Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mahakimu walio wengi wa Mahakama za mwanzo huwa wagum kutoa nakala za hukumu na mwenendo wa kesi kwa sababu gani? Katika hali ya kawaida kama hakimu ametenda haki kwa pande zote mbili hakutakua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtoto wangu ambaye yupo kidato cha nne sasa mwaka jana alizushiwa kesi ya KUBAKA ktk mazingira ya ajabu sana. Tulienda na kesi mpaka mwisho ilitupiliwa mbali baada ya polisi ambao ndio...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Habari ya kazi wana Jf, naombeni ushauri kuhusu suala ambalo linamkabili jamaa yangu, iko hivi; jamaa yangu ni mfanyakazi wa bank private, pale kazini kwao palitokea tatizo ambapo kuna mteja...
1 Reactions
4 Replies
777 Views
Kumhukumu mtu kwenda jela na baadaye mtu huyo kushinda rufaa kunasababisha chuki zisizokwisha kwa waathilika wa hukumu hizo pamoja na wafuasi wao. Unasababisha mateso yasiyo ya lazima kwa mtu...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba Kuuliza Je WAZIRI NAPE anayo mamlaka kisheria Kuunda Tume ya Kufanya Uchunguzi dhidi ya Mtu ambae ni Presidential appointee, ambaye kimsingi wapo level moja. Tena Tume yenyewe inatoka chini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu?! Mie sina uzoefu sana na masuala ya sheria naomba msaada. Kuna mtu nilikuwa namdai nikampeleka polisi. Polisi wakaomba hela ya kumkamata kuwa ni hela la mafuta. Nikatoa mdaiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hakika ni mda sasa haya magari yamekuwa kero! Hivi hawa matraffic kutwa kukaa barabarani je haya magari hawayaoni yanavyovunja sheria. Yaani wao hata kama watu wako kwenye foleni kwasababu wana...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
1.Hvi mbunge wa kuteuliwa anaweza akaapishwa sehemu tofauti na bunge ikiwa kipindi cha uteuzi wake bunge halipo kazini. 2. Pia kama sikosei ninafahamu mtu hawezi kuwa waziri kama siyo mbunge...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada kama kuna mtu ana list ya makosa mbalimbali na faini anayopaswa mtu kutozwa pindi anapokamatwa maana trafic wanaonea watu kwa kutokujua nini haki zao
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Nimefanya kazi kampuni fulani ya TV, tangu 2012 mpaka 2014, nikaamua kuacha kazi 2014, mpaka sasa bado hawajapeleka michango yangu, nimejaribu kufuatilia PPF lakini hakuna jibu zuri ambalo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Niliuziwa kiwanja tukagonganishwa watu wawili huko simiyu,Mimi nikawa nimewahi kujenga nyumba pale baadae akaja mwenzangu na yeye anadai kauziwa,kumbe aliyemuuzia alishafanyaga ujanja mapema kabla...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
CAP 20 of Laws Criminal Procedure Act, 1985, RE 2002 SECT 23 PERSON TO BE INFORMED OF GROUNDS OF ARREST Any person who arrests another person shall, at the time of the arrest, inform the other...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF, ninaomba kuuliza kwa mwenye uelewa anisaidie kuhusu hili jambo.......nimesoma katika moja ya prospectus ya chuo kikuu huria cha Tanzania {open university} kuwa shahada ya kwanza ya...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
MSAADA WA KISHERIA DPP ,AG ,MAJAJI, MAHAKIMU,MAWAKILI NA WADAU WENGINE WA TAALUMA YA SHERIA. Wakuu naomba kufahamishwa kwamba sheria ya nchi yetu inasemaje iwapo ikibainika mtu au kikundi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwenu Wanasheria/ wasomi. Naomba uelewa wa kisheria kuhusu amri ya waziri Mwigulu alivyomuagiza IGP amkamate mtu aliyemtolea bastola Mhe. Nape. 1. Je agizo hilo ni amri halali? 2.Je IGP...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Watanzania tunaomba tafsiri ya kisheria kujua maana ya kashfa ikitofautiana na haki ya mwananchi kikatiba katika uhuru wake wa habbari na kujieleza kisiasa kiuchumi na kijamii!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maisha ni mifumo bila mifumo hakuna maisha. Mfumo wa hewa,wa chakula, wa damu na mfumo wa kutoa uchafu! Hata uoge namna gani au uwe na akili kiasi gani bila mfumo umekwisha na uhai wako lazima...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Heshima kwenu wadogo na wakubwa kwangu..!! Kama kichwa cha habar kilivyojieleza hapo juu naomba kujuzwa main objectives za custom union kwa general na kwa east africa community pia Nawasilisha...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Katika Uwasilishwaji wa taarifa ya Tume teule ya Waziri wa Habari, Michezo na utamaduni Nd.Nape Nnauye juu ya Tuhuma za Kuvamiwa Ofisi za Clouds Media ; Binafsi nimeguswa zaidi na Vipengele Viwili...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wasalaam wakuu Naomba msaada wa kisheria juu ya ajali ya gari iliyosababishwa na uzembe wa dereva, Kuna mtu kagonga gari ya jamaa yangu akiwa kwenye speed Kali ya 130+, Yani kaigonga na kuiharibu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom