Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Frederick Katulanda, Mwanza SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwashughulikia wanaotoa rushwa katika uchaguzi, mbunge wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani wana JF, ninaomba mumsaidie huyu mama msaada wa kisheria jinsi gani apate talaka yake, " Niliolewa ndoa ya kanisani 1999, nikazaa mtoto mwaka huo huo, tabia ya uzinzi ya mume wangu...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Maafisa wa jela wakionyesha jinsi adhabu ya bakora ilivyofanyika Wanawake watatu wa nchini Malaysia ambao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KIONGOZI wa chama cha kisiasa cha DP, Christopher Mtikila anakabiliwa na hatari ya kufungwa jela baada ya mahakama kuamua kuwa iwapo zoezi la kuuza mali za mchungaji huyo ili kufidia deni la Sh8.8...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Saidi Mwema. Jeshi la Polisi nchini, limetangaza mkakati wake wa kukomesha vitendo vya baadhi ya askari wake kujihusisha na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Inspekta Jenerali (IGP), Said Mwema. Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu, amewashutumu polisi nchini kwa kuendelea na tabia ya kuwabambikizia kesi raia na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama mjuavyo Bazazi ni mzururaji. Katika zungukazunguka yake amekutana na watu wengi ambao wanamuona Askofu Kakobe kuwa ni mtu mtata na wengine kumuona kuwa ni punguani flani. Lakini nilichokiona...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada wenu wa kisheria uykoje kwenye hili la MAFUA YA NGURUWE ambayo yamevamia kazini kwetu Buzwagi Gold mine. Uongozi ulitangaza kuzuia baadhi ya wafanyakazi (non essential...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mahakimu wazidi kuikimbia kesi ya Mtikila Tausi Ally HAKIMU mwingine wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Salome Mwandu amejitoa kusikiliza kesi ya Mchungaji Christopher Mtikila ya kumwita Rais...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF naomba msaada; Nimshaurije Dada Esta John na Joseph ni ndugu wa kuzaliwa tumbo mmoja mkubwawao akiwa John; Kwa kuwa john amefanikiwa kimaisha anamchukua Joseph hadi Dar es salaam...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KADA wa CCM, Haji Manara jana alipandishwa kizimbani na kusomewa mashitaka mengine 11 ambayo yanafanya jumla ya mashtaka yanayomkabili kufikia 17. Katika mashitaka hayo hayo mapya, Manara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tracking changes in negotiating commercial documents: Solicitor and client responsibility In Thiess Pty Limited v FLSmidth Minerals Pty Limited [2010] QSC 6, the Supreme Court of Queensland...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mshikaji mmoja anafanya kazi kwenye benki moja nchini. Wakati huo tulikuwa tunafanya kazi pamoja. Mwaka 2006 kuna mteja alipeleka madai kwenye tawi analofanyia huyo jamaa kwamba alimwachia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Harrassment at the work place There is lady who was working with one company, whe she had of green pasture somewhere else she applied for the job and she was called for an interview and finally...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
TUMEKUWA tukifuatilia mjadala ulioibuka bungeni na kwingineko, kuhusu muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi ambao tunaambiwa karibuni utafanywa kuwa sheria. Tuseme mwanzoni kabisa kwamba sisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Criminal law: use of hearsay evidence; professional conduct The Supreme Court in R v Horncastle [2009] UKSC14 has upheld the decision of the Court of Appeal that, in appropriate circumstances...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wenu wana sheria. If I want kufungua a new company with a foreigner , kawaida step ya kwanza ni Kuregister Jina la Kampuni . Kwenye form ya kuapply for jina la kampuni , you need...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza utetezi wa kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 za Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By Bonney Odongo and Patrick Okino in Lira A CATHOLIC evangelist who told a BBC reporter that he committed 70 ritual murders has been charged with giving false information to a public officer...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaJF ninataka mnifahamishe. Hivi iwapo mgombea binafsi ataruhusiwa kugombea uenyekiti wa serikali ya mtaa, udiwani, ubunge na urais iteleta hasara au faida zipi? Je ni kweli kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom