Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Habari wana JF,
Kuna hii kesi iliyotajwa hapo juu, inayohusiana na sheria ya madhara yanayowezakusababishwa na wazalishaji kama viwanda dhidi ya wateja wao.
Mwenye uelewa zaidi wa hii kesi...
Jamani naomba msaada nini nifanye, nimemwona aliyeniibia simu yangu kwenye kamera live. Sasa ofisi inaendelea kufuatilia information kupitia huyo dada aliyekuja naye.
Je, sasa hatua gani nichukue...
Mimi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nilichelewa kupokea nakala ya hukumu ya kesi yangu. Zimenifikia muda wa rufaa ukiwa umepita. Je naweza kufanya taratibu zipi ili kumudu kukata rufaa?
Nataka kujua, Je, wakati wa kipindi cha uchaguzi, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania huwa anabaki kuwa Rais au hujivua urais kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu?
Kwa sababu na yeye huwa...
Mkuu tafadhali nisaidie katika hili. Anafanya kazi katika kampuni ya mtu binafsi. Mtu huyu amekua na tabia ya kukosa nidhamu kazini mara nyingi kazini anakuja amelewa.
Mwajiri amechukua hatua ya...
Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) inawahoji watumishi kadhaa wa idara ya fedha waliohusika kuhizinisha malipo yasiyo halali ya Tsh 800,000,000/= (milioni mia nane) kwa kampuni ya...
Kabla sijaingia shule ya sheria nilikuwa nashangaa kuona wingu la wanafunzi wakifeli, lakini sasa baada ya kuingia nimeona kwa nini watu wanafeli. Sababu kubwa ni mrundikano wa masomo na ratiba...
Habari wana JF, nina rafiki yangu ana kesi mahakamani kwa tuhuma ya kushiriki katika tukio la wizi wa pikipiki tukio limetokea January mwaka huu yeye pamoja na wenzake wawili wapo nje kwa dhamana...
Habari za asubuhi wapendwa wana JF,
Kuna phrase hasa kwenye Law of Contract inaitwa Quid Pro Quo ikiwa inamaanisha Nothing goes for Nothing.
Kwangu mimi hii phrase nimekua nikiichukulia na utata...
Habari zenu wanajf.
Ni sababu zipi zinapelekea mtu kupoteza uraia wa Tanzania? Mtu amekaa nje ya Tanzania zaidi ya miaka 10 inaweza kuwa sababu uraia wake kupotea? Ni sababu zilipi zilizopo...
Wanasheria,
Nnavyo andika hivi nyumbani kunamgogoro mkubwa,mama yangu ni mjane,ambae marehem alimuachia nyumba na watt wawili kwenye ndoa.
Tofauti na hapo baba alizaa na wakina mama wengine...
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya taasisi zinawatumia wanasheria ambao hawajaenda law school wakati wameajiliwa muda mrefu na wamekuwa wakiomba kwenda kujiendeleza lakini hawapewi nafasi hiyo hata...
habari wadau naitaji kununua law reports kuanzia mwaka 1980-2011 je naweza zipata wapi na kwa bei gani kwa kila moja mwenye ufahamu tafadhali nijuze na mahala zinapo patikana tofauti na duka la...
Nina kesi ya ardhi ambayo imekuwa under litigation for 24 years. In the primary court, I won. On appeal, I lost and at the High Court, I won my appeal. My opponent on application for leave to...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.PICHA |MAKTABA
KWA UFUPI
Ni kuhusu pingamizi lililowekwa na Serikali la ama iendelee kusikilizwa au itupwe.
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana...
Habarii zenu wanajukwaa
Samahani ninaomba kwa yoyote atakaekua na any materials on corruption especially in an aspect whistleblowing protection both international and domestic.
Much regards..
Ndugu wanasheria niwekeni sawa kwa hili,
Kampuni yetu ina nyumba mjini, na mmoja wa wanahisa alikopa katika taasisi fulani na akaweka hati ya kampuni (bila makubaliano).
sasa mkopo hakumalizika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.