Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Marehemu kafariki mwaka mmoja kabla ya kustaafu na akaacha mjane mmoja na watoto 6. Je mgao wa hayo mafao kisheria upoje?
2 Reactions
3 Replies
217 Views
Heri ya Mwaka mpya wana JF,Nilikuwa naangalia CNN Connect of the day kuna huyu Bwana alikuwa akiongea someni kipi kilichompata.Mtu anaweza kuhukumiwa kunyongwa wakati akiwa hana makosa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ward tribunal kwa sheria ya sasa (mabadiriko ya 2021) wanafanya mediation. Swali langu ni hili: Mediation ikishindikana, nani anapewa certificate ya ku certify failed reconciliation. Je ni yule...
1 Reactions
5 Replies
291 Views
Wafanyakazi 30 watimuliwa wakidaiwa kutoa mawasiliano ya siri kwa Gazeti la MwanaHalisi KUTEKWA, kupigwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Chama cha Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka...
5 Reactions
150 Replies
16K Views
mens rea Dictionary Definitions from Oxford Languages · Learn more noun Law the intention or knowledge of wrongdoing that constitutes part of a crime, as opposed to the action or conduct of the...
2 Reactions
6 Replies
504 Views
Habari za jioni waungwana Kabla sijafanya maamuzi haya, naomba kupata ushauri kutoka kwenu. Nataka siku moja niingie mahakamani, hasa mahakama kubwa, nisikilize kesi na shughuli nyinginezo za...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari za majukumu.... Naomba kufahamishwa kuhusiana na sheria inayohusu malipo kwa mfanyakazi pindi anapoingia mkataba na mwajiri wake. Hapa nazungumzia pesa ya kujikimu tu inauotolewa mwanzo wa...
1 Reactions
0 Replies
275 Views
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina. Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15. Nimekuwa nikichukuwa...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Je, kuna msaada wowote wa Kisheria (ikiwemo kuwekewa mwanasheria na serikali) kutoka Taasisi za Serikali kwa Watuhumiwa ambao hawana uwezo wa kulipia Wakili binafsi?
4 Reactions
7 Replies
618 Views
Habari Wana JF, naombeni msaada wa kisheria. Mwajiri wangu alinivunjia mkataba bila kunipa barua yoyote yakuniachisha kazi, nilipewa kesi ya wizi ambapo alinipeleka polisi, lakini hakupeleka kesi...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Nilikuwa najua kumtuhumu mtu kwa mauaji au mambo mengine mfano fisadi, jambazi n.k akienda mahakamani ni kesi ya madai tu kumbe inaweza kuwa kosa la jinai pia kama anavyoshitakiwa ExMayor
3 Reactions
5 Replies
446 Views
Naomba msaada wa kisheria, je nina uwezo wa kisheria kama mtu binafsi kufufua kesi ya ugaidi iliyo kuwa inamkabili Freeman Mbowe, Mohamed Ling'wenya, Halfan Bwire na Adam Kasekwa ambayo...
1 Reactions
10 Replies
504 Views
Unapoandaa affidavit au kiapo unatakiwa kuapa juu ya mambo ambayo yako kwenye ufahamu wako binafsi tu. Soma Order XIX rule 3(1) Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai (CPC) inasema...
0 Reactions
5 Replies
684 Views
Habari za muda huu wana JF, Naomba kwa wataalamu wa sheria hasa zile za mikataba ya ajira mnisaidie hili swali,Je,ni utaratibu wa kisheria mtu kufanyiwa probation mara mbili yaani miezi mitatu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
MWENENDO WA KESI YA WAKILI FATMA KARUME NA ILIPOFIKIA Habari, leo nakuletea UPDATE YA KESI YA WAKILI FATMA KARUME a.k.a. Shangazi, jinsi ilivyoanza, jinsi alivyosimamishwa Uwakili kwa muda na...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama inavyojieleza Mfano upo kwenye ndoa na mke wako lakini kutokana na masuala mbalimbali ya kimaisha hasa ajira mnaishi mbalimbali kwa muda mrefu na mwisho kuwa na migogoro ya hapa na pale...
3 Reactions
19 Replies
655 Views
Habari za muda huu wakuu! Kuna mtu amejenga nyumba yake mahali tulipomzika baba yetu mzazi na alikuwa anajua kuwa mahali pale amezikwa mtu na alishiriki wakati akiwa kijana kumzika mzee wetu...
3 Reactions
84 Replies
1K Views
Habari wadau humu JF,naomba kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu mwenendo kwa kesi yangu ya traffic ambapo huu ni mwezi sasa toka niambiwe kesi imeisha na msababisha ajali kukutwa na hatia...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Najua humu ndani pia wapo makauzu waliovurugwa na wenye stress zao juu ya ugumu wa maisha hasa ukizingatia kama magari aina ya mashangingi, ma cruiser, na ma fortuna STN Yananunuliwa kila...
0 Reactions
7 Replies
349 Views
Back
Top Bottom