Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Awali nimshuru mungu kunijaaalia uzima mimi na Aila yangu na wewe unaesoma uzi huu. Wakuuu katika nchi yetu ya tanzania lazima uwe na angalau Idear ya Afya na Sheria bila ya hivyo ww utakua ni...
1 Reactions
4 Replies
960 Views
OCHIENG': Why mediation is the best way for many to seek and
1 Reactions
0 Replies
643 Views
Umofia kwenu wakuu. Hapa karibuni kibanda changu cha biashara kilivamiwa mara mbili katika nyakati tofauti na kufanikiwa kuiba kiasi fulani cha bidhaa.Katika kutafuta wahalifu uliitishwa mkutano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninakesi na mtu fulani mahakama ya mwanzo. Nilimkopesha kiasi cha pesa kwa kuandikishiana, lakini sasa yeye anadai kwamba nilimkopesha kwa riba na analeta shahidi siku ya maamuzi ya kesi. Na huyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu naombeni msaada kwa manao fahamu sheria kuhusu kesi yangu talehe 1/1/2017.nilipigwa mapanga 3 maeneo ya kichwan na mgongon pasipo kujua kosa wala sababu na jilan tunae...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine...
4 Reactions
89 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinyosema. Baba yangu alikua ni mtumishi wa umma tangu mwaka 1981, aliendelea na kazi mpaka June 1999 alipata barua ya uhamisho kwenda kituo kingine cha kazi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina duka langu dogo tu maeneo ya Sakina Arusha la spare za pikipiki, ndio nimefungua juzi, sasa leo TRA wanapita mitaani wanadai leseni, mimi sikuepo nilikua nimetoka, sikufunga duka ila kuna...
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Tafadhali naomba kifungu cha sheria kinachoruhusu kuomba kibali cha mahakama kwa ajili ya kufukua mwil wa marehemu kwa uchunguzi zaidi. Nawasilisha tafadhali.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ndugu wana Jf, Taarifa kutoka Dodoma zinasema kuwa Jaji mstaafu wa mahakama kuu,Mwalusanya amefariki Dunia na kuzikwa jana hukohuko Dodoma. Jaji Mwalusanya atakumbukwa kwa mambo mengi hasa kesi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Dada yangu alinunua simu aina ya Samsung kwa mtu kaitumia kwa mda wa kama miezi miwili hivi then akaiuza....sasa juzi kuna watu wamempigia simu kwamba number yake ya simu ndo ilitumika kwenye...
0 Reactions
5 Replies
902 Views
Habari waungwana.. Nilikuwa na kesi pale CMA iliyo tolewa hukumu mwaka jana mwezi wa nane.. Upande wa pili waliomba revision kwa hiyo kesi ikaenda high court.. Sasa tangia wakati huo, jalada...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WAHESHIMIWA, NAOMBENI Tanzania Law Reports za mwaka 1983,84,85, na 86[emoji4] [emoji4]
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Uamuzi wa waheshimiwa Majaji 5 wakiongozwa na Kaimu Jaji Mkuu leo umeondoa utata juu ya rufani zitokazo Mahakama ya Kazi sasa rufani tajwa hazihitaji vibali za mahakama hiyo ya kazi kabla ya...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba mwenye mktaba wa kazi ( kazi kwa waajiliwa wa viwandani) naomba anisaidie kuupata. Nahitaji mkataba huo kwa ajili ya kuwasainisha wafanyakazi wangu sasa sijui huwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wale waliofukuzwa kutoka mahakama bila sababu, angalia sheria (case law) inasemaje at your rescue!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanasheria Msaada hapo jamani ----- Tumekuwa tukisikia fulani amepatikana na hatia ya kuua bila kukusudia au fulani ameua bila kukusudia, je unajua nini maana ya kuua bila kukusudia kisheria...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
13.-( 1) This section applies if a person knows or has reasonable grounds to believe that an investigation in relation to an offence under this Part is being, or is about to be, conducted. (2)...
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Wadau kama kuna mtu anajua naomba anifahamishe nini natakiwa kufanya kama maaskari wanakataa kutoa dhamana katika kesi ya madai kwa sababu mfungua mashtaka anakataa mtu huyo asipewe dhamana na wao...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina mama yangu mdogo anafanya biashara ya samaki huchukua bwawa la mtera na kwenda kuuza makambako lakini hivi karibuni amekumbwa na mikasa ya kukamatwa na askari wa Doria(sio maliasili). Jana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom