Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rais wa zanzibar 2000 hadi 2010 Amani Abeid Karume, akiri kuandaliwa kuchukua wadhifa huo. Akihojiwa ktk kipindi cha ITV DK 45 leo usiku, amesema aliitwa na wazee na kuambiwa Dkt Salmin...
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Ameandika hivi kupitia mtandao wa X: Waheshimiwa Majaji & wanasheria mlioko Tume hii naomba kuwauliza: Ibara ya 74(1) ya Katiba yetu inatambua jina rasmi la Tume kuwa ni 'Tume ya Uchaguzi.' Hili...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 CHADEMA chukueni suala la kikotoo cha mifuko ya pensheni kama ajenda muhimu ya uchaguzi. Mkiwapa wafanyakazi ahadi ya kurudisha kikotoo cha zamani ambapo...
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Tundu Lissu yuko mubashara Clouds FM, akichambua kuhusu Tume hii ya uchaguzi. Atakuwepo hadi saa 3 asubuhi, wapo na Zitto Kabwe na Onesmo Ole Ngurumwa. Tusikilize uchambuzi makini.
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Wadau nawasabahi. Pamoja na Elimu ndogo ya Mambo ya sheria lakini nimepata mashaka kidogo juu ya KATIBA na TUME ya UCHAGUZI. Binafsi naamini KATIBA ndio Chombo cha Sheria zote za Nchi. Vitu...
0 Reactions
2 Replies
540 Views
Source: Clouds FM Power Breakfast. Akihojiwa asubuhi hii ya leo kupitia Clouds Fm Power Breakfast Mwanasheria Onesmo Ole Ngurumwa amesema Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi sio huru iwapo wajumbe...
1 Reactions
9 Replies
613 Views
✳️UVCCM WAWASILI RUFIJI KUTOA FARAJA KWA WANANCHI. Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komredi Mohammed Ali...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
  • Closed
Kuna Taarifa kwamba asubuhi ya Kesho, kwenye Kipindi chao cha Power Breakfast wamealikwa wanasiasa wawili, Mmoja ni Zitto Kabwe ambaye ni mshirika wa SUK, Mwingine ni Makamu Mwenyekiti wa...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ukiwa leo umesherehekea sikuku ya Idd vizuri. Tumia hata dakika moja kuwaombea Watanzania wenzetu wa Rufiji wanaopitia wakati mgumu kwa mafuriko. Ukiwa sebuleni na familia yako ukitafakari ya...
2 Reactions
17 Replies
662 Views
Kama sio Vigogo , basi wake zao , kama Si wake zao basi ni Chawa, kama Si Chawa basi ni CCM haiwezekan ndan ya mwez, V8 2 zikamatwe , Moja ikiwa na bendera ya CCM ,Leo hii ni STL. Siamin kama...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Tunaposema Vyama vya Siasa haviwezi kutengeneza Katiba mpya ya Wananchi muwe mnatuelewa Sasa NEC imebatizwa kwa Maji Mengi imekuwa Tume Huru ya Uchaguzi Chadema na ACT wazalendo mnafeli Sana...
2 Reactions
7 Replies
494 Views
Nadhani tusiangalie binadamu tu, bwawa la Mwalimu Nyerere limejengwa katikati ya Mbuga ya Wanyama, haya mafuriko yanawaathiri kiasi gani? Hii ni hifadhi ambayo iko katika orodha ya hifadhi zenye...
12 Reactions
42 Replies
2K Views
Rostam Aziz: mahakama zetu sio huru ni sahihi Kwa Dp world kuweka kipengele cha mahakama ya South Africa. Kwanini mahakama zisimchukulie hatua kali iwe fundisho. Anafikiri ukiwa na pesa unaweza...
39 Reactions
54 Replies
3K Views
Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais na Majaliwa alikuwa Waziri Mkuu chini ya utawala wa Hayati Magufuli. Wakati huo mengi yalifanyika na hakuna siku wawili hawa waliwahi kupinga. Baada ya Rais...
3 Reactions
17 Replies
920 Views
Huyu ni Mzee ambaye alikuwepo tangu wakati wa Nyerere. Kikubwa bado yuko fit na anaweza kujibu maswali. Siku hizi wanasiasa wanajiona wanajua sana kila kitu kuongea kishabiki na kuweka kiki...
4 Reactions
8 Replies
667 Views
Mnachotakiwa kufanya ni kila mwaka kuwapa kandarasi mmojawapo Big four wa audit ambao ni KPMG, E&Y, PWC au Delloite wafanye ukaguzi wa nje "External Audit" kwa wafanyabiashara wakubwa 1000 na wa...
8 Reactions
50 Replies
1K Views
Jimbo la Musoma Vijijini lenye Kata 21 lina jumla ya Vijiji 68 na Vitongoji 374. Jimbo hili lina Sekondari 28, kati ya hizo 26 ni za Kata/Serikali na 2 ni za Binafsi (private). Wanavijiji...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
TRA kuweni serious ! Kwenye Mshahara wangu wa mwezi nakatwa kodi na madudu mengine karibu nusu ya Mshahara kabla sijaupokea, nafungua Biashara mnataka Kodi kabla sijaanza,Mwenye Nyumba ya...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Hili Neno la kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki linanikumbusha wakati wa uchaguzi wa 2020 Rais Magufuli aliwatangazia Watanzania kuwa Uchaguzi wa 2020 utakuwa huru na haki. Yaliyojitokeza katika...
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Back
Top Bottom