Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba msaada wa kupata KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA 2003
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Date::4/21/2009 Serikali yatoa onyo kwa wabunge wanaoiba nyaraka za siri Na Kizitto Noya, Dodoma MBUNGE ambaye atakayebainika anatumia nyaraka za serikali kwa sababu yoyote ile...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu salaam. Mimi ni mhanga wa mikopo toka taasisi za kifedha ambapo niliposhindwa kurejesha mkopo baadhi ya Mali zangu ziliuzwa kwa mnada na dalali wa benki husika. Taratibu zote za mnada...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, nawawekea hii as an attachment an article on sedition law in modern democracy- experience from Malaysia. "ukitaka kumficha mtanzania kitu just put it in writing"!
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Let us share this to shed light on the above two laws, how the international community looks at it. Follow the link below. ====== A bid to rid Africa of criminal defamation, sedition laws The...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Wakuu, Kama nilivyotaja kuna bwana mmoja nilikuwa nafanya nae kazi lakini kutokana na kutokuwa mwaminifu nimevumilia siku nyingi kuusu utendaji wake wa kazi na hisitoshe alikuwa mtu wangu wa...
0 Reactions
5 Replies
972 Views
Imekuwa kana kwamba haupo kabisa! Au kana kwamba uliteuliwa ukiwa huna sifa! Mambo yafuatayo yanadhihirisha ninachokisema.: 1. Polisi baada ya kuwakamata watu kijinga kijinga, na kwa hoja za...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Nina ndugu yangu amekuwa Ni msumbufu sana kwa Jamii.Huyu bwana ameanza muda mrefu kuwa kero toka kwa ndugu zake hadi Jamii mzima inayomzunguka hapa kjjn. Tatizo lilianza Kama Miaka 14 hv...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(:(...
0 Reactions
2 Replies
838 Views
Hukumu ilisema Hakukusudia kuua! Mabomu ya machozi sheria yeke inasema huwa unapiga umbali gani toka kwenye target (for that matter waandamanaji) ? Yeye alikuwa umbali gani? Na nini kilimfanya...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana JamiiForum! Nina huzuni kubwa sana kwani baba yangu mzazi amekamatwa na police wakishirikiana na askari wa TANAPA na kuwekwa ndani zaidi ya wiki sasa bila ya maelezo yoyote yale ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, nahitaji kujua kuhusu kesi ya mauaji mfano watuhumiwa wa kesi ya mauaji wako wawili au zaidi. Inawezekana hukumu zinatofautiana, au wote watahukumiwa kifungo Sawa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naitaji kufahamu juu ya hukumu ya dereva aliyemgonga mtu na kumpotezea maisha?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi kwa mfano mheshimiwa Tundu Lisu alivyotoa dhamana ya shilingi milioni kumi. Hiyo pesa ndo ishapotea au inakuwaje.??? Msaaada please
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau mimi naishi na mtoto wa dada yangu, kwasababu dada yangu hana uwezo nilichukua jukumu la kumsomesha huyu mtoto, kwasasa yupo form four, jana kafukuzwa shule baada ya kugundulika ni mjamzito...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Ikiwa postmortem inarudiwa baada ya marehemu kuzikwa, Je nani anapaswa kushiriki? Na haki ya ndugu wa marehemu ni zipi ili kuhakikisha ukweli Wote kuhusu kifo cha marehemu una julikana?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mke wa kaka yangu amekuwa akifundisha shule ya sekondari Mgulasi,iliyopo manispaa ya Morogoro. Shemeji yangu huyu pamoja na kuwa wako 2 tu wanaofundisha fizikia shuleni kwao,lakini Mkuu wake...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
  • Closed
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi afike mahakamani kujieleza kwa nini asifungwe gerezani kwa kushindwa kutekeleza hukumu inayohusu...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
UMEWAHI KUKAMATWA NA POLISI BARABARANI? Je, umewahi kukamatwa na polisi wakati ukiendesha gari, pikipiki au baiskeli? zijue haki na wajibu wako ! Bila kufuata sheria na kanuni za usalama...
2 Reactions
26 Replies
44K Views
Wadau wa sheria msaada tafadhari.kuna huu utaratibu wa wakurugenzi kulipia gharama za masomo kwa watumishi walio makazini.Gharama za malipo zinatofautiana tofautiana kutoka Halmashauri Moja hadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom