Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

KUNA kitu kinatokea Zanzibar ambacho kisipotafutiwa dawa kinaweza kuleta sura mbaya katika jamii ya Tanzania na ya kimataifa. Pamoja na kuonekana kwamba Zanzibar kuna utulivu, kumekuwa kukizuka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ningependa kujua sheria inaseamaje kwa mbunge mteule akifa kabla ya kuapa inanakuaje, je 1) uchaguzi mpya utafanyika??? 2) Mshindi wa pili aliye fuatia kwa wingi wa kura ana weza kuchukua nafasi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
mimi ni mtanzania ninaishi botswana'serikali ya nchi hii imeamua kutoa sheria kali kwa wageni wanaofanya kazi na biashara'nina kampuni lakini wamenipa masharti magumu kabisa ya kupata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bunge lifanye nini endapo serikali haitatekeleza maamuzi ya kamati teule za bunge mfano katika tuhuma za Rushwa?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
juzi nilienda polisi kufungua kesi ya madai,but askar waliokua zamu pale kituon wakakata na kuniambia hizo kesi wao haziwahusu so niende direct mahakamani kufungu charge.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu yangu amepanga nyumba anakaa na familia yake,mkataba ni wa mwaka na ameshakaa miezi minne mpaka sasa.sasa mwenye nyumba juzi kabandika tangazo getini,akitangaza kusudio la kubadili matumizi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kwa bongo hii mikataba huwa ipo? kama ndio huwa inatumika katika kesi za kugawana mali wakati wa kuachana (divorce)? Kwa sababu kama mwanamke aliolewa na urithi wake wa let say, nyumba zenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein. Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, ametangaza ripoti ya uchunguzi wa kuzama kwa meli ya MV Spice Islanders, inayopendekeza vigogo wa serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HAKI ya mtu kuwa huru ni haki ya kikatiba na kisheria ambayo haipaswi kuingiliwa na mamlaka yoyote ila kwa mujibu wa maelekezo ya sheria ambayo, hata hivyo, sheria hiyo nayo haipaswi kupingana na...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Nimeiona hali ya kuzuia mshahara ikiwakumba hasa waalimu wa shule za msingi kwa visingizio mbalimbali kama kutokuandaa azimio au andalio la kazi. Mwalimu Mkuu hutaarifu nia ya kuzuia mshahara wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Polis Kinondon wanamsaka Mwingira baada ya kubomoa Ofisi za Afrophus mwenge dsm jmosi! Source gzt uhuru
0 Reactions
247 Replies
38K Views
Kutokana na Mgogoro wa Madaktari Bingwa na Wizara ya Afya unaoendelea. je serikali inaona umuhimu wa Wataalamu hawa?
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Kuna rafiki yangu amefanya kazi kenye shirika miaka 28,mwajiri akaamua kumfukuza kazi,kitendo ambacho jamaa yangu hakuridhika nacho. Akaenda CMA ambao wametoa hukumu yao kwamba arudishwe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wapedwa kaka na dada wasomi.nimeandika kichwa cha habari hicho nikiomba ufafanuzi wenu wa kisheria kuhusu matamko ya wanasiasa yanayotolewa kwa watu waliojenga kwente ama hifadhi za barabara...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wana jf naombeni msaada nataka kujua siku za hivi karibuni ukienda kwenye taasisi nyingi mfano bank migodi. viwanda na hata hotel unakuta wamefunga cctv camera je mahakama zetu zinatumia...
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Mahakama yataka serikali kugharimia kesi za uchaguzi Thursday, 16 December 2010 20:43 James Magai MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeitaka serikali ibebe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Embattled Deputy Chief Justice Nancy Baraza on Sunday broke her silence and said she was ready to face the tribunal that will be set up to investigate her conduct. Speaking for the first time...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mniwie radhi kwa kuweka picha ambazo hazipendezi hapa. Hawa ni vijana watatu waliopatwa na mauti kwa kuchomwa moto ( kama wanavyoonekana kwenye gari) na mwingine akiwa amepigwa mawe pale chini (...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamni frends nisaidieni....nataka kufahamu ni vyuo gani vinatoa diploma ya sheria mbali na UDSM kwa hapa Dar es Salaam. Naomba msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hello wanaJF, habari! Samahanini nina swali na swali lenyewe ni kama ifuatavyo; Inapotokea kwamba kampuni inamudharirisha mfanyakazi wake mbele za watu na mbele ya wafanyakazi wenzake kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom