Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kwa Wataalamu wa sheria, Tulinunua GO and RETURN ticket ya fastjet, leo tumefika airport wahusika waka zi print ticket zetu, then tukajipanga sehemu ya checkin, within ten minutes muhusika wa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa wale wa sheria kuna kesi iliisha recently nadhani 2012 ambapo mahakama kuu ili declare kuwa mgeni anaeweza kumiliki property. Naomba mwenye ruling ILE to share pse nafanya research in Real...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilikuwa na kesi na takukulu hukumu Yangu imetoka Jana nikahukumiwa kifungo Cha mwaka mmoja au kulipa faini nilicho kifanya nikalipa faini nikapewa zangu risiti nika bwaga cha kushangaza baada ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HABARI WANA JAMVI MIMI SI MTAALAMU WA SHERIA NAOMBA KUJUA NINI SHERIA INASEMA MTU ANAPOAMUA KUJENGA KWENYE ENEO LAKO BILA MAKUBALIANO YEYOTE. SISI FAMILIA, TUNA SHAMBA LETU JIRANI TUPO NA...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wana jf, naomba kujua kama kuna sheria yoyote inayo mlinda mfanyakazi aliyeajiriwa katika kipindi cha probation. Hii ni kutokana na kushuhudia lundo la watz tena wasomi walioajiriwa ktk...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba nitoe case study ya kesi ya ndoa ambayo imeamuliwa jana na baraza la usuluhishi la kata Taarifa muhimu - ndoa ya kimila - wamekaa zaidi ya miaka 7 - wana watoto watatu, wawili wana...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Ni hivi unaongea na mtu wa njia ya simu kwa kawaida halafu yeye anakurekodi baadaye anakurusha katika redio bila ruhusa yako. Na redio inayoongoza ni clouds fm katika kipindi chao cha XXL...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mjadala kwenye JF unaedelea kuhusu uhalali wa Poligamy (kuoa au kutooa na wake wengi). Nakuleteeni mawazo ya wanawake wa kiislam toka Uganda. Mahojiano haya yalifanyika mwaka April 2005...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, nimetakiwa kumsimamia mama mjane juu ya haki zake. Mama huyu aliolewa mwaka 1997 huko Mpanda na mume aliyekuwa na watoto wanne wakubwa. Baada ya mwaka mmoja mume aliyekuwa mfanyakazi...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau katika jukwaa la sheria naomba instruction juu ya hili maana naona sielewi Mwenye ufahamu anifahamishe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bwana James Ruge mmliki wa kampuni ya VIP Engineering anatuhumiwa kugawa mshiko unaosadikiwa ni rushwa kwa wajamaa mnaowasikia wa Escrow. Jana tumeshuhudia wengine watatu wakipelekwa mahakamani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, ametaka suala linalohusu majaji wa Mahakama Kuu, Profesa Eudes Ruhangisa na Aloysius Mujulizi, waliotajwa kupata mgawo katika fedha zilizochotwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF, mimi nilikuwa nafanya kazi na kampuni X kwa mda wa miaka miwili bila kuandikishiana mkataba wowote kisheria. nilikuwa nafanya kazi kwa makubaliano ya maneno ya mdomoni tuu na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Endapo serikali inahitaji kuwahamisha wananchi katika maeneo yao kupisha mradi' Inatakiwa ichukue muda gani kuwalipa waathirika baada ya kuwekewa X makazi yao? NB: Yeyote mwenye ufahamu na ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninandugu yangu mdada, amekuwa kwenye mahusiano na askari wabarabarani kwa muda wamiaka kumi sasa, hawakufunga ndoa lakini.. Ndugu yangu alikuwa naposition nzuri kifedha, alifanikiwa kusomesha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tafadhali naomba msaada, mdogo wangu amepoteza vyeti vya ndoa,(nakala zote 2) Je ni hatua gani anapaswa kufanya kupata vingine? Pease help.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wakuu? Katika kuboresha profession yetu hii inabidi tufanye juhudi binafsi, naombeni wanasheria hasa wa humu jamii forums tuchukue move hii. Ninawaomba wanasheria tuwe tukiweka humu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Napenda kujua na gharama zake pia nijue na namna ya kumpata huyo lawyer na utaratibu wake upoje maana nature ya kampuni ninayotaka kuianzisha ni partnership members.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Rafiki yangu alifiwa na baba yake mwaka jana kwa bahati mbaya alikuwa ni mtoto wa nje ya ndoa kwakuwa baba yake alikuwa na mke na mtoto mmoja wa ndoa...lakini aliishi na baba yake na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom