Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole nyumbani kwake Migombani kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Jenerali John Jacob...
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Rais Mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye Asikubali kamwe kuwa Rais kivuli na WA kupangiwa na Kuendeshwa na Bwana Ousmane Sonko ambae anajiona ndio amefanikisha Jamaa kuwa Rais. Mara kadhaa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
𝗞𝘄𝗮 𝘀𝗵𝗲𝗿𝗶𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝘂𝗺𝗲 𝗵𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝗻𝗶 𝘄𝗮𝘇𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘂𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝗺𝗸𝘂𝘂 𝟮𝟬𝟮𝟱 𝘂𝘁𝗮𝗸𝘂𝗺𝗯𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗰𝗵𝗮𝗳𝘂𝗸𝗼. Nimemaliza kusoma sheria namba 02 ya mwaka 2024 inayoanzisha muundo wa Tume ya...
1 Reactions
8 Replies
785 Views
Askofu Dr Gamanywa amerejea nchini kutokea Israel alikoenda Kuwapa pole Taifa takatifu na kujionea hali halisi ya mapigano Gamanywa amesema Yesu Kristo alisema "nalikuwa mgonjwa hamkuja...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Video inajieleza,hapa nilipo tangu asubuhi umekatika mara 7 na hatimae TV yangu inchi 32 imeungua!!
0 Reactions
1 Replies
297 Views
https://www.youtube.com/watch?v=r1yNAnTHyC0 Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amefika katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (JNIA) kama mgeni rasmi katika...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Sote tunajua ile miradi ya kipuuzi iliyopigiwa sana chapuo na Bashe, aliyoiita ni miradi ya ajira kwa vijana. Kupitia miradi hiyo, wizi mkubwa wa pesa umefanyika. Walisema kuwa gharama ya kuandaa...
4 Reactions
17 Replies
989 Views
Tazama jinsi Askofu Askofu Mkuu wa Kanisa la New Life Gospel Community Church (NLGCC), Dk. Daniel Ouma alivyogeuka kuwa 'Chawa wa CCM' kwenye ibada ya mazishi ya mke wa Gachuma Bukenye, mama...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mhe Makonda karibu jimboni Arusha utuwekee mazingira mazuri ya CCM kushinda 2025. Mhe Lema uchaguzi 2025 haitakua rahisi jiandae kisaikolojia.
0 Reactions
3 Replies
694 Views
Hawa watu ni wanasiasa waandamizi katika nchi hii, mmoja alikuwa mbunge Wa bunge LA Tisa na mwingine alikuwa mchambuzi mahili Wa siasa katika awamu ya nne. Kwa sasa hivi wapo wapi watu hawa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa tena Ili kulinda Demokrasia ya...
20 Reactions
113 Replies
5K Views
Benki ya Dunia WB Kupitia dirisha lake tanzu la mikopo Kwa Nchi maskini Maarufu kama IDA Imetoa Mkopo wa Dola Milioni 200 za Marekani ambazo ni sawa na zaidi ya bil.500 Kwa Ajili ya maboresho ya...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Veta, licha ya kuwapatia Watanzania elimu ya ujuzi kama nia na dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, na...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Watanzania tuna mazingira mazuri sana ya kupiga hatua kwenda mbele zaidi ya hapa tulipo. Lakini tatizo letu ni nidhamu katika maisha yetu, kila kitu kinafanyika kiholela holela hakuna njia thabiti...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Yale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi. Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa...
25 Reactions
102 Replies
7K Views
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya...
15 Reactions
91 Replies
10K Views
Yaani unajua kabisa mteuzi wako kafumba macho na kuziba masikio kisha anakurudisha kwenye mfumo ili ujipange kisha unaanza tena kufanya yaleyale yaliyokuondoa? Makonda kumbe ni kweli ndiye...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wanaJF wenzangu? Ndugu zangu... kama ilivyo ada, mimi huwa sipendi kuficha ficha mambo haswa yanayohusiana na maslahi ya taifa letu, hata kama mambo hayo kuna watu yatawagusa na...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka waumini wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT) kuhakikisha wanamuombea Rais Samia katika kazi yake ya kuliongoza...
1 Reactions
5 Replies
641 Views
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro, Salim Alaudin Hasham wakati akishiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Roma Kwiro wilayani Ulanga amesema viongozi wa dini wanatakiwa kudumisha amani na...
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Back
Top Bottom