Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

1: Kama unahojiwa na Wakili Mahakamani usijibu bila kutafakari alichokuuliza 2: Wakili asikuogopeshe kwa ukali, anapokuuliza kwani ukali hulenga kuleta paniki na kukusahaulisha ulichopanga kusema...
10 Reactions
16 Replies
4K Views
Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
3 Reactions
49 Replies
7K Views
Ndugu wanajamvi. Napenda kujulishwa endapo watumishi wawili wamekubaliana kubadilishana vituo vya kazi kutoka mkoa 1 kwenda mwingine. Barua zao zikaenda kunakohusika lakini ikabainika mtumishi 1...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari, Nina mshkaji wangu yupo Morogoro, wana kesi walishtakiwa ya kiofisi Tangu mwaka 201, upande wa Jamhuri walileta shahidi mmoja tu, ishapita miezi hawajaleta shahidi mwingine, Sasa...
0 Reactions
3 Replies
574 Views
Naomba kufahsmishwa na wajuvi wa sheria nafasi ya mwananchi anayegundua kuwa shahidi aliyeapa mahakamani amedanganya taarifa zake binafsi, taarifa husika ni jina kamili, umri, kabila na elimu.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, Poleni na majukumu ya kila siku, nisiwe na maneno mengi naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada husika. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, binafsi kadri siku zinavyosonga najikuta...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
Iko hivi.. kuna kiwanja nimenunua muuzaji kanionesha ramani ambayo imechorwa na surveyor wake ..madai yake kasema alienda ofisi za ardhi kujua eneo analotaka Kuuza ni kwaajil ya makazi au...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sheria ya kulinda siri ina sehemu inazokuzuia kuropoka siri za taasisi yako unayofanyia kazi,,,sehemu hizo ni kama ukiwa baa, sokoni,msikitini,kanisani,kwa mchepuko nk, ukiwa sehemu hizo ikaropoka...
1 Reactions
1 Replies
837 Views
Habari za sasa wanaJf. Mimi ni mwajiliwa mpya kwenye sekta ya afya katika salary slip yangu nakatwa PAYE 30% mshahara wangu ni above 720,000/= TUGHE nakatwa 2% NHIF 3% na NSSF 10%: Hoja yangu...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Hivi Tanzania na jurisdiction zingine hakuna case laws zinazotoa majibu ya shahidi anayekataa kujibu maswali kwa kisingizio cha siwezi kujibu kwa vile nina kiapo? Naona Jaji kama hajui kitu kama...
1 Reactions
0 Replies
676 Views
Kama Freeman Mbowe akikutwa na hatia, je Sheria inasemaje kuhusu adhabu,atafungwa kwa muda gani(Miaka mingapi)? Uzi tayari
3 Reactions
5 Replies
955 Views
IBARA YA 149 (1) c YA KATIBA YA TANZANIA; Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na katiba hii. " ... Ataweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Sheria ya utumishi wa Umma inasemaje kwa mtumishi ambaye anataka kustaafu kwa hiari kabla ya miaka ile 60 ya kisheria.. Mfano ana miaka 55. ila kwa sababu ya changamoto ya ugonjwa anaamua...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habarini wanajamvi, Polen na majukumu pia, nimekuja kwenu nikihitaji msaada wa kisheria nikiamini humuvjamii forum nisehemu ambayo kuna watu ni wajuzi na wenye expirience mbalimbali ktk upande...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Iko hivi.. kuna kiwanja nimenunua muuzaji kanionesha ramani ambayo imechorwa na surveyor wake ..madai yake kasema alienda ofisi za ardhi kujua eneo analotaka Kuuza ni kwaajil ya makazi au...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyikaganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake.
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Habari za kazi wakuu, poleni na changamoto za kila siku. Nahitaji msaada kuhusu hili: Nina ndugu yangu yupo mahabusu SEGEREA ni mwaka wa pili sasa hajapandishwa mahakamani, je hii imekaaje...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba mwenye kesi yoyote inayozungumzia time-barred debt acknowledgment anisaidie kuniwekea hapa au inbox. Section 27,28,29??? of the law of limitation. ie what is the law in Tanzania as...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Nilishinda shauri la ardhi na kupewa idhini ya kubomoa ukuta uliojengwa kimakosa. Pia nikapewa dalali na mahakama ili akatekeleze ubomoaji. Dalali nikamlipa pesa nyingi. Kabla dalali hajavunja...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…