Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ni Mkuu wa Upelelezi aliyemnasa vibao, mateke na ngumi akiwa ofisini Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Lushoto Wilson Yona (35), amekiona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF: Naamini nyote mnakumbuka utaratibu n amatangazo ya kuboresha taarifa za kibenki kwa wale wenye akaunti zao. Naomba kuwakumbusha tangazo la NBC, pamoja na maelezo mengine benki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yule mtuhumiwa wa mauaji ya padre Mushi ameonekana hana hatia kwa mujibu wa DPP Zanzibar na kutaka jeshi la polisi limtafute muhusika. Habari na ITV saa 2
0 Reactions
44 Replies
6K Views
katika pitapita yangu mwezi uliopita nilikutana na kisa cha hawa jamaa wenye dhamana ya kukusanya ushuru wa maegesho ya magari jina la kampuni inaanzwa na P ,walimvamia dada mmoja kwenye gari lake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu...ni matumaini yangu weekend iko poa kwa upande wenu. kuna suala moja la kisheria ambalo ningependa kuomba msaada wenu, suala lenyewe ni kama ifuatavyo kuna bro wangu ambaye...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Tatizo la wananchi kujichukulia sheria mkononi sasa ni janga la taifa. Hali hii imeachwa kustawi, ikashamiri na sasa ni janga ambalo linamnyemelea kila mmoja wetu. Hakuna aliyeko salama. Ukiacha...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwenye mazingira kama ya tukio la jengo kuporomoka na kusababisha vifo; je familia zinaweza kuleta kesi ya "wrongful death"? Kuna Sheria Tanzania inaweza kusaidia hili na wapo wanasheria...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Baada ya mvutano wa kisheria kati ya jeshi la polisi na mwendesha mashtaka wa serekali hatimaye Omar Mussa Makame(mgombea ubunge kwa tiketi ya CUF 2010 jimbo la Raha Leo) Mtuhumiwa wa mauaji ya...
0 Reactions
73 Replies
11K Views
MAHAKAMA ya Mwanakwerekwe, Zanzibar imefuta kesi iliyokuwa ikiwakabili viongozi kumi wa Jumuiya ya Uamsho, visiwani Zanzibar. Mahakama hiyo, imefikia uwamuzi huo leo, wakati viongozi hao...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
WATUHUMIWA 11 WA GHOROFA LILILOANGUKA DAR WAFIKISHWA MAHAKAMANI... HABARI 2 MUHIMU: Hakimu aagiza mtuhumiwa wa wa mauaji ya padre Evaristus Mushi Hakimu wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Isaac...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Prof. M.Wambari, Chuo kikuu cha Dar es Salaam, ambaye amekuwa akitoa mchango mkubwa katika maendeleo ya sheria tanzania kwa muda mrefu, ni masikitiko makubwa sana kwamba hayuko hai tena. Prof...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwendesha mashitaka Zanzibar amerudisha faili polisi na kuwaambia wamtafute muuaji wa Padri Mushi,kwani aliyekamatwa sii muuaji.Tatizo linakuja katika sheria zetu kuhusu kuua na ushahidi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii imekaajae tumekaa pale Johannesburg hotel Sinza,tumekula tumekunywa baadae tunaletewa bill iloandikwa kwa mkono then tukaomba ile ya TRA,kilichotupata baada ya hapo ni kuitwa wahuni na meneja...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
wana jf salaam zenu,naomba kuuliza vipi huko tra zoezi la ubadilishaji leseni limeshasimamishwa mwisho wa mwezi march au bado linaendelea na huu mwezi april !!!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa,kwenye familia yangu kuna tatizo kubwa sana kati yangu na ndugu na kisa mafanikio yangu madogo wanataka kunitoa roho,kifupi kuna binti naishi naye nimezaa naye mtoto...
3 Reactions
51 Replies
5K Views
nimebahatika kumiliki kiwanja kwenye potential area hapa dar-es-salaam , ukweli ni kwamba serikali lazima ichukue hatua madhubuti sana ili kuzuia maafa mengine yasitokee, wafanyabiashara wengi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anaejua taratibu za kupata uraia wa Tanzania.. Jee kujua kiswahili sio sifa kuu ya kutunukiwa uraia wa nchi yetu tukufu..?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
heshima yenu wanajamvi! Poleni kwa majukumu mazito ya kuijenga nchi! Kwa kifupi nilikuwa nafanya kazi na taasisi binafsi, katika muda wote wa kazi sikuwah kuona au kusaini mkataba wa aina yeyote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakili Nyaga Mawalla wamjini Arusha amefariki dunia leo asubuhi jijini Nairobi alikoenda kutibiwa.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Askari wa Jeshi la Polisi, akimpekua padri kwenye eneo la kuingilia Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya mkesha wa sikukuu ya Pasaka juzi. Ulinzi uliimarishwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…