Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari wadau,kumekuwepo mkanganyiko juu ya talalaka pande zote Islam na ukristo watoto haki yao ikoje wale walioko kwenye ndoa hebu mnisaidie mwanasheria hilo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF. Nilikua naomba kupata clarification kidogo ya kisheria kuhusiana na jambo hili Kuna mtu(Mpangaji mwenzangu) amekua akinizingua sana kwa kunitukana kwa matusi na wakati mwengine...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Yapata miezi kama kama miwili imepita Tangu nilipobomolewa mlango wa nyumba ya kupanga mida ya mchana na nikaibiwa vitu kadhaa ikiwepo TV , radio, pesa , vyombo na vitu vingine. Wakati...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari, nilikuwa nikifanya kazi kwenye kampuni fulani ya uuzaji wa mafuta,nimefanya kazi kwa muda wa miezi 10 bila kupewa mkataba unaonifanya kujua haki na stahiki zangu kwa kipind chote mpka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF, Naomba tupeane habari kuhusu baadhi ya kesi maarufu zilizowahi kutokea ndani ya Tanzania ambazo kwa kiasi fulani zilitikisa na sasa zinatumika katika maamuzi ya kesi...
0 Reactions
28 Replies
25K Views
Habari wana Forum Tafadhali ninaomba materials ya sheria, hii ni pamoja na Case Law na Notice Ninaomba materials ya Contract Law, Arbitration and Dispute Resolution (ADR), Law of Evidence...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba ufafanuzi wa hii skendo kwa wale waijuao. Je hii ni dalili ya nguvu mpya dhidi ya ujambazi au over confidence ya ma afande imezua soo...
1 Reactions
396 Replies
77K Views
Wakuu wanasheria natumaini mko poa. Nilinunua pikipiki juma tano na niliambiwa kuwa kadi haijafika tukapewa chases number tukarudi. Jumamosi nikiwa safarini nikaambiwa dogo amegonga mtu na huyu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tumia neno majo hapo chini utunge sentensi kwa lugha ya kiingereza au Kiswahili yenye maana: 1.PGO 2.Competency 3.Relevancy 4.Materiality 5.Mchongo. 6.fuctus officio 7.Chain of custody 8.Tazara...
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Kwa wale wanasheria wenzangu, mnakumbuka kesi ya Dickson Paulo Sanga, Rufaa ya madai Na.175 ya 2020 Mahakama ya Rufaa (DSM) ilitoa miezi 18 sheria kubadilishwa kwa ujambazi wa kutumia silaha ili...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Anaepaswa kumtaarifu mtu kuwa anatakiwa kwenda kutoa hasa kwa upande wa mashitaka hususan Jamuhuri?? Je ni Dpp? Je ni DCI ? Au ni Polisi??
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanasheria na wadau mnaofahamu naomba mrejesho juu ya kichwa cha habari hapo juu. Kwanini Jaji hawezi kutoa maamuzi ya papo kwa hapo au ndio sheria inavyotaka? Ili kufanya maamuzi madogo lazima...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
What was the issue of contention, what was Liganga supposed to decide? Kama ni issues hizi: Estopel? Res judicata? au Functus Officio? Mahakama ya Rufaa ilishaweka msimamo kamili: ina rejea ya...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Kibatala: Mheshimiwa Jaji niende kwenye hii Kesi ya Wenzetu ya UGANDA Vs OKUMU REGAN AND OTHERS Kama Kuna Kesi itakuisaidia basi kesi hii.. Na Kupeleka Ukurasa wa Tano, Sisi tumesema Kwamba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wanafamilia, kuna jirani yangu nilimkopesha pesa kiasi cha sh 550,000 bila maandishi kwani hata yeye huwa ananikopesha pasipo na maandishi. Ipo hivi kuna siku alimtuma mdogo wake aje...
4 Reactions
31 Replies
6K Views
Wanasheria tunaomba mtusaidie juu ya hili jambo. Sioni kabisa logic ya Mbowe kuendelea kujitetea mbele ya hii mahakama. Someni hiki:
10 Reactions
48 Replies
4K Views
Marekebisho makubwa katika sheria za Jinai nchini Tanzania: Na. M. Majaliwa, Esq. Tulikwishapoteza mwelekeo, hatukuwa tena nchi yenye kustahili kujinasibu kwa tunu za Uhuru, Haki, Udugu na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Discrediting Evidence in a Criminal Trial Discrediting evidence can be the best line of defense. By Deborah C. England Types of Evidence In general, three types of evidence will typically be...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kujua, Hakimu anatumia vigezo gani kumpa mdai au kumkadilia mdai kias cha malipo ya general damages katika kesi za madai?au anaamua tu kutoka kichwan mwake na si vigezo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wenye kujua ktk ndoa za Kiserikali,je, kuna pesa maybe inayotozwa ktk kufunga ndoa ya Kiserikali? wanaojua karibun sana kwa ufafanuzi
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Back
Top Bottom