Akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mbunge wa #Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Tsh. 2,000 kila Mwezi kwenye laini za simu...
Mkurugenzi wa Katavi aliyetumbuliwa jana na Mh. Samia Suluhu bibi Catherine Mashalla haikutolewa sababu, lakini kumbe ana kesi ya uhujumu uchumi na alikuwa sero mpaka wiki iliyopita ndio amepata...
Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri...
HARAMBEE YA MBUNGE YAFANIKISHA UPAUAJI WA MADARASA YA SHULE SHIKIZI KIUNDA YA MUSOMA VIJIJINI
Tarehe 12.1.2024 Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo aliendesha HARAMBEE...
Baada ya ujio wa Makonda nimeshudia mambo mengi na mengine yataendelea kutokea kama ifuatavyo.
1. Mji umechangamka, kila mtu anataka kusikia kauli ya mkuu wa mkoa.
2. Wakuu wa mikoa mingine...
Mimi natoa ushauri kwa Raisi Samia asisite kwenye swala la katiba kwasababu zifuatazo
1. Akisita wasiopenda katiba kwa manufaa binafsi kama mzee wetu mstaafu wa awamu ya 4 watapa mwanja wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Niliandika humu jukwaani hata wiki moja haijapita kuwa Arusha wamepewa upendeleo wa kipekee,wamepata bahati ya kipekee na neema ya aina yake kupelekewa na kuongozwa na...
🗓️08 Aprili, 2024
📌HQ
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa chini ya Mwenyekiti wake Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) katika Mwendelezo wa Utamaduni wa UVCCM ya kuishi karibu...
Hivi majuzi Mheshimiwa Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya mchapakazi, akiwa Morogoro alitoa taarifa kwamba hospitali za rufaa za mikoa zinakusudiwa kuhamishiwa Wizara ya Afya, toka mamlaka ya TAMISEMI...
Waziri ardhi, William Lukuvi leo tarehe 16 Februari 2021 amefika fukwe za Coco Beach akakuta kuna ujenzi unaendelea.
Akaagiza kusimamishwa kwa ujenzi na kubomolewa kwa uzio huo kwa kua fukwe za...
DUA YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA NA FUTARI KWA MAKUNDI YENYE UHITAJI
📍Msikiti wa Gadaffi | Dodoma
09 April 2024
Jumuiya ya Umoja wa wanawake wa Tanzania (UWT) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu...
Upotoshaji wa taarifa wakati wa uchaguzi unaweza kuathiri masuala ya kijinsia kwa njia kadhaa:
Kueneza Habari Potofu Kuhusu Wagombea wa Kike: Wakati mwingine, habari potofu zinaweza kutolewa...
Kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 ungekuwa kesho; ni Mbunge yupi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (wa sasa au aliyestaafu) ambaye ungependa awe Mbunge kwenye Jimbo unaloishi?
Kama yupo mtaje...
Waasi hao walalamika kuwa Bwana Eric Nkuba alikamatwa katika uwanja wa JK International Airport Dar es Salaam.
Mamalaka za Tanzania zilimkabidhi jamaa huyo kwa mamlaka za DRC na huko jamaa...
Kwenye kikao hapo mjengoni nimesikia jambo linalotia mashaka sana juu ya haki ya kuishi kwa wananchi.
Ebu msikilizeni Naibu Spika anavyotoa vitisho kwa Mbunge mwenzake.
Hivi spika ana haki ya...
https://youtu.be/aGuiTB1XX_0?si=sFKk6zISM0uq2XBb
Wakati maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025 yakiendelea, Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Warioba amesema makundi mawili...
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Nashindwa kuzuia hisia zangu katika kutabiri kazi atakazofanya Mh Paul Makonda (Katibu wa Uenezi na Itikadi Mstaafu) mkuu wa mkoa wa Arusha.
Paul Makonda...
Kweli tunaweza kuwa na wakuu wa mikoa wasiojua pasipoti zinaprintiwa wapi?
Au tunajua lakini tunafanya kick za kisiasa? Kwamba leo Mnataka kutuaminisha kwamba Ofisi ya Uhamiaji Arusha inatoa...
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa...
Kuna watu wamepoteza ari ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu.
Wapo wanaosema waliacha kwa kuwa hawana imani kama kura wanazipiga ndizo zinaamua mshindi, wanaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.