Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hellow wanajukwaa, naombeni ufafanuzi kwa wanaojua sheria ipoje juu ya hili; unapokuwa umefungua kesi mahakamani juu ya masuala ya ardhi, inatokea mtu uliyemshitaki ameomba kufuta kesi, je ni vitu...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Wakuu, nawatumia hukumu ya Babu Seya iliyotolewa jana ili muweze kuisoma na ikiwezekana kuijadili. Nawasilisha.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu Kinahusu Kosa Kuu (Core Crime) Dhidi ya Rais na Dola ya Tanzania. Ifahamike Kwamba, Rais Akishaapishwa (Uwe Hukumchagua au Ulimchagua), Uwe Unampenda...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
OUR LAWS (Tanzania laws) ALLOWED TO GET MARRY TO UNDER 18 YEARS WOMAN FOR SOME CIRCUMSTANCE. "People were asking me on the age of Sasha Obama that she has born on 2001, due to the Following...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977 67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba tuungane kusoma yanayowasibu ndugu zetu Kuna familia moja ambayo mpaka sasa ina watoto 6 wengine wameshatangulia mbele za haki ambao...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu habari za mchana na poleni kwa majukumu. Nimeajiriwa kama mwalimu katika shule moja inayomilikiwa na kanisa. Mnamo tarehe 07/04/2017 mkuu wa shule alitutaka tufike kazini japo ilikuwa ni...
1 Reactions
49 Replies
12K Views
Habar zenu wakuu. Miaka7 iliyopita nlikua na mwanamke tuliishi nae na tukapata watoto wawilii lakini ndani ya uhusiano huu pia tulienda kwa shehe tukafunga ndoa ili tupate cheti kwasababu hyu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Naangalia taarifa ya habari Azam Two, nakutana na habari ya bodi ya mikopo (Heslb) yaburuzwa mahakani na mmoja wa walalamikaji akishirikiana na mawakili wengine. Note:Jamani mkomae hivyo hivyo...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwema wana jamvini Mh. Kariuki sheria haiko general kiasi hicho na imekusudiwa isiwe hivyo sababu miaya ya makosa na ingekuwa mingi kama ilivyotaka kuwa. Kwa mfano wakuu wa mikoa wilaya na...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Wanasheria tusaidieni, Kairuki anaweza kushitakiwa kwa kupindisha sheria makusudi?
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Atapata staiki .zake.....??
0 Reactions
2 Replies
558 Views
Matamshi ya Mh. Waziri Angela Kairuki yamenichanganya mimi na naamini Watanzania wengi pia wameshituka. Ni kweli Katiba yetu inasema ili mtu awe kiongozi wa kisiasa analazimika tu kujua kusoma na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari, Tunahitaji kuuza nyumba ya marehemu baba yetu iliyoko Mbeya. Nimeshauriwa kuandaa hati ya maelewano ambayo tutamia kusaini watoto wote ambao ni warithi wa hiyo nyumba. Nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Habari, Nilikuwa nahitaji mwongozo wenu kwenye hili. Tuna nyumba yetu Mbeya ambayo tumerithi toka kwa baba na mama baada ya kufariki. Tupo kama 6 hivi watoto. Kabla ya hapo kulikuwa na...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Sec 120 of the PC condemns Fraudulent acts , Civil servants in particular, let us see how Politicians henceforth including Provincial commissioners are exonerated from the act?
0 Reactions
1 Replies
571 Views
Habari zenu naomba msaada wa sheria, Mi ni mama wa mtoto mmoja, baba wa mtoto kipindi cha mwanzo alikataa mimba akaja kuikubali ila hakutaka kuwa n mimi. Matumizi kwa mara ya kwanza hakutoa badae...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi, naombeni msaada kidogo. Je nikitaka kufanya application kwenye baraza la ardhi na nyumba (wilaya) ya stay of execution as well as extension of time to set aside exparte...
2 Reactions
1 Replies
997 Views
Wadau habar. Nipo katika mchakato wa kununua eneo linamilikiwa kimila (unsurveyed area) search natakiwa kuifanya wapi tofauti na village land registry? Msaada jaman
0 Reactions
2 Replies
908 Views
Back
Top Bottom