Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari zenu wandugu..mimi nimefungua kashughuli ka duka la reja reja. kwa kua nimekua ni mtu wa kutoka mara kwa mara nataka niajiri mtu kwa mkataba mdogo ili walau niweke mazingira ya ulinzi wa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Is the 26-year-old Tanzanian woman a victim of human trafficking or is she a liar who is trying to take advantage of a little-used section of the Immigration and Refugee Protection Act to remain...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Ndugu zangu naombeni msaada wa sheria inayohusu haki ya msimamizi wa mirathi baada ya mirathi kutoka. Mama yangu alipata mtu ambaye alijitolea kua msimamizi wa mirathi, lakini baada ya Mirathi...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Posted by GLOBAL on August 27, 2013 at 8:00am Na Waandishi Wetu VIGOGO 111 wanaosadikiwa kujihusisha na biashara yharamu ya madawa ya kulevya nchini wameanza kuonja 'joto ya jiwe' kufuatia...
1 Reactions
25 Replies
10K Views
Ndugu JF Family, Naomba mnisaidie, niko Mbeya kikazi japo pia ni nyumbani Gari la matangazo linapita katika maeneo yote ya mbeya na viunga vyake kutangaza ugawaji wa Viwanja vya Ujenzi eneo la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada wa sheria, kuna ujenzi w brbr wilaya ya nzega, waliorodhesha miti,ukubwa wa eneo wa brbr itpit. miezi sita htujalipwa hy fidia, juzi wmetumia viongozi w kijiji wawash wishi wakubri...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Ndugu wadau naomba kujua mtu akipatikana na hatia ya kughushi cheti kazini adhabu yake nini? Kuna jamaa yangu mmoja ametuhumiwa kwa kosa hilo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wa sheria naomba kujua ikiwa mwaka huu Rais JK akajiondoa CCM na kujiunga CHADEMA itakuwaje?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wana JF. Kuna mwalimu mmoja wa kiume ambaye amejitolea kufundisha kwenye shule moja ya sekondari inayomilikiwa na serikali. Siku moja aliitwa na mkuu wa shule na kuambiwa kwamba yeye ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi naomba kujua sheria inasemaje pale ambapo afisa utumishi wa wilaya amesomewa mashtaka ya ubadhirifu mahakamani lakini bado yupo ofisini.
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Hakika ukifikishwa ktk kituo kidogo cha polisi Lamadi wilayani Magu mkoani Simiyu, uwe na kosa kubwa au dogo utakutana na mkuu wa kituo hicho ambaye kashapewa jina la "laki" kutokana tabia yake ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jukwaa? Kuna jamaa yeye ni fundi magari (kunyoosha & kupiga rangi), anafanyia kazi zake ktk garage za mtaanii. Hivi karibuni alifuatwa ktk garage na jamaa anayemfahamu akimtaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
shkamooni! je nihalali kwa balozi furani anaye liwaklisha taifa furani katika nchi furani, kushiriki katika shughuli za kisiasa za nchi hiyo? kwa mfano kuhudhulia mkutano wa chama cha siasa
0 Reactions
2 Replies
691 Views
nimechaguliwa kujiunga na certificate ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam. naombeni kujua kama kuna utaratibu wowote kuhusu hostel. pia mnanishaurije hii coz ni nzuri kweli?
0 Reactions
4 Replies
6K Views
mimi ni nafanya kazi vodacom kama call centre agent katika kitengo cha customer care ila nipo chini ya requinment agency inayofahamika kama erolink amboyoimechukua tenda ya kuaili watu pale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mida hii niko kwenye tv hapa naangalia mambo yanavyo endelea huko kwenye mahakama ya kimataifa ICC huko The huge naona hawa mawakili hupande wa utetezi wamejipanga sana naomba kuuliza hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu yangu kahukumiwa tayali.tunataka tukate rufaa.kila tunapo omba nakala ya hukumu,tunaambiwa fail halipo analo hakimu aliye toa hukumu.je wapi naweza peleka malalamiko yangu?kabla ya mda wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, hivi mauaji ya albino Tanzania, yanaweza kuwa na sufficient ingredients za kosa la genocide ambalo limo kwenye sheria ya mkataba wa Roma (ICC statute) ili wat wanaooganise au kuua albino...
0 Reactions
2 Replies
820 Views
Back
Top Bottom