Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
BANDARI YATEKELEZA KWA KISHINDO MAAGIZO YA MAMA SAMIA Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), chini ya Uongozi wa Mkurugenzi Mkuu wake, Bwana Plasduce Mkeli Mbossa imefanikiwa kutekeleza...
0 Reactions
5 Replies
468 Views
Kumezuka tabia mbaya ya kutumia Fedha za Umma eti kusaidia watu waliokumbwa na Mafuriko ya kile kinaitwa mvua za El Nino. Jambo hili amelieleza Vizuri RC Makonda alipotembelea wahanga huko Arusha...
1 Reactions
8 Replies
613 Views
Hivi kwanini kusiwe na utaratibu mazuri wa namna ya kutunza cash za noti? Unakuta noti za elfu kumi, elfu moja, elfu mbili au elfu tano zinawekwa ovyo sana kwa kukunjwa kunjwa na watu kiasi...
1 Reactions
3 Replies
521 Views
Ndugu zangu Watanzania, Msione Lema ameanza kuweweseka na kupiga mayowe mitandaoni kabla hata Mwamba Mwenyewe Makonda hajaapishwa na kwenda kutua katika ardhi ya Arusha na kitovu cha utalii...
4 Reactions
129 Replies
5K Views
WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA ASHIRIKI SHEREHE ZA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO ZANZIBAR Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax, Aprili...
0 Reactions
6 Replies
639 Views
Wananchi katika Mkoa Wa Arusha wameeleza kuridhishwa na kazi inayoendelea kufanya na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Nchini hususani katika kuwaleta wananchi pamoja na utekelezaji Mbalimbali Wa...
1 Reactions
12 Replies
864 Views
Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu. Sasa...
18 Reactions
224 Replies
14K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katika mahojiano yaliyofanywa kati ya mwanahabari Odemba na Mbunge wa Arusha Mjini Mheshimiwa Mrisho Gambo ameeleza mambo mengi sana kuhusu mbunge huyo wa zamani wa Arusha...
8 Reactions
149 Replies
10K Views
Salaam, Shalom!! Katibu MKUU wa CCM ameanza ziara yake kivyake na anasema yake, wakati huo huo Mwenezi naye ameendelea na uelekeo wake. KM anasema, viongozi wa CCM wasiwakaripie hadharani...
7 Reactions
138 Replies
7K Views
Hivi upinzani umeishiwa kabisa hoja na sera za kuwasemea wananchi na taifa letu kwa ujumla mpaka wadandie mabaya na matusi ya wana CCM? Tunafaidika nini sisi wananchi kwa kutukanana wana CCM...
4 Reactions
32 Replies
850 Views
Baadhi ya taa za barabarani katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu zinapowekwa kwa mara ya kwanza huwa zinawaka lakini baada ya muda utakuta au baadhi ya taa au taa zote kwenye barabara husika...
5 Reactions
22 Replies
895 Views
Sijaelewa ni nani aliyewafunza waandishi wetu wa habari yaani Taarifa za habari kwenye T.v ,redio na magazeti zimejaa habari za majanga tu hakuna ubunifu. Kwa asilimia kubwa yapo mema yanayotokea...
1 Reactions
7 Replies
413 Views
Habari Wana JF, Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha...
3 Reactions
14 Replies
912 Views
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako. Huwezi kuwa wewe una vikosi vya...
12 Reactions
69 Replies
4K Views
Vyombo vyetu vya Ulinzi,Usalama na Ujasusi vinafanya kazi kubwa sana toka tupate uhuru..Lakini pia bado tuna mianya mingi na mapungufu ambayo vinapaswa kumulika zaidi Kwa faida ya Taifa letu...
1 Reactions
1 Replies
323 Views
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewataka Watanzania kutumia benki kuhifadhi fedha zao ili kuhakikisha usalama wa fedha zao na usalama wao na kuacha tabia ya kuhifadhi fedha nyumbani...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari wadau, Kuna wizi mkubwa sana unaendelea TARURA, na uenda mimi sio mhanga pekee, lakini ni vema nifichue hiki kitu kwa faida yangu na wengineo. Mimi ninafanya shuguli zangu nchini...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Taarifa zilizotufikia kutoka Mjini Tanga, zinaeleza kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezuiliwa kufanya mkutano wa Hadhara Mjini humo, Mkutano huo ulipangwa kuongozwa na...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Mwenezi wa CCM Komredi Amos Makala amesema katika Ziara yao Katavi na maeneo mengine watasikiliza kero za wananchi lakini siyo zile zilizoko mahakamani Makala amesema wanajua Wananchi Wana...
2 Reactions
73 Replies
5K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HALI YA MVUA NA MAAFA YA MAFURIKO NCHINI
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Back
Top Bottom