Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mzee wangu ambaye kwa sasa ni marehemu ana madai yake ya fidia ya ardhi kwenye mamlaka ya maji DAWASA lakini hawataki kuilipa familia yake. Kwa kifupi ni kuwa DAWASA walipita hawamu mbili kuchukua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mama anataka kuuza nyumba na aliyojenga na marehemu baba then arudi kijijini ,vipi kuhusu sisi watoto? Wote ni watu wazima je tunachetu hapo? Au hatuna haki? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Salaam, Kama heading inavyojieleza hapo, naomba nisaidiwe ufafanuzi Juu ya hili swala la Dhamana, Kwa mfano nikienda kumtolea Mtuhumiwa dhamana Ni lazima niende na Cash? Na je siwezi kutumia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba thread hii iwe inakusanya video na documentations zote zinazohusu cross-examinations za kesi mbalimbali mahakamani kutoka pande mbalimbali za dunia. Kati ya vitu huwa napenda sana kwa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wanasheria naomba kujua, kutokana na ripoti ya CAG ndani ya chama cha walimu CWT aliibua madudu mengi, naomba kujua nahitaji kufungua kesi dhidi ya CWT mashitaka yangu yanapaswa yaweje na ni...
0 Reactions
5 Replies
913 Views
Tahadhari: Kama ulikimbia umande hii haikuhusu maana yai linatemwa na mwenye yai mwemyewe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jackie Frazier- Lyde ni Nani ? Jackie Frazier a.k.a Sister Smoke a.k.a Sister Lyde ni mtoto wa Joe Frazier. Joe Frazier ni Nani? Joe Frazier( R.I.P) ni bondia wa uzito wa Juu " Heavy Weight...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Je, uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu, ndugu Zitto sheria za uchaguzi zinamruhusu kugombea nafasi yoyote, mfano nafasi ya ubunge nk?
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Sijui ni lini tutakuwa serious kama nchi. Mimi sifuatiliagi sana vipengele vya kisheria ila hii nimejikuta naipitia kwa sababu zangu binafsi. Nimecheka japo inakera sana. Sheria hii ya ajabu...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Katika kesi ya Smith v Hughes , washtakiwa hawa ambao walikuwa wapenzi, walishtakiwa chini ya Sheria ya Makosa ya Mtaa kwa kosa la kufanya mapenzi hadharani ijapokuwa walikuwa ndani ya nyumba yao...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
In the wake of a compromised, weak incompetent judiciary and powerless courts; definitely under pressure from the executive, NO or VERY few cases have been and will be decided fairly and justly in...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Unaweza ukawa na akili lakini usiwe na maarifa.. Makinika... Kumbuka maandishi hayafutiki... Hata unapofuta ama kuhariri maudhui yako hapa JF.. Original version hubaki huko kwenye sever Tendo la...
9 Reactions
35 Replies
3K Views
Mwajiri wangu amenibambikizia kesi ya wizi, akanishitaki Polisi kisha uchunguzi ukafanywa na jeshi hilo la Polisi majibu yakaja kwamba sina kosa hilo na wakashindwa kunipeleka mahakamani. Baadaye...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina kesi ya madai. Nahitaji mdaiwa wangu apelekewe hiyo document. kama kuna mtu anaweza nifanyia hiyo kazi anicheki. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nawaomba wanajf mnielimishe namna nzuri na ya kisheria ya kuwarithisha watoto mali zangu! Pia sheria inasemaje juu ya umiliki wa mke hasa kwa Mali alizomkuta Nazo mume wake?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu wa karibu sana amezinguana na mkewe kama wiki 2 zimepita. Kwa influence ya wazazi wa binti imefunguliwa kesi ya kuwa jamaa kampiga mkewe na kumuumiza hivyo kwa madai ya jamaa...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wanaojua sheria za kimataifa hivi mfano Mimi ni rais halafu kwa sheria zetu ninakinga ya kutoshtakiwa kwa Mambo niliyoyafanya nikiwa madarakani. Je, siku nikiondoka madarakani halafu nikaenda...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwizi kaingia ndani ya nyumba ya mtu kuiba majirani tukaona tukafunga mlango kwa nje. Mwizi akataka kuvunjja mlanngo akapanda juu akachana bati akutokea juu akaanza kukimbia, Wananchi wenye...
0 Reactions
5 Replies
998 Views
Kuna mtu nilimwazima pesa kiasi cha mil 1.5 na kuweka dhamana ya nyumba kwa maandishi mbele mtendaji wa kijiji kwa makubaliano ya kulipa ndani ya kipindi cha miezi mitano, alifanikiwa kulipa laki...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Kifungu cha 148(5) cha CPA kinacho wanyima watuhumiwa wa makosa yaliyoainishwa na kifugu hicho ni batili na kifutwe kwa kuwa kinakiuka Katiba ya JMT na serikali. CHA AJABU: Mahakama imetoa muda...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…