Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nilimdhani kijana kufanya kaz kbanda cha m-pesa.Nna kesi mahakamani mana alipata shoti akaondoka,imekaaje hii wana jf?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF. Mpaka sasa sijapata jibu kulikoni serikali inashindwa kuweka kipengele cha dini ya mtu kwenye fomu za sensa ilihali kuna kipengele cha kuhesabu makanisa na misikiti-utata huu ni...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu, natafuta copy ya The Finance Bill, 2012. Nimejaribu kupekuwa kwenye tovuti ya Bunge bila mafanikio. Kwa yeyote mwenye nayo au anayejua namna/mahali pa kuipata kirahisi, tafadhali naomba msaada.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninaamini kwamba kila mtanzania anashauku na anangoja kwa hamu kukamilika na kutangazwa kwa katiba mpya. Kinachonishikitisha, kunitisha, kuniogopesha na kunishangaza ni kuona kwamba kati wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mnamo Februari 2, 1985 majira ya saa tisa jioni katika kijiji cha Buguchangaa kilichoko wilayani Kondoa katika mkoa wa Dodoma watu wawili waliotajwa kwa majina ya Iddi Hassani Gwandi na Mussa...
7 Reactions
13 Replies
3K Views
Ustadhi mmoja katika mkoa wa Singida amekutwa na vipeperushi zaidi ya 53 akivigawa kwa raia wanaoaminika ni wa kiislam ili kuwahamasisha kutojiandikisha katika zoezi la sensa ya watu na makazi...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Serikali kupitia mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, wameamuru wale wote wanaowashawishi wananchi kugoma kuhesabiwa waburuzwe mahakamani. Source: TBC1, taarifa ya habari saa 2. Je ni nani kati ya...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Jamani ninaomba kuwasilisha mawazo ya wengi kwenu wana jamii, hivi inakuwaje watu wanaofanya kazi na mashirika ya umoja wa mataifa wanakataliwa kukununua kitu (gari) na kukiingiza nchini bila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
The International Criminal Court ruled on Wednesday against a challenge by Cote d’Ivoire ex-president Laurent Gbagbo’s lawyers on its jurisdiction to try him for crimes against humanity. “The...
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Wanabodi,baada ya Waziri mkuu kusema serikali itaendelea kutumia sheria iliyopo ya habari bila kufanyia mabadiliko,sasa naomba kuuliza je wanahabari hawawezi kushinikiza kwa kususia kuandika...
0 Reactions
3 Replies
873 Views
Mamia ya abiria waliotarajiwa kusafiri jana kwenda visiwani Zanzibar, jana walikwama kuondoka kutokana na utaratibu mpya wa vitambulisho unaodaiwa kutolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau naleta kwenu hiyo sheria ambayo Tanesco wameitunga ya kuuza mali na nyumba za wateja wenye madeni......sidhani kama ni sawa na kama inaendana na katiba ya nchi!na vipi kama anaedaiwa ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini,Mheshimiwa Eliezer Feleshi,amewasilisha Kusudio la kukata Rufaa dhidi ya Hukumu ilimweka huru Prof. Costa V. Mahalu na Bi.Grace Martin. Hii inamaana kuwa Jamhuri...
0 Reactions
1 Replies
941 Views
By Andante Okanya Telecom operator MTN has dismissed claims that it infringed on the copyright of ex-Kampala Mayor Al Haji Nasser Ntege Sebaggala by using his speech recordings as ringtones...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
wanajf naomba tujadili uhalali wa jesh la polisi kutumia risasi za moto kwa lengo la kumwokoa M/kiti wa kijiji kigamboni baada ya kutekwa na wanakijiji wake baada kutokea vurugu kati yao na police...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba kuwauliza wataalam wa sheria. Hivi ushahidi wa picha unakubalika mahakamani?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sasa kujadiliwa upya bungeni, akiwasilisha bajeti ya Wizara ya kazi na ajila Bi Kabaka anesema kuwa kwa bunge ndilo lilipitisha sheria hiyo ndio hivyo hivyo litakazimika kuja kuifanyia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada kwa anayejua.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wednesday, 15 August 2012 08:49 Na James Magai, NDOA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa na mchumba wake, Josephine Mushumbusi imezidi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom