Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kuruthum Omary Kahimba & Rehema Omary Kahimba vs Mwajuma Omary Kahimba, Misc Civil Cause No 04 Of 2018 Kwa maneno yake mwenyewe Jaji Ndunguru anasema kesi hii inamkumbusha mistari ya Biblia...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Who is the innocent/bonafide purchaser in Tanzania? The buyer is an innocent or bonafide purchaser in Tanzania if he had no actual notice, constructive and imputed notice when buying the suit...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima zenu wakuu, na poleni na majukumu ya wiki nzima. Kuna jambo naomba kujuzwa kuhusu kubadili jina. Hii inatokana na ukweli huu "nilipokuwa std 4 tz nilihamishiwa shule huko kenya ambapo...
0 Reactions
76 Replies
47K Views
Nauliza inawezekana Kuunda kikundi cha watu kiwe kama club Kwa ajili ya kutoa elimu ya Maisha Kwa wanafunzi mashuleni na kisiwe kama foundation au NGO
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu kiwanja chetu cha familia kilivamiwa na mtu ambaye alikuwa jirani yetu kwa kipindi hicho, tulipokuwa tunamwambia atoke kwa mdomo alikuwa anasema kuwa hawezi toka kwani amepewa na serikali ya...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa Mujibu wa Maamuzi katika kesi ya Bahati Boniphace Kazuzu V. Ruth Alex Bura (HC, DSM,2021) . Mahakama imeamua kwamba Mali/zawadi yoyote Anayopewa mwanandoa Kutoka kwa Mchepuko wake itahesabiwa...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwafula Dume, 55 ni mfanyabiasha wa samaki waliokaushwa kutoka ziwa la Nyumba ya Mungu lililopo mkoani Kilimanjaro, na kuwasambaza mikoani. Mbali na kuuza samaki, Dume mwenye wake watatu pia...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25 na ni wa mwisho kuzaliwa katika familia yenye watoto sita. Wazazi wetu wameshafariki hivyo tumeachiwa baadhi ya mali ambavyo ni nyumba na mashamba tumegawana...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Naomba kujulishwa natakiwa nifanyeje ili niweze kubadili majina ya vyeti vya kitaaluma pamoja na kitambulisho cha Nida ambavyo vinasoma tofauti. Mfano mimi naitwa Neema...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
KWANI MATUNZO YA MTOTO NI SHILINGI NGAPI KWA MWEZI ? Na Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Hakuna kiwango maalum cha kutoa kwa mzazi mwenza kama matunzo ya mtoto. Kuna wengine...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Mijadala mingi muda hautoshi. Nimeona nishiriki kidogo mjadala wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Ndg Makonda. Nimeona watu wengi wanajaribu kulijadili jambo hili kwa upambe na...
2 Reactions
1 Replies
509 Views
Habari za kazi, Naomba kujua hatua gani ya kufuata baada ya kupokea notice of appeal kutoka kwa mtu niliemshinda katika kesi ya ardhi. Naomba msaada wenu katika sheria.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Samahani jamani nahitaji msaada kidogo juu ya hili. Tareh 15.08.2022 niliingia katika mkataba wa nyumba ya kupanga ambapo nililipa kodi ya miezi sita na fedha za udalali baada ya hapo ikapita kama...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Ninaomba kufahamishwa sheria ya ndoa Tanzania inasemaje ikiwa umezaa na mke wa mtu? nataka kujua kama unaweza endelea kutoa matunzo ya mtoto akiwa kwenye familia nyingine. Na...
6 Reactions
51 Replies
8K Views
Wazazi wangu walitengana nikiwa na umri mdogo kisha mama yangu akaolewa tena. Kwa sasa nimemaliza kidato cha nne nataka kwenda chuo ila nahiitaj kutumia jina la baba yangu mzazi kabla sijaingia...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Wana jf. Naomba kujua sheria inazungumziaje katika hili, Yani umezaa na mwanamke ila huishi nae na umelea mimba na mtoto kazaliwa,ukalea mtoto Kwa kila kitu Akiwa na mama yake Akafikisha...
3 Reactions
12 Replies
7K Views
Kuna tetesi kuwa kifo cha Kanumba kimetokana na Kusukumwa na LuLu wakiwa wanagombana nyumbani kwa Kanumba. Wawili hawa walikuwa wapenzi. Katika ugomvi huo LuLu alimsukuma Kanumba na Kanumba...
1 Reactions
195 Replies
29K Views
Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Je hii Imekaaje Kisheria Wakuu. . Kwa Divorcee amepewa Mimba Na Respondent then Mahakama Ikaona Hakuna Haja Ya Kuendelea na Kesi?
0 Reactions
1 Replies
440 Views
Hbr Wana JF Mimi ni mjasiliamali, najihusisha na ununuzi wa mashamba kisha huwa nakata viwanja. Mwaka 2020 nilipata dili ambalo kiujumla ndio ilikuwa dili yangu ya kwanza kubwa, kuna jamaa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom