Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

napenda kujuzwa wajameni, je mgombea ubunge akifungwa kifungo cha nje zaidi ya miezi 3 anakuA kapoteza au hajapoteza sifa za kugombe? msaada
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani learned brothers n sisters. Mimi ni layman kwenye mambo ya sheria. Naomba kujua nguvu ya partnership deed kisheria. Na ni sheria ipi ya tanzania inayoitambua. Naomba kiwasilishan
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu mimi ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni fulani. Tuko wakurugenzi kama wanne. Tatizo liko katika uendeshaji wa kampuni yetu ambayo ni Limited. Upeo wetu wetu umetofautiana na mara nyingi huwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba sana kwa wale wenye uwezo wa kuzipata na watuwekee humu jamvini sheria za uchaguzi za tume ya taifa ya uchaguzi ili tuzijue na pia tuongeze upeo wa kuzifahamu sheria hizo. Itatusaidia...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Afanye nini mtu aliyesimamishwa kazi ya Ualimu na anatakiwa apate haki gani kwa kipindi hiki?alienda kusoma bila ruhusa,Asanteni kwa michango yenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau mimi ni muajiriwa mpya katika halmashauri moja uku manyara... Nilikua natafuta mtu wa kubadilishana nae kazi ya afisa sheria ii kwenye halmashauri yoyote iliopo mwanza, shinyanga, musoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari, nilifanya biashara na mtu simfahamu nilikutana nae kwenye mtandao mmoja wa biashara eletronics, simu aliisifia kua haina shida yeyote ila nilinunua na kusahau kuitest memory card...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Polisi usa river arusha wanatusumbua
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Malkia wa pembe za ndovu kusalia korokoroni TZ Mwanamke mmoja raia wa China aliyekamatwa kwa makosa ya ulanguzi wa pembe za ndovu zenye thamani ya dola milioni mbili u nusu amenyimwa dhamana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tumekuwa na kipindi cha mgawo wa umeme mara kadhaa sasa. Wakati ni kweli kuwa service charge ni fixed, je kisheria ni sahihi kuchangia kitu ambacho huduma zake hazieleweki kwa neno la service charges?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mm nimesoma paka 4m4 lkn nikapata chet nataka nikasome sheria je ? Kama nikisoma sheria ukitowa kufanya kaz mahakamani na siasa je ? Kaz nyengine ni ipi ambay nitaifany ktokana na courze niliyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa tuıtion centres nzuri kwa wanafunzi wa sheria kupitia Open University.Kwa wote under&post graduate degree.Maeneo ya manispaa Kindonı au Posta.Tafadhali msaada.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba mnisaidie kitu,, mm nimemaliza kidato cha nne nikapata na cheti changu nikiwa ktk dini ya kikristo,, kwahiyo hata cheti changu kina jina la kikristo,,, kwa sasa nimesilimu na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanaJF. Naamini humu kuna wataalamu wa sheria. Mimi ni mwajiriwa nina zaidi ya miaka miwili kwenye ajira,sasa hapo nilipo nimekumbwa na matatizo kifamilia, nimeona bora niache kazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaSheria Naomba msaada juu ya watoto walionyimwa fursa za kusoma baada ya mzazi mmoja ambaye ni baba kumtelekeza mama na watoto lakini alipopatikana mfadhili wa kuwasaidia hawa watoto...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
wana jamii, kwenye facebook nikakutana na post moja iliyopo posted by reginald mengi (looks like fake account) praising online saccos. below is the link. now, according to our constitution who...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naomba kujua enabling provision ya kuweka kwenye chamber summons for that purpose
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Habari wanajamvi, ni matumaini yangu kwamba nyie ni wazima wa afya. Ninauhitaji wa haraka sana wa mwanasheria kutoka UDSM, kama upo huku jamvini tafadhali ni PM contact zako nitakutafata mara tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau nahitaji kubadilisha signature yangu. kutokana na kazi ninazofanya kwa sasa napiga signature nying mpaka nachoka, sasa nahitaji kuwa na signature simple tu nyingine.je kuna utaratibu gani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BVR Zanaswa dar zikiendelea na kazi ya uandikishaji katika kiwanda kimoja huko jijini dar es salaam source; magic fm je hii ni dalili gani? Source: facebook
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Back
Top Bottom