Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habarini wanajamvi, Nina cousin wangu alipata kuajiriwa na International Organization moja hapa Tanzania kama Consultant kwanza na baadae kama muajiriwa wa kawaida. International Organization hii...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa kisheria ndugu yyangu ameachishwa Kazi kwa kosa lisiloeleweka a me hang any I kids afanyeje? Nilikuwa ni ivi wafanyakazi waligoma siku ya tar 21 murch ila yeye aliingia night...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita, 2016. Nilifanikiwa kusomeshwa na bibi na mama,, Sasa nilitumia jina la Mjomba kuandikisha shule toka awali had form six, Mzee Wangu alifariki nikiwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba ushauri wako,usinitukane najua binafsi nimekosea nahitaji kutatua hili tatizo nini nifanye. Mimi ni mfanya biashara mwaka Jana mambo hayakuwa mazuri kwangu nilienda bank nikakopa milioni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/312e13567a8e79e7565b0948959c70a0.jpg[/IMG Nimeambatisha copy ya form ukiangalia heading yake inajieleza wazi. Mimi ni mmojawapo wa wahanga wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu namatumaini nyote ni wazima,mimi ni mtanzania nimemaliza form 6 mwaka 2013 na sasahivi nipo chuo muhimbili Environmental health,Swali langu ni juu ya ubadilishaji majina yangu ambayo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu nina matatizo makubwa hapa..ngoja niwape scenario halafu mnishauri,mwaka huu jana kama tarehe 24 december ambayo ni jumamosi nilipata cm rafiki yangu yupo kituo flan cha police ana matatizo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari? Naomba kujuzwa sheria inasemaje mbwa anapokula Mifugo ya mtu. Ni adhabu ipi inamkabili mwenye mbwa?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na huo ndiyo ukweli wenyewe ingawaje wengi wao wanaojiita Wanasheria labda hawalielewi hili, hakuna kitu kingine unachojifunza zaidi ya maisha ya Muingereza! Na ndiyo maana nchi zote...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
B is a resident of kwetu district in the internet region. He got married to D in 2010.In may 2014 D brought divorce proceedings in kwao district in computer region. The district court dismissed...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni msaada, nikitabu gani cha sheria kizuri kukisoma na ntakipata wapi. Ahsante
0 Reactions
5 Replies
1K Views
sijalipwa mshahara kwa muda wa miezi kumi,nimeacha kazi katika hiyo kampuni nikiwa bado nadi lakini mwajiri mbishi kulipa madai yangu akidai biashara ngumu ,naaminini si kweli) kwani kampuni bado...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
The ELRA ( Code of Good Practice ) Rules,2007
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Nimeajairiwa na sekta binafsi,mwaajiri anataka tuvunje contract by mutual separation without any justification of pure performance,anataka anilipe 5months,je ninaweza kuchukua hela hiyo halafu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Naomba kama case hii ilikwenda court of appeal mwenye judgement ya Court of appeal anisaidie. It is difficult to trace anyway, by chance it is possible to come across it!
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Wadau wapi nitapata chuo kinachofundisha law enforcement kwa level ya diploma
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Hi members! Kuna mtu alifungua kesi ya kudai Ardhi, tarehe 23/01/17 katika baraza la Ardhi la wilaya (DLHT) dhidi ya mtu anaemwita amevamia shamba lake. Wakati anafungua kesi hiyo Ardhi ilikuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna kesi nasikia mtu anashitakiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia. Hii imekaaje maana kama hajakusudia vp liwe ni kosa tena la kuua?
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Je kuna kikomo?(time limit) ya kudai au kulipwa fidia au inawezekana tu kulipwa au kudaiwa kwa muda wowote? Wadau wa sheria msaada Tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajf kuna jamaa yangu alikopa pesa kwenye bank flani ivi vinafanania kama saccos na alichukua muda wa miaka miwili hadi deni lihishe. Na mkataba wake ulianza desemba 2015 hadi desemba...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom