Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hamjamboni nyote wanajamii wenzangu? Kwa nia njema kabisa naomba kuekeweshwa kuhusu mzamana. Je, baada ya mtu kuwekewa mzamana (pesa) mwisho wa kesi fedha hizo hurudishwa kwa mhusika? Kuuliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mtumishi katika idara ya elimu Bagamoyo. Nilikwenda kusoma baada ya kukataliwa releasing letter, mshahara umezuiwa kwa muda mrefu, niko kazini still mshahara wangu umezuiwa. Naombeni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naomba kuuliza je kisheria inakuwaje Kama mwajiriwa ambaye Hana mkataba akaamua kuacha kazi bila kutoa notisi ya mwezi mmoja kabla ya Siku ambayo ameacha laziness, 1. Je Mwajiriwa atawajibika...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Askari Polisi anaweza kuwa shahidi wa askari mwenzake kwa shtaka la kumzuia kutimiza majukumu yake ya kikazi.
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Mwaka Jana nilienda sehemu kununua shamba la kulima mpunga hvyo nilipofika nikaonyeshwa shamba nikawa nimelipenda ila Bahati mbaya mwenye shamba hakuwepo alikuwepo mtoto wake,niluamua kuacha kiasi...
0 Reactions
1 Replies
852 Views
Naomba msaada kujua kama mtu (Mdai) au mwakilishi wake kisheria anaweza pata nafasi ya kusimama na kumwambia jaji Mahakama kuu kuwa anataka kuiondoa yake ya madai , siku ya mention. Kwani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kutana na Dola Indidis, mwanasheria aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Kauli za uchochezi ni zipi?? Naomba niainishiwe ili nisiingie kwenye mikono ya dola.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kuna jamaa alinimbia anauza magari kwa kukopesha, ila natakiwa nimpatie advance ya laki 5.... nikampatia pesa na ajanipa gari mpaka leo, je naweza kwenda kumfungulia kesi na bahati mbaya...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Dear Members, I humbly seek your advise wide the legality of the monthly Saragambo exercise since it appears to be the area I reside in is being dictated by the Chairman. 1. Recently he...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki. Kwa kuwa Wakili Kibatala...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ambonyi, Kufuatia tukio lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo tulishuhudia Polisi wakitumia gharama kubwa kumkamata na kumsafirisha Tundu Lissu kutoka Singida mpaka Dar kwa ajili ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahan wapendwa naomba kuuliza hv mtu ukijidhamin mahakaman kwa hela baada ya kesi unarudishiwa helaa au inakuwaje tafadhali naimba nifumbue
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sijui kama wengi mmeshagundua kwamba kuna tatizo kubwa sana la mawakili weledi hapa nchini. Wakili weledi ni yule ambaye ukimpa kesi anaielewa kiasi kwamba ukishamaliza kumpa maelezo wewe...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau, ni sheria gani inahusiana na madawa ya kulevya na vitu vya aina hivyo.
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki. Kwa kuwa Wakili Kibatala...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisikia viongozi wengi wa serikalo na siasa hasa wa chama tawala wakitaka kumbana mtu unawasikia wakisema kwa mujibu wa sheria. Sijawahi kuwasikia wakinukuu kwa usahihi sheria yenyewe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nilikuwa na shida ya material ya LAND LAW na TORT , natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu, Naomba msaada wa kisheria juu ya jambo lililonisibu katika ajira nliokuanayo katika kampuni moja hapa Tanzania. Nimefanya kazi kwa miezi 7 katika kampuni moja na baada ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…