Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Je mahakama ya mwanzo hapa nchini zina uwezo wa kusikiliza shauri la mirathi ( probate and administration case) kwa mirathi inayohusu ardhi iliyosajiriwa( registered land)? Msaada wa kifungu cha...
1 Reactions
5 Replies
889 Views
Vijana wengi wajasiriamali wadogo wamefungua makampuni. Hakika wote waliofanya hivi wamefanya jambo jema linaloendana na wakati. Niliwahi kuandika wakati nikielekeza namna nyepesi kabisa...
2 Reactions
9 Replies
8K Views
hongereni na majukumu ya ujenzi wa taifa wakuu.ninaomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu mtu aliewahi kuajiriwa na serikali kisha akaachishwa kazi kwa madai ya utoro kazini,je...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Wanajukwaa naona baadhi ya vyuo sheria ni programme ya miaka mitatu na vingine ni miaka minne. Naomba kufahamu sababu ya hii tofauti
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeshtakiwa mahakamani kwa na mtu ambaye nilimkopa pesa kwa makubaliano ya kurejesha na riba ya 30% mwezi wa kwanza nikamlipa riba tu. Mwezi wa pili baada ya kuona sijamlipa riba yake + hela...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salam wakuu, Juzi kuna mdau alianzisha uzi juu ya watu wenye kuhitaji ufafanuzi na usaidizi katika sheria ya ardhi sasa naona mods wamefuta/wamehamisha na siuoni tena ule uzi na niliuliza swali la...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Je ni haki kisheria TRA kumchukulia mali mfanyabiashara ambaye hana leseni ya biashara?.
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Ikitokea umehukumiwa na Hakimu au Judge mwenye vyeti fake...HUKUMU itakawa NULL AND VOID... Maana aliyetoa huku hakustahili kusikiliza kesi??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sheria inasemaje kwa MTU anayemiliki ardhi kijijini? Mfano mtu anamiliki kiasi kikubwa cha ardhi kijijini akidai ni urithi Wa ukoo , wakati katika kijijini hicho hicho kuna watu hawaba ardhi kias...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina hitaj kuwa siraha kwajili ya ulinzi wangu na familia yangu nifanyeje ili niweze kupata
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya kumsikiliza Mh Rais kwa umakini na kwa tafakari kubwa nimeona kuna kasoro kubwa ambayo ipo katika sera na sheria zetu kama nchi hasa kuhusu masuala haya ya haki za jinsia Napenda niende...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa sheria naombeni ushauri wenu kuna mjomba wangu mwaka jana mwishoni aligongwa na basi la kampuni fulani akafariki papo hapo dereva akapandishwa kizimbani na kupigwa faini ya sh 50.000...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanabodi, Najua wengi wetu, tumehamanika na mjadala wa Escrow na Ripoti ya PAC, kwetu sisi wengine wenu, ile Ripoti ya PAC ya jana, tunaiona hakina kitu wala haina jipya bali ni sehemu tuu ya...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wengi wetu tumeshangazwa na Hukumu ya Majaji watatu wa Mahakama Kuu, Radhia Sheikh, Richard Mziray and Lugano Mwandambo, kwamba IPTL isijadiliwe Bungeni, na yale ambaye Uongozi wa Bunge umekuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natanguliza shukurani katika hili,nimeomba uhamisho wa mke wangu kutoka wilaya ya kilolo mkoani iringa kunifuata manispaa ya IRINGA,nikapewa ahadi ya kumuhamisha.Sasa kilicho tokea afisa elimu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mtu aliyesoma postgraduate diploma ya sheria open university anaeza pata nafas ya kusoma school of low?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habali hapo juu Mimi natafuta msaada wa kisheria namna ya kuwatupa lupango wababe wa vita, mafia, mafilimason, watemi kutoka kule kanda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Please can some one assist me ,who has more power between Attorney General against Minister of law based on constitution of united republic of Tanzania
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimejenga nyumba katika eneo ambalo halijapimwa na serikali, je naweza pata hati ya nyumba
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hapa nyumbani hii wiki ya tatu umeme umekatika.Kila nikienda Tanesco naambiwa Leo tutakuja kurekebisha tatizo.Lakini hawaji.Nifanyeje?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom