Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Je hii clause iko na option au haina? "The agent is required to purchase a minimum units of value of not less than one week average or 10m whichever is higher"
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tamko la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Juu ya Mauaji ya Wananchi wakati wa Maandamano ya Amani yaliyofanyika Arusha tarehe 5 Jan, 2011 UTANGULIZI Tumekutana hapa leo hii kwa huzuni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanajeshi Mbaroni kwa tuhuma za mauaji JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wawili akiwemo mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Upelelezi kesi ya waiba Konyagi bado na Mwandishi wetu UPELELEZI wa kesi ya kuvunja na kuiba katika ghala la Kampuni ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua kama ni lazima kulipa nssf kwa house girly wangu na mlinzi na kama sitalipa kuna madhara gani na ni kifungu gani kinanibana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sheria ya ndoa ipo wazi watu wawili wanapoishi pamoja kama mke na mume watahesabika kuwa ni wanandoa kama hakuna anayebisha yaani (rebuttable evidence). Vile vile wanandoa wanapokuwa wametengana...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Nimeupenda sana mjadala wa leo lakini nadhani ningeupenda zaidi kama kanuni ya audi alteram partem"hear the other side" ingefuata. Kwangu mimi naona mjadala huu umekuwa ni wa upande mmoja sana na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kesi ya Dk. Mahanga kupinga `ukihiyo’ yaahirishwa Imeandikwa na Flora Mwakasala; Tarehe: 14th January 2011 @ 23:20 MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeahirisha kesi ya madai ya kulipwa Sh bilioni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie wenzangu,kuzuia maendeleo ya wananchi kwa sababu ya kupisha ujenzi wa barabara,na mpaka sasa wametia alama majengo ili kupisha ujenzi huo na kupiga hesabu za fidia,matokeo yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni judge pekee Tanzania ambae hakusoma sheria na kwa sasa ni jaji wa mahakama ya rufaa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu kuwa nimelileta hili swala huku nikiamini ntapata ufafanuzi wa kisheria kuhusu utata uliojiri Arusha na kupelekea kutokea fujo zilizosababisha vifo. Kwanza, naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Is Law School a Losing Game? By DAVID SEGAL Published: January 8, 2011 IF there is ever a class in how to remain calm while trapped beneath $250,000 in loans, Michael...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie wenzangu,kuzuia maendeleo ya wananchi kwa sababu ya kupisha ujenzi wa barabara,na mpaka sasa wametia alama majengo ili kupisha ujenzi huo na kupiga hesabu za fidia,matokeo yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SAKATA LA MAWAKILI BINAFSI: Wanasheria wa Serikali watupa lawama kwa AG Monday, 27 December 2010 08:48 James Magai BAADHI ya wanasheria waliowekewa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Raia wa China kizimbani kwa nyara za mamilioni Imeandikwa na Flora Mwakasala; Tarehe: 10th January 2011 @ 23:26 Imesomwa na watu: 125; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtuhumiwa afa akiwatoroka Polisi Na Suleiman Abeid, Shinyanga MKAZI wa eneo la New Stand Manispaa ya Shinyanga aliyetambuliwa kwa jina la Bw. Haji Omari (30) amekufa papo hapo baada ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Polisi waminya kesi ya mwanafunzi aliyelawitiwa Na Lilian Justice, Morogoro MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Murad wilayani Mvomero mkoani Morogoro...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mashirika manne yasiyo ya kiserikali, yamefungua kesi ya kikatiba ambapo walalamikiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ngorongoro, Waziri wa Maliasili na Utalii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mambo mambo yametokea nchini lakini ufuatiliaji wake umekuwa mdogo sana ...labda kwa kuwa watu wengi wa kawaida hili ni suala geni kidogo kwao...juzi tumeona hukumu ya Chenge imetoka.Je nini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom