Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Je, umewahi kuwaza kuwa UVIVU na UZEMBE ni kosa linaloweza kusababisha mtu akahukumiwa kifungo kwenda jela au kuadhibiwa kulipa faini? Majibu yapo hapa kwenye makala hii twende pamoja ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Sheria, mtu yeyote kwa kauli au matendo yake akitambulika kuwa ni mchawi au akitengeneza, kutumia au akimiliki zana za kichawi au akimpagtia mtu mwingine zana za uchawi au akimshauri...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu Kuna sisi wazazi tulipeleka watoto wetu kusoma nje ya nchi (Ukraine) kabla ya vita kupitia hawa maagent matapeli Globel Education link, nawaita matapeli sababu wanachokifanya...
3 Reactions
6 Replies
464 Views
Sheria ya mirathi kwa mtoto wa nje ya ndoa inasemaje wakuu?
0 Reactions
4 Replies
478 Views
Karibu sana mpenzi msomaji na mdau wa JamiiForums katika Somo la leo ambako tunakwenda kujifunza kuhusiana na ulinzi wa mtoto (Child Protection) hasa katika mazingira hatarishi kwa ustawi bora wa...
1 Reactions
8 Replies
955 Views
Wanasheria au Mawakili, Mahakimu na Majaji hawako juu ya Sheria bali pia wanaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na hata kushtakiwa kama mtu mwingine yeyote. Makala hii inahusu jinsi ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kuna mtu anataka kusoma sheria. Awali ana bachelor ya education. Anataka kusoma Postgraduate diploma of law pale OUT. ALAFU ASOME LLM. HAPO HAPO. SWALI LANGU KWENU WADAU. JE ANAWEZA...
1 Reactions
3 Replies
438 Views
Kuna kijana alibambwa akiwa amejifungia chooni na Binti wa miaka 4 au 5 hivi akiwa ametelemsha suruali akijiandaa kumwingilia Binti huyo. Raia wema walifanikiwa kuufungua mlango wa choo na...
3 Reactions
9 Replies
847 Views
Habar za asubuhi wapendwa Kama kichwa cha habarI kinavyosema naombeni ushauri wa kisheria, Ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wa kiume kutokana na tabia zake haikuwezekana kuishi...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Ikitokea mechi ya Simba [emoji881] na Yanga [emoji169][emoji172],FEI TOTO akapiga bonge la shuti likaenda kugonga uoande wa jicho la shabiki wa Simba akapelekwa hosptali ikashindikana akapata...
2 Reactions
1 Replies
344 Views
1. KILEO NI NINI Kileo kimeelezewa na sheria kuwa katika makundi mawili [Section 2-(a) (b) [a]mvinyo, bia, pombe nyeusi ya kizungu (porter), cider-kinywaji kinachotengenezwa kwa kusindika matofaa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Msaada wa kisheria unahitajika Nina rafiki wa kike ambaye hapo mwanzo alikuwa na mahusiano na mwanaume ambaye walikuja kuachana kutokana na tabia za jamaa kutompendeza mwanamke. Hapo kabla...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa kifungu namba 162 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019 ni kosa kisheria kwa mtu yeyote kupiga picha maiti, watu waliokufa au waathirika wa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
UFAFANUZI WA KISHERIA KUHUSU ARDHI YA LOLIONDO Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na taarifa zisizo sahii zinazotolewa na baadhi ya viongozi kwa ushirika na wale wenye kutamani ardhi ya Loliondo kuwa...
13 Reactions
40 Replies
5K Views
Wakuu, naomba kueleweshwa ni kweli kwamba account zote za youtube hapa Tanzania ni lazma zisajiliwe na kulipia TCRA? JE malipo yake yanakuwaje? Sheria inasemaje?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari Naomba ushauri, nataka kujua kozi nzuri za "options" kwenye Shahada ya Kwanza ya Sheria Ningependa kujua kozi ambazo ni applicable zaidi na ambazo zina mahitaji makubwa sokoni...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau. Nimeona watu wengi wanabadili dini zama hizi. hasa wakiwa na migogoro ya ndoa zao. Reference case ben pol. alifunga ndoa ya kanisani.. then mwaka mmoja mbele akabadili dini kutoka...
4 Reactions
46 Replies
9K Views
Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa Maboto. Kila nikiwaomba wanipe balance ya mkopo wangu ili niwalipe deni lao hawataki. Hivyo nahitaji msaada wenu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndg wanajukwaa salam.Naomba kufahamu sheria inasemaje kwa wanaondesha vyombo vya moto bila plate namba?Hususanh pikipiki mana gari sijaona sana.
0 Reactions
0 Replies
590 Views
habari Wana jamii forum,nilikuwa naishi na mzazi mwenzangu lakini kwa bahati mbaya tukatengana ,kipindi hicho tunatengana sikuwa najiweza Sana kiuchumi hivyo hata huduma za mtoto sikuwa napeleka...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom