Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Jinsi ya kuipinga hukumu na tuzo Iliyofikiwa kwa Maridhiano Mahakamani
Ikiwa Mahakama imeandika hukumu na kutoa tuzo (decree) kutokana na makubaliano yenu wenyewe, lakini baadae wewe ukataka...
Naombeni wana sheria na wadau mliopitia hizi changamoto mnisaidie!
Habari zenu wana Jf, nina changamoto na mzazi mwenzangu ambaye nia yangu ilikua ni kumuoa lakini kwa mabadiliko yake kuwa...
Hello Great thinkers!
Nilikuwa nafatilia kurekebisha jina lililokosewa kwenye kitambulisho changu cha NIDA nikagundua kuwa inachukuwa muda sawa na kujaza UPYA form ya NIDA registration UPYA ...
Habari zenu wadau.
Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo...
Wanabody nakuja kwenu kuomba msaada wa kisheria ni jinsi gani naweza kuishtaki mamlaka ya maji kwa kunibambikizia bili uku ikishinikiza nilipe pasipo majadala uki wakitishia kunikatia maji.
Bili...
Habarini ndugu zangu , Kuna siku niliomba ushauri kuhusu muvunjika kwa uchumba na jinsi ya kurudishiwa mahali na baadhi ya zawadi nilizowahi kuzitoa ,
Nashukuruni kwa ushauri wenu kwa kila mmoja...
HAKI YA USAWA WA KIKATIBA.
Ibara ya 12 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema binadamu wote ni sawa na kiila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
Kila...
JINSI YA KUKAZIA HUKUMU:
Unaposhinda kesi ya madai, hautakiwi kuishia hapo tu na kutunza hukumu yako ndani. Kama unataka kufaidika na matunda ya hiyo hukumu inabidi uanze mchakato mwingine...
Wakuu,
Kuna Uzi fulani humu ndani umeanzishwa na wafanyakazi wa Mgahawa fulani Dar wakielezea uonevu waliofanyiwa na wamiliki wao ambao ni waarabu ikiwepo vipigo.
Sasa baada ya wao kupigwa na...
A man was charged before the Judge by stealing valuable property by inserting his hand through the window and disappearing with it, hence depriving the rightful ownership of the owner.
In...
Kumekuwa na kasumba mbaya ya kuwabagua watu wenye ulemavu kazini. Ubaguzi unaweza kufanywa na waajiri dhidi ya watu wenye ulemavu au kufanywa na waajiriwa wengine dhidi ya watu wenye ulemavu...
Habari wakuu mwenzenu nahitaji msaada tumetapeliwa hati ya nyumba na tajiri mmoja mjini hapa naomba msaada wakisheria kama tunaweza kufanikiwa au laa, kama mtaniruhusu plz naomba niendelelee.
===...
FAHAMU NAMNA YA KUFUNGUA MIRATHI.
Na Mwanasheria Wetu.
1.MIRATHI NI NINI.
Mirathi ni mali ya marehemu aliyoiacha kwa ajili ya kurithisha warithi wake halali. Hakuna mirathi...
Wakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo...
Watu wengi wanasema deni halimfungi mtu, lakini sio kweli. Leo nitafafanua Sheria ya Mwenendo wa Madai (the Civil Procedure Code [CAP. 33] kwa kifupi tunaiita “CPC”) kuhusu mazingira ambapo...
Ndugu zangu habari za jioni?
Naomba ushauri wa kisheria mdogo wangu anayenifata amefariki alikiwa ni mtumishi wa serikali wilaya x, jana mida ya jion siku 4, baada ya mazishi nimepigiwa simu. Na...
Hivi sheria inampa haki gani mteja wa Makampuni ya simu anapokosa huduma za kampuni husika kwa makosa yao kama tigo pesa kutokuwa hewani kwa masaa kadhaa.
Ni jukumu la kila mwajiri kuboresha mazingira ya kazi kwa wafanyakazi wake. Mazingira ya kazi ni lazima yawe mazuri na salama kwaajili ya kufanikisha utendaji mzuri wa kazi.
Hii itasaidia kuondoa...
Ni takwa la kisheria kwamba kila mwajiri katika sekta binafsi au sekta za umma kutoa ajira kwa watu wenye ulemavu pale ambapo mtu huyo mwenye ulemavu ameomba nafasi hiyo na ana vigezo...
Baada ya kuangalia wajibu wa ndugu kwa watu wenye ulemavu katika mada iliyopita. Leo napenda kuelezea wajibu wa serikali za mitaa katika kuwalinda watu wenye ulemavu.
Mamlaka ya serikali za mitaa...