Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Salamu kwa wote, Jamani nilikuwa naomba usaidizi wa kimawazo kuhusu hii ishu. Apo juzi kati katika pitapita zangu mtaani nikiwa napita njia flani nikakuta watu wamefunga njia nikawapigia honi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za asubuhi ndugu wana JF, Nawasalimu katika jina la bwana mungu wetu. Nimekua nikisikia kuwa kisheria wanandoa wakitalikiana, wanaweza wakagawana mali walizovuna wakiwa pamoja, sijui hii...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Jaji Kiongozi Fakhi Jundu Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada jamani faini ya pikipiki kuingia mjini ni sh. ngapi? kwa Ilala? na inalipiwa wapi? Maana yangu imekamatwa naambiwa laki moja nilipie.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Basing on any contemporary issue in human right today, as a group briefly discuss your common thoughts on the matter.
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia. Mwanasiasa huyu amekuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali kwa kupitisha na kusambaza vitabu vyenye makosa shuleni. Picha ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matarajio ya wa Tanzania ni kuwa na wanasheria wengi kujaza nafasi zilizopo wazi, serikali kupitia LSRP walikujana wazo zuri la kuanzisha lst. Lakini kwa hayo yote mtazamo wangu hasa baada ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Basing on any contemporary issue in human right today, as a group briefly discuss your common thoughts on the matter.
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Haki inaelekea kutendeka kwa Marehemu mtoto Nasra (R.I.P) Ni baada ya mahakama ya Morogoro kuwashtaki wale walezi wake kwa kosa la mauaji. credit.Chanel ten.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu! Naitaji mawazo yenu, mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hapa Tanzania nilianza kazi mwaka jana kwenye mwezi wa saba nilipoanza kazi mwajiri alinipa form ya michango mafao PPF ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimefukuzwa kazi isivyo halali, na sijapewa chochote. Natafuta wakili wa kunisaidia au mtu yeyote mwenye uzoefu na kesi za ajira Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu. Nilikuwa kwenye safari trafiki wakampiga faini dreva wetu wa bus pale kibaha stand kisa alipiga overtake kwenye msitari iliyochorwa barabarani inayokataza overtake. Baada ya...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Wakuu, Mitandao ya simu imekuwa ikiwaibia sana wananchi, kwa mfano: unajiunga kifurushi cha muda wa maongezi wa dakika 90 au 170 lakini ukishaongea dakika ambazo hazifiki hata kumi ukijaribu...
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Mtu anapokuwa amefunguliwa kesi ya murder highcourt akawa aquited, halafu baadae akacommit theft nakushtakiwa district court . Je hakimu ana uwezo wakumnyima bail kwasababu alifawahi shitakiwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sorry great thinkers plz help to keep these words in swahili "MAJORITY RULE, and MINORITY RIGHT" thanks you all.
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Your views lawyers with authorities..
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hapa nchini, naishi na mama ambae kwa sasa ni mgonjwa sana tangu 2012. Kabla ya kuumwa kwake alikuwa na kesi ya madai ya mgawanyo wa mali dhidi ya baba...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za kazi! Kuna mfanyakazi alipata ajali lakini nje ya ofisi. Alikuwa position ya mlinzi, sasa alipewa likizo ya kuumwa ya siku 126 kama sheria ya ajira inavyosema. Siku zimekwisha lakini...
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Wanandugu. Nimebahatika kununua Banda lenye lesseni ya makazi Na Nataka kuirudisha kutoka umiliki wangu naomba kujuzwa taratibu Na gharama. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndugu yangu ni mtumishi baada ya kuhamishwa kituo cha kazi akapewa barua ya kutuhumiwa kuchukua pesa kituo alichotoka. Kabla hajakubali au kukataa akasimamishiwa mshahara wake. Je, afanyeje na...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Back
Top Bottom