Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari wana JF Mimi nilifunga ndoa ya bomani, ila ndoa yangu iliingia doa na uwezekano wa kurudiana imeshindikana. Nilikua naitaji kujua taratibu za kuvunja ndoa za bomani, maana sheria inataka...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari za wakati huu naomba ufafanuzi kuhusu calculationa, vigezo, wajibu wa mwajiri na mwajiriwa juu ya malipo ya kiinua mgongo baada ya mwisho wa mkataba. Kuna mdogo wangu anafanya kazi katika...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Changamoto kubwa katika ndoa nyingi si kupata mali bali namna ya kuzimiliki. Japokuwa mchakato wa umiliki unaweza kuathiriwa na jinsi mali husika zilivyopatikana. Lakini, mara nyingi migogoro...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Aise mimi naona huyu MD mpya ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaada. Uozo starts from the top, mbona...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa, Naomba msaada wa nakala ya makubaliano (mkataba) inayohusu ukodishaji wa vifaa kama vile cameras na video production kwa ujumla, pia nakala ya makubaliano ya kazi...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Kama uzi unavyosema, Mara nyingi wanasheria wanachanganya madesa sana! Nipeni maana zake kwa comparison, na ni ipi inatumika wapi na katika mazingira gani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana JamiiForums, Nilikuwa naomba ushauri wenu. Kuna company nilipata kazi wakanipa mpaka mkataba nikasaini ila siku ya kuanza kazi haikupangwa kutoka na kutojua siku sahihi ya kufungua...
1 Reactions
3 Replies
963 Views
SASA APANDISHWA KIZIMBANI DUBAI Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe amefikishwa mahakamani Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa tuhuma za mauaji baada ya Serikali ya...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Kuuliza ni kutaka kujua ama kupata ufafanuzi, ninakusudia kwenda mahakamani kuomba haki ya kuweza kumuona ama kutembelewa na mtoto wangu (binti wa miaka mitano) baada ya kutengana na mama yake...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Naweza kupata list ya mawakili wapya walioapishwa leo December 13 2019?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jukwaa habarini za jioni. Mimi ni mgeni kabisa katika hili jukwaa la sheria na limefika hapa baada ya kutatizwa na hii kitu inayojulikana kama mgongano wa kimaslahi au conflict of interest...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naandika ujumbe huu kwa niaba ya dada mmoja anaitwa Joan, alinunua kiwanja kutoka kwa rafiki yake miaka ya nyuma na kupewa hati ya kijiji ambapo aliweka mashahidi watatu. Aliyemuuzia kiwanja...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanaoratibu kuweka hizo decision kwenye mtandao kulikoni? Sasa is almost a month bila kuweka any decision wakati court sessions zimefanyika na zinaendelea kufanyika. Kesi ya mwisho ilikuwa hii...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
JINSI UNAVYOWEZA KUKUBALI KOSA POLISI NA KULIKATAA MAHAKAMANI. Unaweza kukubali kosa polisi au popote kama serikali za mitaa,sungusungu,nk na baadae kulikataa kosa hilo uwapo mahakamani. Kitu...
7 Reactions
20 Replies
5K Views
Wanajamvini wenzangu kwa yeyote. Mwenye shida na masuala ya sheria za kazi awe huru kuniuliza. Karibuni!
1 Reactions
121 Replies
20K Views
Mahakama jijini Abuja, Nigeria, imeliamuru Jeshi la Polisi kulipa faini kwa kupuuza maagizo baada ya kukataa kumpa dhamana mwandishi wa habari na mwanaharakati Omoyele Sowore. Omoyele ameachiliwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni miaka mitatu tangu nikutane na mchumba (single mother). Ninaishi naye kinyumba kwa muda wote huo bila kwenda kwao kujitambulisha, ila nafsi inanisuta, nataka kwenda kujisalimisha mwakani...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni mfanyakazi wakati naajiriwa taarifa zangu nilijaza kwa usahihi katika mkataba wangu wa Ajira na stahiki zangu Kama likizo nilikuwa nalipwa kulingana na taarifa zilizopo katika mkataba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa makandarasi walio wengi, hawazitumii sheria na wanasheria kuhusiana na mikataba. Kwa mujibu wa Standard Conditions of Contract za serikali, wengi hawajui kuwa unaweza kuusimamisha mkataba...
1 Reactions
0 Replies
844 Views
Naomba msaada wa kisheria, kati ya mkataba wa ajira na personal data form ipi ina nguvu kisheria katika haki za mfanyakazi?
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Back
Top Bottom