Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu habari! Nimetukaniwa Mzazi wangu, matusi ya nguoni, kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu! Aliyenitukana tupo naye mbali kijiografia. Yeye yupo mji mwingine mbali na mimi, wakati mimi nipo mkoa...
0 Reactions
69 Replies
7K Views
WHAT THE STATISTICS ACT 2015 STANDS FOR The recently enacted Statistics Act, 2015 has become a subject of discussion in the media and other forum. Unfortunately the line of argument by some...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu msaada kwa mwenye soft copies za labour rules aziweke hapa, nimekwama na shida nazo. Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wana jf niulize kitu mfano nipo unterior let say huku kigoma na nme kyuka hizi sheria bahati mbaya watanikamata vipi .?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wote wanaohusika, lawschool tanzania ipo matatani kutokana na mambo yafuatayo. 1. Kiwango cha udahili wa wanafunzi umekua mkubwa kufikia wanafunzi mia sita. 2. Ucheleweshaji wa matokeo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatafuta jinsi ya kumsadia mwenzetu. Mkataba wake wa kazi uliisha miezi kadhaa. Lakini aliyekuwa mwajiri wake bado anaendelea kumpigia simu kumtaka afike ofisini kuchukua document hii au ile...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzaniahas made tremendous economic gains by standards being made public by theTanzania government. But independent observers have identified a flawed foreigninvestment climate in agriculture and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana Jf Naomba mwenye uelewa na sheria ya ajira anisaidie. Pale ambapo mfanyakazi anakopeshwa mkopo wa ajira na mwajiri wake na dhamana inakuwa ni ajira.., ikatokea mfanyakazi huyo akafanya kosa...
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Habari wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza me ni mjasiria mali mdogo. Nimepanga chumba ambacho ndicho ninachofanyia biashara yangu. Toka mwaka 2013. Katika kipindi chote nilikua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tulisomewa shitaka Mahakamani mimi na wenzangu wanne, ila mimi naona kama sihusiki. Naomba msaada ni namna gani naweza weka Pingamizi katika kesi hiyo?!
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Waumimi wa dhehebu A(jina limehifadhiwa) walijenga jengo la ibada kwenye kiwanja cha mmoja wa waumini. imefikia hatua wameamua wote kuhamia dhehebu (b) akiwemo na mwenye kiwanja. Viongozi wa juu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kupanga, kujaribu, na kusaidia kuipindua serikali, ni kosa kisheria, je, mapinduzi yakifanikiwa, na wana-mapinduzi wakatwaa madaraka, je, kisheria hawa wana-mapinduzi wanaweza kushitakiwa?
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Nimejaribu kutafuta link ya hiyo Act bila mafanikio. Kuna mahali nilipata amendments tu na si Act kamili.Msaada kwa anaejua tafadhali. Nilipita site ya bunge pia bila mafanikio.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Asalaam wakuu na wanazuoni, Nahitaji mawazo yenu na ushauri wa namna ya kuipinga sheria yeyote ambayo ni mswaada uliosainiwa punde na raisi wa nchi fulani km Tanzania endapo mimi au makundi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kuhusu uhalali wa askari hawa kufukuzwa kazi kama ilikuwa sawa kwa maelezo haya;ilikuwa ni siku ya jumamosi askari polisi wawili walipata taarifa kwamba kunamtu mmoja alikuwa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Msaada jamani. Muajiri kamhamisha jamaa yangu tuliyeanza nae kazi January 2015 kutoka kituo kimoja kwenye kingine cha mbali tena hata bila posho yakujikimu wala ya uhamisho wala ya nauri na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa kifupi nilikariri darasa la saba so nilifanyia mtihani jina la mtu mwingine na jina hilo nimeendelea nalo katika level zote za elimu na kwa sasa nimwajiriwa serikalini kutumia jina hilohilo...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Habari wadau, Kuna nyumba imeachwa na marehemu baba yetu, mimi na ndugu yangu tupo wawili tu. Yeye amenizidi umri kama miaka 20. Nyumba hiyo amedai ni ya kwake na wala si ya baba yetu kama...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Nisaidieni wadau Gari langu lilikuwa bovu fundi mmoja akasema atalitengeneza kwa laki moja akaja kulitengeneza badae akaanza nunua spare hii mara ile tukakubaliana kuwa nikinua hizo spare gari...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom