Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wakuu kwema?
Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.
Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu...
Kuna mkanganyiko kisheria katika mapambano dhidi ya ndoa za utotoni na ndoa kwa wanafunzi;
1. Sheria ya Ndoa ya 1971 inaruhusu binti wa miaka 14 na 15 kuolewa kwa ruhusa ya wazazi na mahakama...
Kwenu wanasheria.
Mpwa wangu alikuwa chuo akisoma shahada ya pili!
Kwenye kile kipindi cha giza alitolewa kwenye ajira kwa kisingizio kwamba alikuwa nje ya kituo cha kazi na kwamba muajiri...
Nikiwa kama mtumishi wa umma nilikopa NMB bank lakini kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nikafukuzwa kazi, hivyo marejesho bank mwajiri akawa hapeleki.
Baada ya miezi nane kutokana na...
Tofauti kati ya Dual na Second Citizen
Mtu anaweza kuwa na uraia wa nchi tofauti mbili (dual au Second Citizen) au hata zaidi ya hapo kama nchi ambazo ana uraia zinaruhusu mtu kuwa na uraia zaidi...
Jamani habari zenu humu ndani.
Mimi niko kwenye mausiano na baba mmoja na nina muda naye mrefu tu. Tulikubaliana tusizae ni kuhook up tu pekee, jana tulikutana na alininyanyasa I can say so coz...
Habari za humu jukwaani wakuu
Niende mojakwamoja katika mada ipo hivi Mimi ni mtumishi wa serikali ,ilikuwa mwaka 2021 mwezi wa tatu nilihitaji kwenda kukopa katika bank Y bas nikipigiwa hesabu...
Habarini wapenzi, naomba mnisaidie.
Kwa mujibu wa sheria kama wazazi wametengana na watoto akapewa mama awalee. Je, iwapo mama amebadili dini baada ya ndoa kuvunjika
(1) ni kosa kisheria?
(2) Na...
Kuna tukio nimelishudia kwenye moja ya Mahakama zetu huko Tanga!
Washitakiwa walikua wawili, mshitakiwa wa kwanza baada ya kusomewa Mashitaka yake ya Kugushi na kula njama na Wakili wa Serekali...
Habarini za usiku wependwa
Naomba msaada kwa anaejua ni utaratibu gani wa kufuata ili mtu aweze kuandika wosia aweze kugawanya mali zake na je.? Inawezekana kumrithisha mtoto wa kuanzia umri gani...
Hadi muda huu, hakuna mkataba wowote ambao umeshasainiwa kati ya TPA na DP WORLD
Vile vile hakuna mkataba uliosainiwa kati ya nchi yetu na Dubai, isipokuwa kilichosainiwa ni AGREEMENT kati ya...
Nina ndugu alipata ajali na kupata ulemavu wa kudumu na hiyo ajali alisababishiwa kwani dereva alihama upande wake na kumfata. Sasa chombo chake hakikuwa na bima na alienda kudai fidia yake kwani...
Nisiwachoshe wadau niende Moja Kwa Moja kwenye maada.
Mimi ni mtumishi niliyewahi kunifaika na bodi ya mikopo elimu ya juu, nikiwa chuoni. Mara baada ya kumaliza masomo yangu ya chuo nilipata...
Please assist a friend of mine who does not know about this.
I there a requirement to pay filing fees at the District Land and Housing Tribunal?
What does the law say about this and how much are...
Kitambulisho cha kitaifa hutumika kama hati muhimu katika nyanja mbalimbali za maisha ya mtu binafsi, kuwezesha upatikanaji wa huduma na fursa mbalimbali. Hata hivyo, hali ya sasa ya vitambulisho...
Wanasheria Naomba msaada
Mimi ni raia nimefanya muamala kutoka kwenye line yangu ya Vodacom kwenda Bank leo ni siku ya 5 huo muamala haujafika kwenye account yangu
Nimepiga simu sana bank...
Habari ya jumapili wakuu, baada ya kutoka kanisani acha nifanye utume kidogo kukumbushana haya machache ili kupunguza vilio na hasara.
Ninaamini kabisa kuwa utapeli katika masuala anuwai upo...
Nina miliki shamba kwenye Kijiji kimoja heka 30 ,Sasa nilihamishwa na kumuacha Kaka yangu aliangalie lakini pia kufanya shughuli za kilimo ,shamba Hilo nalimiliki huu mwaka wa nne ,mzee...
FAHAMU KUHUSU MAKOSA YA RUSHWA NA ADHABU ZAKE KWA MUJIBU WA SHERIA
SEHEMU YA NNE (4)
mr.georgefrancis21@gmail.com
Ni siku nyingine tena tunakutana katika muendelezo wa mada yetu ambapo hapa...