Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari zenu wadau? Naomba mnisaidie vifungu vya sheria na miongozo, taratibu zingine zinazotakiwa kufuatwa pale ambapo mwajiri anapokuwa ameweka mshahara bank (mara mbili ya ule anaotakiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unakwenda kwenye ofisi ya TRA ukiwa radhi kulipa kodi. Unakutana na mlolongo wa ukiritimba. Unasimama foleni benki kwa masaa mawili ili kuwapa fedha. Mazingira ni mabovu na watu wamejazana...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa namsikiliza Kikeke, akatoa taarifa ya jaji mmoja ambaye ametoa hukumu akitokea usingizini. Alipoulizwa kwa nini anatoa hukum akitokea usingizini, alisema yeye hakusinzia, bali alifumba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hoja yangu ya msingi nikwa nini raia wanaweka chuki na polisi wakati jukumu kuu la polisi nikulinda na kusimamia amani ya nchi ili ww raia uishi kwa amani
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimepata taatrifa kutoka Bukoba kuwa Wamekamtwa watangazaji wanne wa redi kasibante ya Bukoba Mali ya Kagasheki kwa tuhuma za utapeli,kughushi majina na kuiba kifaa cha kurusha matangazo live...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MILAN — A Milan appeals court on Friday vacated acquittals for a former CIA station chief and two other Americans, and instead convicted them in the 2003 abduction of an Egyptian terror suspect...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Sakata la biashara ya binadamu ambalo limeibuka kwa kasi nchini limeanza kufanyiwa kazi na serikali baada ya Jeshi la Polisi Kikosi cha Maji kuwatia mbaroni mawakala watano ambao ni wanawake...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa nakerwa kwa zaidi ya miezi kadhaa mtoto wa mdogo wangu wa kike aliyezaliwa mwaka 1980, ananisumbua kwa kunitumia sms za matusi na kunidhallilisha. Nimeomba msaada kwa binamu zangu watu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mume wangu ameniacha baada ya kupata mwanamke mwingine. Kwa miaka 17 tulifanikiwa kujenga nyumba 2 na kagari ka 1. Hivi sasa nyumbani haji tena amehamia kwenye nyumba yetu ya pili na huyo...
1 Reactions
1 Replies
963 Views
Ndugu zangu leo nilikuwa posta nikamuona jamaa kalewa huku akiyumba na kuchezea bastora yake, kisheria mtu huyu anakosa?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jaman nsaidien kesi bado mbichi npo police cjalewa ila kutokana na uchovu nmelala kwenye mataa na ktk wallet nina buku tano tu. police amenipeleka officin kwake. adhabu alali kwangu ni ipi?
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Takribani miezi minne sasa wahitimu wa tumaini university iringa wamemaliza chuo lakini cha kushangaza ela yao ya tahadhari hawajarudishiwa hadi leo ambayo ni shilingi elfu 50 kwa kila mmoja...huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Wakati lulu akiachiliwa kwa dhaman ana ponda kuendelea kusota jela na mahakama kushindwa kutoa maamuzi ya kina kuhusu kosa la ponda je hii imekaaje wana jf, mbona tunataka tufika siko na kufanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nilimaliza chuo 2003 nililipiwa na serikali bila mashart yoyote,mwezi huu board ya mikopo imeanza kunikata eti mkopo wa almost mil.4 mi hii board siijui wala skuwahi kuingia mkataba nao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wana jamii, mimi niliajiriwa mwezi wa tisa mwaka jana na kuachishwa kazi mwezi wa kwanza mwaka huu, kutokana na kudai kulipwa malimbikizo ya mishahara ya tangu mwaka jana. Barua ya...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Rais Yoweri Museven wa Uganda anapendekeza watu wanaofikishwa Mahakamani kwa makosa ya rushwa wasipewe dhamana ili kukabiliana na vitendo vya rushwa. Je na sisi tunaweza kuiga hilo?.
1 Reactions
0 Replies
906 Views
Heshima mbele!! Kuna baadhi ya taasisi za serikali siku hizi wana ajiri kwa kutumia mfumo wa ajira ambao wanauita CONTRACT OF UNSPECIFIED PERIOD. Ukiwauliza baadhi ya maafisa utumishi wanasema...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Taarifa ya habari imeonyesha kuwa huko Ulanga, Morogoro, polisi wamemuua mfugaji kwa kumpiga risasi na kisha kumpora fedha zake. Jamaa wa marehemu wamegoma kumzika hadi hapo uchunguzi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wataalamu wa sheria! Kuna colleague wangu, kaniomba ushauri yuko so desparate sana. Amezaa na mCanada ambaye mwanzo alikuwa anaishi nchini (mwanza), mtoto mmoja she is 8 yrs now...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…