Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ninaomba kueleweshwa na kuelekezwa nini cha kufanya kisheria ili kupata haki yangu. Niliwahi kukopa kwenye kitaasisi furani mwaka Jana sasa mwaka huu CRDB wamenihamasisha kwa kuwa wamepunguza...
2 Reactions
11 Replies
700 Views
Naomba mwenye Soft copy ya Law of marriage(matrimonial proceedings) Rules, 1971 anisaidie please. I am in dare need of it!
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Faragha inayohusisha wapenzi wawili ambao wao kwa utashi na akili yao wameamua kuburudisha miili yao katika mazingira tofauti ila yanayohusisha faragha madhali kwenye boma, ndani ya gari binafsi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari wakuu, kuna binti anadai kijana wetu amempa mimba. Hivyo wamekuja wazazi wa binti kudai ndoa ya mkeka, kinyume na hapo wanatishia kumfunga kijana wetu kwani binti kamaliza form four mwaka...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Unapoomba revision kwenye labour cases huwa kuna umuhimu wa kuambatanisha kwenye Notice of Application vielelezo ulivyovitumia CMA? Kama jibu ni ndiyo, kama mtu akuviweka nn afanye ili vifike...
1 Reactions
3 Replies
819 Views
Kile Kifungu alichokitaja Jaji katika Sheria ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na yanayofanana na hayo kinatamka kuwa: "40. Dismissal of charge At any stage of the proceedings the Court may, if...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hili ni swali ambalo bila shaka sisi tusio na uelewa wa sheria kwa mapana yake tunajiuliza. Katika hukumu iliyosomwa na Jaji Tiganga, mahakama imewakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa wanne. Maana...
4 Reactions
40 Replies
39K Views
Habari Ndugu zangu? Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nianze kwa nukuu ifutayo. "HAKI HAIPASWI TU KUTENDEKA BALI YAPASWA KUONEKANA IMETENDEKA" Kwa sasa wengi wetu tumejawa...
1 Reactions
3 Replies
706 Views
wiki hii kuna miswada imepelekwa bungeni kufanyiwa marekebisho, ikiwemo sheria ya kwamba polisi hawaruhusiwi kumpeleka mtu mahakaman had wakamilishe upelelezi. Je na ile sheria inayowapa nguvu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
BAADHI YA MWASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF Ndugu WanaJamiiForums naomba mnisaidie katika hili swala. mimi ninamwanake ambaye nimeishi naye muda wa miaka 6, tukabarikiwa kupata mtoto mmoja ana...
0 Reactions
114 Replies
36K Views
Wakuu naomba maoni na ushauri wenu kuhusu uzuri au ubaya (Manufaa) wa kusoma kozi hiyo
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Watu wanachanganya mambo na kuwa waoga wa mambo sana. Mwanasiasa yoyote yule akipata kushitakiwa, upande Mashitaka huwa wanaleta mashahidi na kama Hakimu au Jaji akiona huo ushahidi una mantiki...
0 Reactions
2 Replies
753 Views
Katika Utumishi wa Umma,Kuna Watumiahi wanaitwa Kamishna...Kuna Kamishna wa Magereza, Uhamiaji, Kazi, Ustawi wa Jamii nk Je kwa nini viongozi Hawa wanaitwa Makamishna? Naomba kujua vigezo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nachofahamu ni watu kuweka fedha mahakamani katika kumdhamini mtu ila kuhusu mali ndio sina uelewa inakujaje? Kwa mfano, unaweza kuweka kitu kama hati ya kiwanja badala ya fedha katika kumdhamini...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Excerpt from the CA judgement........... Consequently, we invoke the provisions ofsection4(2)of the AJA to revise and nullify the proceedings of the CMA with respect to the evidence of PW1 and DW1...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za wakati huu waungwana! Naomba kujuzwa kenye mambo ya migogoro ya ardhi je mlalamikaji anahaki yakuanzisha kesi upya katika ofisi za kata ya serikali za mitaa, ilihali kesi ilisha fika...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya kufuatilia kesi ya ugaidi inayoendelea nimeona Mashahidi wa serikali wakipata wakati mgumu mpaka wengi kuomba kwenda faragha mara kwa mara na jana moja aliokolewa na wakili wake , sasa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu salaam! Wakati tukiendelea kumtafuta Paul Makonda a.k.a BASHITE ili akapate haki yake kamili pale Mahakamani iwe kusafishwa mbele ya umma au kupelekwa gerezani. Yanayoendelea kwenye kesi...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza mnanishauri nisome vitabu gani ambavyo vitanisaidiaa?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia kuhusu kesi za jinai, namba mnieleze jinai ni nini? Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zinezo.
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom