Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Leo nimejikuta mikononi mwa polisi, miongoni mwa maswali yaliyonikela ni kuulizwa dini yangu. Kwa mazingira ya sasa swali hili inabidi lisiulizwe kwani udini unashika kazi na dini inaweza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya! napenda kufahamu kisheria kama kuna mtuhumiwa unamtafuta na una RB je kuna muda kisheria ambao umewekwa na ukipita hata ukimpata uwezi kumfungulia mashitaka? Asanten
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mi ni mfanyakazi wa kampuni GFI, kampuni inafanya kazi ya kuweka dawa kwenye mafuta ya diesel na petrol ili yasichakachuliwe, ipo chini ya EWURA, cha ajabu hawa wazungu huwa kila baada ya muda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taarifa nilizozipata punde yule dogo wa mbagala aliyekojolea quran na kuzua tafrani ya kufa mtu pande za mbagala ameachiwa huru. Imeonekana hana hatia. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Siyo tuu kwamba Mahakama ya Rufaa imemrudisha Mh. Lema bungeni. Bali pia kisheria, kuna kitu ambacho Mahakama ya Rufaa imekifanyia uamuzi. Nacho ni kwamba kuanzia leo hakuna tena wagombea...
16 Reactions
50 Replies
4K Views
ICT hubs are sprawiing all over EA to assist developers nurture and bring to market new apps. Wondering does copyright offer real protection against infringement- i am told copyright protects the...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Wakuu salaam, Polisi waliopelekwa Iringa mwaka jana kutoka mikoa ya jirani ikiwa ni pamoja na Dodoma, ili kuidhibiti CHADEMA wanadai kutolipwa posho yao! Waliahidiwa kulipwa 45,000 kila mmoja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi kama mpenda haki na asiye penda kuona wanyonge wana nyanyaswa nimeamua kuwaletea kisa hichi hapa jf wadau na wapenda haki kwa kila mtu waweze kusoma na kuchukua hatua kwa yeyeto ambaye...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naombeni ufafanuzi juu ya aina hii ya mahakama coz nimepewa maneno kibao yaa kimtaa sasa nataka nisikie jinsi GREAT THINKERS mnaijuaje kiutendaji wa kazi.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mahakama ya Kisutu kumezuka mtindo unaoashiria ubaguzi kwa kesi zinazowahusu wafuasi ama viongozi wa dini ya Kiislam.Siku za karibuni, tumeshuhudia matumizi ya gharama kubwa zisizo na sababu kwa...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Wadau naomba kuuliza. je, kuna sheria yeyote nchini hasa maeneo ya vijijini inayomzuia mfanya biashara ndogondogo hasa za mbogamboga kutofanyia biashara yake katika eneo la nyumba yake mpaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Source: CNN.com By Kristina Sgueglia, CNN updated 7:02 PM EST, Fri January 11, 2013 New York (CNN) -- A review of forensic evidence in New York City rape cases has uncovered 26 incidents...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Law makers, Tucta, ATE, and the government need to revisit this law it is one of the act with a lot of contradictory and unimplementale act I have come accros! The act has been created if not...
0 Reactions
3 Replies
41K Views
Wadau wa maswala ya sheria,mimi ilitokea kuzaa na dada mmoja,tulishirikiana kutunza mtoto mpaka ilipofikia kuanza shule yaani kindergaten na mpaka sasa yuko darasa la tatu,maswala yote ya kumlea...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu Heshima; Kuna kitu kinaitwa Benki ya Kiislamu (ISLAMIC BANKING). Tafadhali naomba mwenye habari jinsi hiki chombo kinavyofanya kazi atupashe habari. Ni muda kidogo umepita tangu NBC na KCB...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kukitokea ajali ya chombo cha majini,mmiliki hukamatwa,lakini bus au lori likiua mmiliki hakamatwi hii imekaaje?
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Pamoja na wanaharakati, wasomi, na wanahabari, wanasiasa na wanajamii kuingiwa na wasiwasi na kujitahidi kulaani unyama uliofanywa na polisi kule IRINGA kwa kuua mwandishi wa habari wakituo cha...
3 Reactions
112 Replies
14K Views
watoto wa wanasheria maarufu wa Uingereza Lakha na Mucadam ambao nao wana kampuni yao ya uanasheria iliyosajiliwa kama Partners na wanasheria vijana maarufu kiTanzania wamefika jijini Dar es...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Dear All Can some one advice what can an expat do if he finds his expat employer to be rude and abusive also announcing that the employee be sacked for no reason.The employer also claims to be...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Closed
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia...
4 Reactions
134 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…