Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

#SheriaZetu Kwa mujibu wa Sheria ya Daawa "Law of Torts" - Mmiliki yoyote wa jengo huwajibika kwa kushitakiwa na kulipa fidia kwa madhara yoyote yanayoweza kuwapata watumiaji wa jengo husika...
2 Reactions
2 Replies
380 Views
Habari wanajukwaa.kuna deni la kiasi flan ivi cha pesa linanisumbua.nilipelekwa mahakamani.nikapangiwa kurejesha kias flani ivi kwa muda niliopangiwa sasa kila ikifika tarehe niliyopangiwa naenda...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mahakama Kuu Kituo cha Haki Jumuishi, (Masuala ya Kifamilia) Temeke leo Alhamis ya tarehe 25 Agosti 2022 imebatilisha makubaliano ya wasimamizi wa mirathi ya marehemu Reginald Abraham Mengi na...
11 Reactions
146 Replies
11K Views
Msaada tutani .... ipi nafasi ya mdhamini ikiwa kesi itafikishwa mahakamani ......... yaani ikiwa mmi nime mdhamini na mlalamikaji akasema kesi iende mahakamani mimi kama mdhamini wa mtuhumiwa...
1 Reactions
11 Replies
781 Views
Bahati nzuri siku hizi unaweza kuingia kwenye TANZLII and other law websites za nchi zote duniani ukasoma kesi zilizoamriwa. Kuna kesi unaona kabisa kuwa huyu Advocate ilibidi amshauri mteja kuwa...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa ufupi kesi ya kaka angu yeye ni machinga, aliuziwa simu na mtu baada ya kuitumia hiyo simu kama wiki mbili alikamatwa Kosa ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu...
14 Reactions
131 Replies
10K Views
Habari za muda wana JF. Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja. Jana watoto wa kakaangu walikuwa wanachunga ng'ombe huko kijijini kwetu.sasa kuna wanafunzi wawili wakawa wanarudi nyumbani...
0 Reactions
6 Replies
472 Views
Baada ya kifo cha Membe familia yake inaweza kudai pesa zake alizotakiwa kulipwa na Musiba kwa kumchafua au Musiba ndio anakuwa amepona na kuchomoka katika hayo madai ya kulipa pesa za kuchafua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
WAZIRI DKT. DAMAS NDUMBARO - SERIKALI INATAMBUA NDOA NI KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro imesema kuwa inatambua kuwa ndoa ni kati ya...
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Naomba kufaam soko kua soko kisheria linatakiwa kua na vigezo gani?
0 Reactions
3 Replies
468 Views
MHE. KHAMIS HAMZA KHAMIS - FEDHA ZINATUMIKA KWA KUSIMAMIA MIONGOZO Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis (Mb) akiwa katika kipindi cha maswali na...
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Ndugu zangu, habari ya jioni. Ninaomba ushauri wa kisheria. Mimi nakabiliwa na kesi ya (madai) ya kubumba ambayo mdai alishinda kesi na mahakama ikaamuru mdaiwa (mimi) nilipe deni ndani ya siku...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kisheria hii imekaaje. Mtu ana bodaboda ametoa kwa mkataba, ikatokea pikpik imeibiwa na aloibiwa sio huyo alokabidhiwa kwa mkataba ni mtu wa pili. Polisi wakafungua kesi ya jinai ambapo...
2 Reactions
8 Replies
894 Views
A decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate. Tuzo ya Mahakama ktk kesi za madai (za watu...
1 Reactions
5 Replies
529 Views
Sheria inasemaje Kwa mwanaukoo aliyekatalia kwenye kiwanja alichopewa na ukoo kuishi Kwa muda mpaka pale itakapoamriwa vinginevyo.
1 Reactions
14 Replies
846 Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikiskia sana kuhusu baadhi ya watu wakikamatwa na polisi na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha fedha. Wengine shughuli zao za kuwaingizia pesa ni za kawaida...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninapokashifiwa Mimi ninaumia mm pamoja na watu wangu, mke wangu, wanangu, wazazi wangu pamoja na ndugu na jamaa zangu. Kuna wakati baadhi Yao wanatumia sana kuliko hata Mimi niliyekashifiwa na...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
JF imebobea wanasheria nguli (excl Pasco anayejibu kwa hisia) katika sheria za jinai na madai. Watuelimishe, jee kama Mahakama imetoa hukumu na order ya kukamata mali za mdaiwa ili kumlipa mdai...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Anaandika Ibrahim Mkamba Inna lillahi wa inna lillahi raj'ughn, Bernard Camillius Membe ametutoka. Taarifa ilipopatikana tu, mara moja maswali yamekuwa mengi endapo sasa mtu aliyemdai hatalipa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
YAH: MWONGOZO (CIRCULAR) YA UTARATIBU WA UHAWILISHAJI WA ARDHI YA KIJIJI KATIKA NGAZI YA KIJIJI Mwongozo huu unakuja kufuatana na muongozo uliotolewa na Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya...
3 Reactions
1 Replies
6K Views
Back
Top Bottom