Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jamani polisi wamechukua vitu vya ndugu yangu na wanadai apeleke risiti vitu hivo vimenunuliwa mda sana naomba kwa wazoefu wa sheria au aliyewahi tokewa na tukio kama ili alifanyaje had akavipata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mwajiliwa mpya, napenda kujua kuhusu malipo ya Overtime, holidays, weekend na Nighty duties.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu wajuvi wa mambo ya sheria au yeyote anaye jua. Elimu yangu ni Diploma (Clinical officer) nahitaji kufungua kitua changu binafsi kwa ajili ya kutoa huduma ya afya. Napenda kujua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutokana na tukio lilitokea juzi baada ya Adam Malima kupishana lugha na Askari pale masaki, na askari kuamua kupiga risasi juu Kamanda amesema kwamba kitendo hicho cha kupiga risasi ni sahihi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi Kama una ndugu, jamaa au rafiki ambaye anafanya biashara ya kuuza bidhaa. Lakini ghafla anakuita anakwambia kwamba ana biashara Kubwa ambayo itahitaji kupitia kwenye akaunti ya benki. Kwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za jioni ? Nilikuwa naomba msaada wa mali za baba yangu kwa sababu ndugu zangu naona hawana mpango wa kufatilia. Nifupishe kidogo hii habari yangu, mwaka 2006 baada ya baba kuachana na mama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanakijiji wa kijiji cha momela wamepigwa mabomu kwa kuweka pingamizi la TANAPA kuweka mpaka kwenye mashamba ya wanakijiji na kudai kuwa ni sehemu ya national park, na mgogoro huo umekuwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Je? Polisi, mwanajeshi, TISS, Mbunge, DC, RC sio watumishi wa umma?
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Naomba msaada wa maelekezo namna ya kukata rufaa toka mahakama Kuu kitengo cha ardhi kwenda Court of appeal. shitaka lilianzia mahakama ya wilaya kitengo cha ardhi (land tribunal). Kuna vitu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau wa sheria Naomba kujuzwa sheria za Tanzania kama zipo ambazo zinanilinda katika vipengele vifuatavyo a)Kama mtu/watu wanafuatilia mienendo yangu kupitia namba yangu simu.Hapa naamnisha mtu...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Habari za kazi wataalam wa sheria kwa jina niite mtu nguvu napatikana katika mkoa wa Kigoma. Kuna swala moja la kisheria nilikua naomba ushauri baada ya 2003 baba angu kushinda kesi yake katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau mambo vip naomba kuuliza ukiwa Na rb inakuwa invalid baada ya mda gan tangu uandikishe
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimemwandikia barua ya malalamiko katibu tawala mkoa dhidi ya MKURUGENZI,nataka kujua sehem zipi sahihi naweza kupeleka nakala?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza kabisa pokeeni salamu zangu ninyi nyote wana Jf. Ninaomba kuuliza ikiwa sisi wananchi tunaweza tukaipeleka serikali mahakamani kuidai fidia juu ya kupewa huduma na watu walioajiriwa na...
0 Reactions
5 Replies
849 Views
Wadau naomba kujuzwa Juu ya Kesi ya Mauaji ya Msanii Steven Kanumba iliyokuwa inamkabili Msanii Elizabeth Michael " LULU" iliishia wapi? Ni muda mrefu sijaisikia kuendelea.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar wadau,nauliza iv km umeoa na mke umemweka kwenye bima ya afya,mkaja kuzinguana je unauwezo wa kumtoa na kumweka mke mpya,mwongozo plsee
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina panga nyumba na miaka 3 sasa kwa mwenyenyumba. Sasa gafla kanitumia message na kupandisha kodi kwa sms. Nikamjibu hali ni mbaya na haitowezekana.... amekaaa kimya. sasa nimeenda kwake haelewi...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Habari zenu waungwana. Kama kichwa cha habari kilovyo. Ninaomba kujua ni hatua gani za kisheria naweza kuzichukua kwa watu wananizushia kwa lengo kunichafua. Hili suala limeniumiza kwa muda...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom