Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
ACT-Wazalendo wataka uchunguzi ufanyike. Chama Cha ACT Wazalendo, Tunalitaka Jeshi la Polisi Kuhakikisha, Linawakamata na Kuwafikisha Katika Vyombo Vya Sheria, Wote Waliohusika na Kifo Cha Katibu...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mbunge wa Simanjiro Mheshimiwa Christopher Ole Sendeka akizungumza na ayo kwa njia ya simu amesema ya kuwa kujibu mapigo kwa risasi kutumia bastola yake kumemsaidia kuokoa...
7 Reactions
103 Replies
5K Views
Wakuu, Chaguzi zimekaribia kuanza na tayari Wabunge wetu wameshaanza kurejea majimboni kushirikiana na wapiga kura wao kwenye masuala mbalimbali. Binafsi naona hizi ni sarakasi tu na uzi huu...
3 Reactions
11 Replies
795 Views
Habari ya Jumamosi. Ninayoheshima kubwa kukuandikia mama kukuambiatu kwa ufupi sana. Mama wewe haya yanayofanyika unayaona na unajua mengi kuliko sisi raiya wako. Hilo lipo wazi Ninachoweza...
3 Reactions
15 Replies
648 Views
Mzuka wanajamvi! Kati ya marais wanyenyekevu, honest, waelewa, wawazi na wenye hekima ni rais wetu wa Jamhuri ya muungano Tanzania Dkt Samia Hassan. Nampongeza kwa kuwa muwazi na kuweka wazi...
11 Reactions
23 Replies
931 Views
Kwa sauti ya unyenyekevu kabisa niiombe serikali iwe na huruma kwa wananchi wake. Nia ya kuanzishwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na bima ya afya ya taifa ni njema. Ila kinachoendelea...
3 Reactions
11 Replies
422 Views
Kwa dhati kabisa nampongeza mfuasi wa Mbowe, ndugu Yeriko kwa kutambua juhudi zinazofanya na serikali ya CCM chini ya Mama Samia Hassan Suluhu. Kaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook...
9 Reactions
65 Replies
4K Views
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Katazo la kutumia Kuni na Mkaa kuanzia January linahusu Taasisi zinazolisha zaidi ya Watu 100 na siyo Watu wote. Awali Waziri wa Mazingira Dr Jaffo...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam,Shalom. Nadhani swali linajieleza. Kwamba Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini? Ikiwa Ina dini, dini Gani? Na issue ya mtu KUFUNGA ni Tendo la Siri au la hadhara? Karibuni🙏
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Napongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar KULAANI waliojichukilia sheria mikononi wakidai kupiga marufuku kula adharani Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale...
9 Reactions
12 Replies
967 Views
Taasisi zetu hasa mashule na magereza zimejiandaaje na hili katazo?
9 Reactions
49 Replies
2K Views
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KAULI YA SERIKALI KUHUSU HOJA YA KUTOONEKANA KWENYE MATUMIZI YA SERIKALI SHILINGI TRILIONI 1.51 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya 49 ya Kanuni za...
16 Reactions
416 Replies
38K Views
Kutoka katika gazeti la TZD,mtu mmoja ameoandishwa kizimbani kwa kosa la kumuhusisha Rais Magufuli na sakata la upotevu wa sh trilioni 1.5/- ====== MFANYABASHARA, Henry Munisi (30). Mkazi wa...
6 Reactions
95 Replies
25K Views
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameibua tuhuma nzito bungeni kuhusiana malipo ya shilingi triliioni 1.5 ambazo hazijulikani zilipo alizotakiwa kulipa Mkandarasi Kampuni ya Arab Contractors kama...
14 Reactions
98 Replies
11K Views
Kimenuka! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mvutano mkubwa uliotokea Bungeni Dodoma leo na kusababisha mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga kuchemka kuliongoza bunge na kurudisha kijiti kwa Spika...
16 Reactions
106 Replies
13K Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, amesema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Januari 21, mwaka huu, kama...
26 Reactions
284 Replies
40K Views
WANA LUDEWA WASHIRIKI DUA YA KUMUOMBEA RAIS SAMIA,DC AANDAA FUTARI YA PAMOJA Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva,ameungana na wananchi wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe katika Dua...
2 Reactions
18 Replies
799 Views
Niaje waungwana Huyu Mhe. Innocent Bashungwa, alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wachache sana niliowaheshimu sana katika baraza hili la mawaziri wa raisi Samia. Kila alipopelekwa alionesha...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Ningekua Rais wa nchi ningemteua Mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ayub Ryoba kumrithi Gerson Msigwa kwenye nafasi ya usemaji mkuu wa serikali na nafasi yake Ryoba ijazwe na aliyekua mtangaji wa shirika...
8 Reactions
47 Replies
4K Views
Inaonekana wazi serikali haiwezi kuendesha shirika lolote. Mwendokasi na hasara za ATC ni mfano wa karibuni juu ya kushindwa huko. Mwendokasi unaenda kutafutiwa muwekezaji kutoka nje!! Huku ni...
20 Reactions
83 Replies
2K Views
Back
Top Bottom