Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Salamu kwa wote,
Jamani nilikuwa naomba usaidizi wa kimawazo kuhusu hii ishu. Apo juzi kati katika pitapita zangu mtaani nikiwa napita njia flani nikakuta watu wamefunga njia nikawapigia honi...
Habari za asubuhi ndugu wana JF, Nawasalimu katika jina la bwana mungu wetu.
Nimekua nikisikia kuwa kisheria wanandoa wakitalikiana, wanaweza wakagawana mali walizovuna wakiwa pamoja, sijui hii...
Jaji Kiongozi Fakhi Jundu
Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo...
Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia. Mwanasiasa huyu amekuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali kwa kupitisha na kusambaza vitabu vyenye makosa shuleni. Picha ya...
Matarajio ya wa Tanzania ni kuwa na wanasheria wengi kujaza nafasi zilizopo wazi, serikali kupitia LSRP walikujana wazo zuri la kuanzisha lst.
Lakini kwa hayo yote mtazamo wangu hasa baada ya...
Haki inaelekea kutendeka kwa Marehemu mtoto Nasra (R.I.P)
Ni baada ya mahakama ya Morogoro kuwashtaki wale walezi wake kwa kosa la mauaji.
credit.Chanel ten.
Habari zenu! Naitaji mawazo yenu, mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hapa Tanzania nilianza kazi mwaka jana kwenye mwezi wa saba nilipoanza kazi mwajiri alinipa form ya michango mafao PPF ili...
Nimefukuzwa kazi isivyo halali, na sijapewa chochote. Natafuta wakili wa kunisaidia au mtu yeyote mwenye uzoefu na kesi za ajira
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wakuu heshima kwenu.
Nilikuwa kwenye safari trafiki wakampiga faini dreva wetu wa bus pale kibaha stand kisa alipiga overtake kwenye msitari iliyochorwa barabarani inayokataza overtake.
Baada ya...
Wakuu,
Mitandao ya simu imekuwa ikiwaibia sana wananchi, kwa mfano: unajiunga kifurushi cha muda wa maongezi wa dakika 90 au 170 lakini ukishaongea dakika ambazo hazifiki hata kumi ukijaribu...
Mtu anapokuwa amefunguliwa kesi ya murder highcourt akawa aquited, halafu baadae akacommit theft nakushtakiwa district court .
Je hakimu ana uwezo wakumnyima bail kwasababu alifawahi shitakiwa...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hapa nchini, naishi na mama ambae kwa sasa ni mgonjwa sana tangu 2012. Kabla ya kuumwa kwake alikuwa na kesi ya madai ya mgawanyo wa mali dhidi ya baba...
Habari za kazi!
Kuna mfanyakazi alipata ajali lakini nje ya ofisi. Alikuwa position ya mlinzi, sasa alipewa likizo ya kuumwa ya siku 126 kama sheria ya ajira inavyosema. Siku zimekwisha lakini...
Wanandugu. Nimebahatika kununua Banda lenye lesseni ya makazi Na Nataka kuirudisha kutoka umiliki wangu naomba kujuzwa taratibu Na gharama. Natanguliza shukrani
Ndugu yangu ni mtumishi baada ya kuhamishwa kituo cha kazi akapewa barua ya kutuhumiwa kuchukua pesa kituo alichotoka. Kabla hajakubali au kukataa akasimamishiwa mshahara wake.
Je, afanyeje na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.