulations of1997) maa nashindwa kumjua yupi mtanzania wa kuzaliwa kisheria na yup...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
USIOMBE YAKUKUTE WE KAPUKU SEGEDANC YAKO Korti yamwachia mtoto wa Keenja na Happiness Katabazi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ilimwachiria huru mtoto wa mbunge wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Je, mke wangu akiwa hai nikaandika wosia bila yeye kuweka saini kwenye wosia, wosia huo utakuwa halali au batili? Naomba case law inayoelezea scenario hiyo.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau naomba msaada wa ushauri wa kisheria. kabla ya utaratibu wa mashamba ya kijiji kipindi cha Nyerere tulikuwa tukimiliki mashamba makubwa huko kijijini kwetu msoma. baada ya utaratibu wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwezi Ulopita Nilinunua Nyumba 50M Kutoka kwa Mama Mmoja. Tuliandikishana kwa Mwanasheria, lakini kipindi tushafanya malipo na tunaelekea kusaini mkataba wa mauziano aliomba apewe siku 2/3 za...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Kesi hii iliripotiwa Tarehe 17 July, 2014. Mchungaji Christopher Mtikila amefungua kesi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kumshitaki Askofu Mkuu wa Kanisa laAnglican Tanzania Dk. Valentino...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
Msaada wajuzi wa sheria. Nina kesi mahakamani ilikua zamu ya kutoa ushahidi upande wa (A) mlalamikaji kaleta shahidi ambae amesema uongo mahakamani na kala kiapo. Ushahidi wa yeye kusema uongo...
2 Reactions
15 Replies
471 Views
Naulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike, Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
0 Reactions
9 Replies
411 Views
Masada wakubwa kuhus filter mechanics ni kozi inayohusu nini haswaa na ina upana gani kwenye ajira
1 Reactions
1 Replies
212 Views
Inasemekana: Kwa Sheria ya Tanzania, hakuna mtu anayeweza kumiliki ardhi. Anaweza kupangishwa tu, labda kwa kipindi cha miaka 99. Kwa Sheria za Tanzania, Rais ndiye "mmiliki" wa ardhi yote...
1 Reactions
19 Replies
782 Views
Shemeji yangu alikuwa anaishi/amepanga kwenye nyumba za shirika la uma. Kutokana na matatizo ya kiuchumi alichelewesha kodi ya pango na hivyo shirika lile likamvunjia mkataba wa upangaji na kumpa...
3 Reactions
34 Replies
922 Views
Habari za shughuli ndugu zangu, Naombeni mnishauri kwa jambo hili ambalo naona nalazimika kulifanya, nilipata msiba kwa kufiwa na mke wangu wa ndoa mwanzoni mwa mwaka huu, baada ya mazishi kuna...
31 Reactions
250 Replies
10K Views
Msaada inakuaje pale mtu anapoingia ofisini (WEO) au (VEO), ghafla baada ya kupewa utaratibu anaotakiwa kuufata anaananza kumtukana kiongozi huyu. au hata kwenye mkutano kiongozi kutukanwa...
1 Reactions
8 Replies
990 Views
Mahakama Kuu ya Tanzania masijala kuu ya Dodoma imebaini upendeleo katika muundo wa Kamati ya Taifa ya Maadili ya Mawakili (National Advocates Ethics Committee) baada ya Wakili Peter Madeleka...
1 Reactions
4 Replies
393 Views
Mjumbe wa mtaa kaniletea barua ya wito naitajika kwa afisa mtendaji. Barua imeandikwa naitajika kwa 7bu ya kutolipa ela ya takaa Nimeshindwa kujua kwanza mm ni mtumish wa serikalini pia nipo...
1 Reactions
7 Replies
299 Views
Wakuu habari, Nilitaka kujua ikiwa unafanya mapenzi na binti aliye chini ya umri wa miaka 18 kwa hiyari yake na tayari alishazaa huko nyuma kuwa ni kosa kisheria au la, na kama ni kosa adhabu ni...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Wakuu Mimi umri wangu ni miaka 44 mpaka nafikia umri huu sijabahatika kupata mtoto wa ndoa zaidi ya kubambikiwa watoto wa nje ya ndoa, Mimi ni mjasiriamali japo pia ni mtumishi serikali katika...
7 Reactions
60 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu Wataalamu wa sheria , naomba kufaham faini anayostahili kulipa mtu wa boda endapo atakutwa na makosa ma nne Au mtu wa gari anayeweza kukutwa na...
0 Reactions
3 Replies
399 Views
Back
Top Bottom