Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habarini za jioni Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sheria ikoje ktk kesi ya hasara (loss) ilitokea dukan ikiwa hakuna mkataba kati ya mfanyakazi na boss
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu ipo hivi, kwetu tulizaliwa wawili tu mimi mkubwa na mdogo wangu wa kike, nipo naishi dodoma pamoja na familia yangu yaani naishi na mke wangu mama na mdogo wangu. Mzee wangu alifariki...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Closed
Naombeni msaada wa mawazo maana nahisi nitakufa kwa mawazo ila ninajikaza. Mimi ni mama wa miaka 30 Nina mtoto mmoja, nina ndoa ya kimila. Nampenda sana mme wangu lakini tumekuwa hatuna maelewano...
2 Reactions
69 Replies
4K Views
Tukio hilo lilitokea katika mtaa huu....... Ingawa tukio hili lilitokea takribani miongo mitatu iliyopita lakini ni tukio ambalo liliacha simulizi katika jiji la Dar Es Salaam na vitongoji vyake...
15 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari za majukumu wana JF bila kuzunguka zunguka naomba kufahamishwa endapo kuna uwezekano wa mtumishi wa serikali kubadili jina moja katika majina yake matatu na yakaweza kubadilika hadi katika...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Salaam wana JF, Naombeni mnifafanulie nijue kisheria limekaaje hii jambo. AC ya ofisini ilikuwa imeharibika, jamaayangu akanipa namba za fundi mmoja ambae alidai ni mzuri na alishawahi...
1 Reactions
4 Replies
664 Views
Habari zenu ndugu zangu, hii thread sio kwaajili ya kejeli au kusutana, nauliza nataka kujua kwa wenye ujuzi wa Mambo haya, je ni sawa mwanamuziki kumtaja mtu au brand fulani kwenye nyimbo yake...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Hivi kama umeajiriwa na miaka yote umefanya kazi ya aina fulani, anatokea Boss anakwambia ufanye kazi fulani post nyingine lkn hiyo kazi kipengele unayoiwezea unakubali kuifanya ile ambayo...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Ndugu zanguni naombeni ushauri, hii sheria mpya inasemaje kwa watu walio kamatwa wanatesekea ndani kwa miezi mitatu kila siku upelelezi hauja kamilika. Naomba kujua , hii sheria ina tekelezwa kwa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za leo ndugu zangu, Nimepigiwa simu kuwa mahakamani kuna Summons yangu kwaajili ya kesi ya madai ambapo mdai wangu anakazia hukumu ili aweze kukamata mali zangu, Deni analodai si halisi...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Naomba kujua mwongozo wa uvunaji mali asili miti katika shamba ninalomiki kisheria (inapokua imepoteza sifa za utoaji mazao kama miembe na kadhalika)
0 Reactions
1 Replies
690 Views
NIA YA KUUA/ MALICE AFORETHOUGHT Kuua kwa kukusudia (murder) adhabu yake ni moja tu kunyongwa mpaka kufa. Kuua bila kukusudia (manslaughter) adhabu yake ya juu kabisa ni kifungo cha maisha, na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa kama mpeleka maombi mahakama kuu kuhusu kesi ya madai sasa sioni sababu ya kuendelea na kesi nataka kujitoa, Je nafanyaje? Na kesi bado haijaanza kusomwa. NAOMBA MSAADA WENU NAMNA YA...
0 Reactions
1 Replies
783 Views
Habari zenu wana jukwaa la sheria Niende kwenye mada moja kwa moja mwezi mmoja wiki kadhaa zilizopita kuna mtu nilifanya nae makubaliano ya kununua biashara yangu kwa kiasi cha milioni 4 na...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za saizi wana jamiiforums natumaini mu wazima wa afya, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika Eti kwa mfano mzazi wako alikopa fedha kwenye taasisi zinazokopesha fedha, akashindwa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni miezi saba sasa tangu nilivowasilisha, fomu ya kudai mafao ya ukosefu wa ajira pale PSSSF. Ila Cha ajabu hadi Sasa Bado hawajinilipa pesa zangu. nipo stressed sana. Nilitegemea hizo hela...
0 Reactions
8 Replies
991 Views
Waungwana na wajuvi habari zenu: Naomba kufahamishwa nijue; Je; DPP anaweza kufuta/ au kuondoa kesi hata pale baada ya mashahidi wake wote kutoa ushadi na ikathibitika kuna kesi ya kujibu...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Nani anaweza kuelezea kwa unandani maana ya prima facie case?
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu naomba msaada wa kujua sheria ya mkataba wa mnara wa simu pale wanapo taka kujenga ktk eneo lako. Nimeenda mkoani nikuta watu wa minara ya simu wamejenga kwenye eneo la nyumbani...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom