Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hamjamboni nyote wanajamii wenzangu?
Kwa nia njema kabisa naomba kuekeweshwa kuhusu mzamana.
Je, baada ya mtu kuwekewa mzamana (pesa) mwisho wa kesi fedha hizo hurudishwa kwa mhusika?
Kuuliza...
Mimi ni mtumishi katika idara ya elimu Bagamoyo.
Nilikwenda kusoma baada ya kukataliwa releasing letter, mshahara umezuiwa kwa muda mrefu, niko kazini still mshahara wangu umezuiwa.
Naombeni...
Naomba kuuliza je kisheria inakuwaje Kama mwajiriwa ambaye Hana mkataba akaamua kuacha kazi bila kutoa notisi ya mwezi mmoja kabla ya Siku ambayo ameacha laziness,
1. Je Mwajiriwa atawajibika...
Mwaka Jana nilienda sehemu kununua shamba la kulima mpunga hvyo nilipofika nikaonyeshwa shamba nikawa nimelipenda ila Bahati mbaya mwenye shamba hakuwepo alikuwepo mtoto wake,niluamua kuacha kiasi...
Naomba msaada kujua kama mtu (Mdai) au mwakilishi wake kisheria anaweza pata nafasi ya kusimama na kumwambia jaji Mahakama kuu kuwa anataka kuiondoa yake ya madai , siku ya mention.
Kwani...
Kutana na Dola Indidis, mwanasheria aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a...
kuna jamaa alinimbia anauza magari kwa kukopesha, ila natakiwa nimpatie advance ya laki 5.... nikampatia pesa na ajanipa gari mpaka leo, je naweza kwenda kumfungulia kesi na bahati mbaya...
Dear Members,
I humbly seek your advise wide the legality of the monthly Saragambo exercise since it appears to be the area I reside in is being dictated by the Chairman.
1. Recently he...
Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki.
Kwa kuwa Wakili Kibatala...
Ambonyi,
Kufuatia tukio lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo tulishuhudia Polisi wakitumia gharama kubwa kumkamata na kumsafirisha Tundu Lissu kutoka Singida mpaka Dar kwa ajili ya...
Sijui kama wengi mmeshagundua kwamba kuna tatizo kubwa sana la mawakili weledi hapa nchini. Wakili weledi ni yule ambaye ukimpa kesi anaielewa kiasi kwamba ukishamaliza kumpa maelezo wewe...
Turejee kesi ya serikali dhidi ya Kamanda Tundu Lissu ambapo mawakili wa serikali walitaka wakili Kibatala aliyekuwa upande wa Lissu awe shahidi namba 1 wa mshitaki.
Kwa kuwa Wakili Kibatala...
Nimekuwa nikisikia viongozi wengi wa serikalo na siasa hasa wa chama tawala wakitaka kumbana mtu unawasikia wakisema kwa mujibu wa sheria. Sijawahi kuwasikia wakinukuu kwa usahihi sheria yenyewe...
Habari za asubuhi ndugu,
Naomba msaada wa kisheria juu ya jambo lililonisibu katika ajira nliokuanayo katika kampuni moja hapa Tanzania. Nimefanya kazi kwa miezi 7 katika kampuni moja na baada ya...