Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sasa mtu anateuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha wewe unamchukulia poa Hao Wasanii wote wa CCM Upako wanaenda kuchukua Arusha kwa Mitume iwe Wakristo na hata Waislam Kijana kapelekwa Arusha...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Sababu zangu ni hizi:- 1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao. 2. Wanaziba nafasi za vijana. 3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena...
4 Reactions
13 Replies
438 Views
Akizungumza leo wakati wa ibada ya Pasaka, iliyofanyika Kanisa la Watakatifu wote jimbo la Mtwara manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala, akiwa...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Wakuu, Mtando wa ClubHouse umezuiwa kupatika nchini toka mwaka jana (2023) mwanzoni, ambapo huwezi kupata kupata huo mpakata utumie VPN. Hii ni ukiukwaji wa haki ya kujieleza na kupata kupata...
1 Reactions
12 Replies
857 Views
Uongozi ni mgumu sana na kamwe hakuna kiongozi anayepatia kuongoza kwa asilimia mia moja Kinachofanya uongozi kuwa mgumu ni kuruhusu washauri wengi walioko nje ya mfumo rasmi wa ushauri Kiongozi...
1 Reactions
3 Replies
394 Views
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa. Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea...
7 Reactions
119 Replies
12K Views
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imehimiza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kutenda mema na kudumisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Zanzibar ni nchi yenye historia...
10 Reactions
119 Replies
7K Views
Askofu Dr Malasusa amesema katika Pasaka hii Moyo wake umesikitika kuona na kusikia TENA watanzania wanawindwa kwa risasi Sote tumesikia ndugu yetu Ole sendeka ameshambuliwa kama Mnyama, amesema...
0 Reactions
3 Replies
641 Views
Kitu kikubwa nilichogundua ni kuwa, Namna pekee ya Kuyaokoa mashirika ya serikali yanayo andamwa na hasara kubwa ni namna ya kupata waendeshaji wawajibikaji. Imekuwa ni kawaida sana Kipindi hiki...
2 Reactions
19 Replies
559 Views
Ujumbe wake alioutuma kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii huu hapa
1 Reactions
12 Replies
457 Views
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na...
34 Reactions
59 Replies
5K Views
Kada maarufu wa CCM leo amefurahia kwa bashasha zote. Amempigia simu Paul Makonda na kumpongeza kwa kupata uteuzi wa heshima. Mbali na hilo amefurahia CCM kupata mchapa kazi na jembe.
13 Reactions
55 Replies
6K Views
Sijui bado ni mtoto kijana au kutokujielewa kwa umri japo tunasems kwenye Siasa hakuna adui wa kudumu huyu makonda alitakiwa sjishtukie kidogo kuangalia kushoto na kulia kwake mbele na nyuma...
1 Reactions
14 Replies
770 Views
Sichangii chochote angalia mwenyewe "Kasi ya ubinafsishaji/ugenishaji wa rasilimali za taifa inatisha. Ubinafsishaji kiholela ni ufujaji wa mali ya umma= uwizi wa jasho la wazalishaji.Tujifunze...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga . Kiukweli hii Nchi...
34 Reactions
105 Replies
7K Views
Kwa namna Mhe. Rais anavyowatumbua wale aliowasifia siku chache tu baada ya kuwasifia natoa rai wa wateule wa Mhe. Rais kijitafakari. Tarehe 4/4/2024 wakati anaapisha viongozi wapya atamsifia...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam, shalom!! 1. Tulipokuwa tukisubiri kupokea Mikataba mliyoiita HGA ya mkataba wa Bandari mlisema mikataba hiyo itakuwa wazi italetwa na kujadiliwa bungeni, hatujakaa sawa, tukasikia...
4 Reactions
27 Replies
966 Views
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akiwa na Ndg. Issa Haji ussi Gavu Katibu wa NEC- Oganaizesheni na mlezi wa Jumuiya za CCM pamoja na Mwenyekiti Jumuiya ya...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
4 Reactions
51 Replies
4K Views
Kufuatia na yanayoendelea Jijini Arusha , uwezekano upo mkubwa John Mongella kuteuliwa kuwa Mbunge na badae kwenda kugombea Ubunge Katika Jiji la Arusha akichukua nafasi ya Gambo ambaye Kwa kweli...
2 Reactions
8 Replies
987 Views
Back
Top Bottom