Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za week end wakuu, naomba msaada nilitaka kufahamu, ikiwa unataka kununua kiwanja kwa maandishi ya serikali za mtaa, je anayetakiwa kulipia garama hizo ni mnunuzi au muuzaji wa kiwanja na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana naomba mwenye traffic road act aniwekee hapa tafadhali.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mashtaka mengi ya kesi yamekuwa yakiandikwa kwa mtindo wa "Republic Versus Mshitakiwa", bila kutaja jina la hiyo Republic, kwa uelewa wangu, hata Kenya na China nazo ni Republic. Je, Mashtaka...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Anaomba ushauri wa kisheria; bwana Yesaya alifunga ndoa na mwanadada Iren miaka 4 iliyopita, ndoa yao ilidumu kwa miaka 2 tu kisha mwanamke akaondoka baada ya kutoridhiswa na tabia za mumewe...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
ninahitaji kufahamu kama kuna sheria inayoweza kumfunga mtu aliyemdharirisha ndugu yake wa damu kwa kufanya nae mapenzi. Kuna mtoto wa kike wa shangazi yangu(umri 19) alikuwa anakaa na kaka yake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada wa kisheria, nataka kuachana na mke wangu. Habarini za weekend magwiji wa sheria. Mimi ninaishi na mke wangu (bila ndoa kwani ni dini tofauti) kwa takribani miaka 4. Huyu binti sikuwahi...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwa kutumia jicho la ki-layman naona kesi ya My. Lema ya kawaida sana, sio kesi ambayo Lema akipewa dhamana either atahatarisha maisha yake au ya mtu mwingine yeyote. Swali ninalojiuliza Kwa kesi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Umezuka mjadala kua danadana ya dhamana ya lema nikuvuta muda ili muda uende na ifike miezi mitatu ubunge wake utenguliwe nikweli hii??
1 Reactions
9 Replies
2K Views
.......v
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu Nimeanzisha group la whatsapp kwa wale wanaohitaj msaada au ushaur WA Kisheria bure,, weka namba yako niku add
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Nifanye nini endapo hakimu anaonyesha kama anakukandamiza mbele ya mshitaki wako? Hancy
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Juzi nilikuwa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kufuatilia taarifa mbalimbali. Nikiwa pale nikasikia karani wa Mahakama akitaja majina Na kuelekeza kuwa waliotajwa kesi zao ziko Kwa mahakimu Kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama tunavyofahamu kuna wanaume wengi hukimbia majukumu yanayoendana na kuitwa baba huku mtaani akijisifu yeye ni kidume na kumuachia mwanamke mzigo wote wa matunzo ya mtoto. Je, kuwakata hela ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NO, He was an under performing Chief Justice EVER. He deserves no more
1 Reactions
0 Replies
712 Views
Naomba niulize, kwa mfano Raisi ameona nchi imemshinda hawezi jiuzulu mwenyewe kisheria? Kwani ni lazima amalize miaka mitano? Na kwa mfano akijiuzulu nani anakabidhiwa nchi? Raisi mstaafu wa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
naomba kwa mwenye kujua ni ammendment ya mwaka gani ime ammend sheria ya vileo ya mwaka 1968 ambayo inaonesha umri wa kuuziwa kileo ni miaka 18. Sheria ya mwaka 1968 inaonesha ni miaka 16.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari,kwanza kabisa Heri ya chrismas na mwaka mpya 2017 kwa wote.Kwa wale wenye kumiliki Website zilizosajiriwa au yeyote mwenye uelewa juu ya namna ya kusajiri website hapa tanzania naomba...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Wakuu, Habarini za majukumu nikiwatakia sikukuu njema ya Xmass na heri ya mwaka mpya 2017. Naomba niingie ktk mada kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba kujua haki zangu niwapo ktk kikao cha nidhamu...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wana jamvi. Kwanza niwatakie maandalizi mema ya 25. Dec. Kama mada ya hapo juu inavyosomeka naleta kwenu ombi nifafanuliwe muda unaokubalika kisheria chaguzi ndogo kufanyika baada ya...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…