Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

:lol: mimi nashangaa sana kila ninapokwenda mahakamani nakuta wanasheria wamevalia mara suti nyeusi na shati jeupe, mara suti nyeusi na shati la bluu iliyokolea, mara wavae vitambaa vyeupe...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Hivi mtu au fundi akija kufanya kazi kwako wakati haupo na akapatwa na majeraha au akaumia anaweza akaku sue for breach of duty of care au for any damages ?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello guys. Kwa anayefahamu sheria ya adoption,Je mtu aliye single anaruhusiwa ku adopt ?? Na anaweza kumpa sir name ya kwake huyo mtoto,yaani kama ni mwanamke akampa sir name ya upande wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello jamiiforums, I'm happy to come accross this site, hope it will be the answer of my need. Sheria ya ndoa inahitaji marekebisho kwa Tanzania kwani haiweki wazi kuwa wanandoa wa aina gani wana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukiacha Wanavyuo, watanzania ni waoga wa kugoma. Nikumbusheni ni lini watanzania wamegoma na kushinikiza serikali yao ikubaliane nao. Fikiria ni serikali gani inapandisha bei ya umeme kwa...
0 Reactions
4 Replies
994 Views
Wakuu nimesoma ibara ya 71(1) ya katba ya mwka 1977 inaorodhsha vgezo vinavo mnyanganya mbunge sifa ya kua mwakilishi katika bunge la jamhuri ya muungano.sasa swali langu,ni je wabunge wakipiga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zingatia ukimwi ulivyoenea na unavyozidi kutafuna nguvu kazi ya Tanzania je, bunge likitunga sheria ya kuwa kila wawili wanaotaka kufunga ndoa wapimwe afya zao juu ya VVU sheria hiyo itakuwa...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
KASKAZINI PEMBA MICHEWENI TUMBE...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau, Ninataka kujenga kaghorofa kadogo tu na kiwanja hakijapimwa,kipo bunju,je utaratibu ukoje? Nijenge tu bila kupima? Je nikaombe kibali cha ujenzi hata kama kiwanja hakijapimwa? Au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi wataalamu wa sheria naomba kujua ni siku ngapi zinazoruhusiwa kisheria kuwa umekata rufaa mahakama kuu.Na zinaanza kuhesabiwa wakati gani yaani kuazia tarehe ambayo umupata hukumu au siku...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, heri ya mwaka mpya? Naomba msaada wa sheria na kifungu kinachozungumzia mfanyakazi anapokwenda nje ya working site kwa ajili ya masomo au training ambayo pia inauhusiano na kampuni (are...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mathalani Jaji wa mahakama amekuhukumu kunyongwa hadi kufa (kutokana na kesi fulani). Lakini kifo chako unaambiwa uchague kati ya hivi 5.....je,utachagua kipi? 1.kufungwa jiwe la kilo 50 shingoni...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwanafunzi aliyemaliza msomo ya kidato cha nne anayesubiri majibu yake amegundulika na mimba ya miezi minne.wazazi wanakusudia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mtia mimba.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
hii habari ilinigusa sana. hadi sasa sijajua iliishaje. Picha juu ni Ramadhani Mussa (12)ambae anashikiliwa na polisi Mkoa wa Ilala kwa kukutwa na kichwa cha mtoto mdogo Salome Yohana (3) Picha...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Politics Court reinstates Makwangwala as UDF Secretary General By Nyasa Times Reporter January 5, 2012 · 14 Comments Email This Post 1 Former ruling United Democratic Front...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali zenu wana jamii forums? Naomba kueleweshwa kuhusu kisheria haki ya baba mtoto kumchukua mtoto afikapo umri wa miaka saba (7). Utakuwa mama mtoto kamlea mtoto wake kwa shida sana na kwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wananchi wa Jimbo la Kigoma kusini wanafungua kesi ya kikatiba saa 5 na nusu leo asubuhi katika mahakama kuu ya Tanzania kupinga Mbunge wao kuondolewa kwenye wadhifa huo kama msimamo wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello JF, does Tanzania have any legislation governing information security, and if person caught breaching network and steal information what are the consequences? is there any cyber law, at...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kweli TZ shamba la bibi, Mkurugenzi wa zantel naushad amehukumiwa kwenda jela miaka mi3 au kutoa fine ya laki1 Source:Majira
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"Mayo nacha" – Mother I am dying! Was the only cry of the 13 year Old girl when Barrick Gold Corporation Employees in Sengerema at Barrick's own exploration camp decided to take the little...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom