Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mpaka hapo Hilo bwawa limegeuka kuwa catastrophe Kwa Wananchi. Unaambiwa ikitokea bahati mbaya likavunja Kingo zake,Rufiji nzima itakumbwa na Mafuriko...
9 Reactions
206 Replies
10K Views
Kama tulivyosema awali Uchumi wa Tanzania unazidi kuanguka kifo cha Mende , hii ni baada ya Wananchi kushindwa kumudu hata kununua kilo ya Nyama . Familia nyingi za Uswahilini hasa zenye watu...
30 Reactions
104 Replies
4K Views
10 April 2024 MH. RAIS DR. SAMIA S. HASSAN MGENI RASMI BARAZA LA IDD 2024 RAIS SAMIA ATOA POLE MAFURIKO ya RUFIJI na MORO - ATOA MAAGIZO HAYA MAZITO KWA BAKWATA na SERIKALI...
2 Reactions
5 Replies
889 Views
UHALALI KISHERIA v UHALALI KISIASA #NECijiuzulu #INECiingie Kuanzia keshokutwa tarehe 12 April 2024 Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi inaanza kutumika kwa mujibu wa GN no. 225 ya 29 Machi...
2 Reactions
6 Replies
610 Views
Mwenyekiti wa Chadema Mwamba kabisa , Freeman Mbowe , ambaye huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za heri ya Eid El Fitri kwa Waislam wote Nchini na kote...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema huna Sababu ya kupambana na mamlaka, nimekusoma Kule X Ushauri wangu kwako soma Marko 12:1-10 Mkulima mwenye shamba,utabarikiwa Eid...
1 Reactions
11 Replies
873 Views
BALOZI NCHIMBI AKOSHWA NA MAFUNZO YA VIONGOZI WA KISIASA WANAWAKE NCHINI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amefurahishwa na mafunzo yanayotolewa kwa...
3 Reactions
2 Replies
408 Views
Kwa mujibu wa Mhandisi wa Tanesco ni kwamba kilichosababisha Mafuriko huko Rufiji ni Wananchi waliovamia mkondo wa Maji na Sio Bwawa la Nyerere. Mhandisi huyo mbobezi amenukuliwa akisema mwaka...
9 Reactions
54 Replies
5K Views
Nanukuu alichoandika mjumbe wa bavicha, kamanda Faustine "….. waraka wa Wazi kwa Martin Maranja Masese, MMM na Watu wote. Mwenyekiti wetu wa Chadema Taifa (my role model) alipo ona opportunity...
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Vyama vya siasa, pamoja na kwamba watu ndio huchagua lakini nyota ya mtu kwa mwaka husika wa uchaguzi inahusika sana kumfanya mtu huyo kuchaguliwa na hao watu bila kujali itikadi zao. uchaguzi wa...
2 Reactions
0 Replies
206 Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo amefanya ziara ya kushtukiza kituo cha mwendokasi eneo la gerezani na kukuta mfumo wa kusoma tiketi haufanyi kazi, mtendaji mkuu alisema mfumo haufanyi kazi baada...
41 Reactions
329 Replies
29K Views
Suala la kikotoo lilianza tangu kipindi cha awamu ya 4 chini ya Jakaya Kikwete lakini zilitengenezwa mbinu fulani likahairishwa na mfupa akatupiwa Hayati Magufuli katika awamu ya tano. Pamoja na...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya...
16 Reactions
141 Replies
5K Views
Lucas Hapa kwenye Msikiti Mkuu wa Bakwata zamani palikuwepo Shule ya Sekondari ikiitwa Kinondoni Muslim aka Kimbweru na pembeni palikuwepo Msikiti mdogo na ofisi za Bakwata na kota chache za...
5 Reactions
8 Replies
429 Views
Tanzania Chini ya CCM ni Nchi ya Vichekesho.Utasemaje Tuna TUME HURU ya UCHAGUZI wakati Mwenyekiti wa Tume na Makamu Mwenyekiti wanateuliwa na MGOMBEA URAIS? TUMEBADILI JINA la TUME lakini TUME...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Bismilahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA S.L.P. 2055 DAR ES SALAAM. WARAKA WA IDD - Shawal 01, 1445 - April 10, 2024 Awali ya yote tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa...
3 Reactions
13 Replies
719 Views
Awamu iliyopita ilijitahidi sana kuwa karibu na wananchi hususan wale wa tabaka la chini, Kwa kuwasikiliza! Haijalishi hoja anayokuja nayo mwananchi yeyote ukiwa kama kiongozi unapaswa kusikiliza...
2 Reactions
10 Replies
382 Views
-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa -- Wananchi wameanza kuambiwa...
23 Reactions
139 Replies
8K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAAFA YA MAFURIKO RUFIJI NA KIBITI MKOANI PWANI
1 Reactions
2 Replies
494 Views
Mbombo ngafu, haijaisha mpaka iishe, kama haitoshi kwa mafuriko yanayotokea sasa Rufiji, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetangaza uwepo wa mvua kubwa katika maeneo kadhaa, pamoja na Mkoa wa...
4 Reactions
13 Replies
840 Views
Back
Top Bottom