Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Si vibaya kuinyoshea kidole pale kunapokuwa na shida. Kumekuwa na kasumba ya vijana wengi hawasomi mambo badala yake wanakosoa, kutukana na kulaumu bila hata kuchambua hivyo wanavyo ona havijakaa...
0 Reactions
6 Replies
448 Views
Wadau nawasabahi. Serikali ilisema inakabidhi bandari kwa wawekezaji ili kuleta ufanisi baada ya viongozi wazazi kushindwa kuiletea ufanisi. Serikali hiyo hiyo imekabidhi Mwendokasi kwa...
4 Reactions
22 Replies
984 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax, tarehe 28 machi, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubelgiji Nchini Tanzania Balozi Zsolt Meszaros na ujumbe...
0 Reactions
1 Replies
538 Views
Rais Samia amesema Ripoti za CAG zinafanyiwa Kazi na watu wanaokwenda kurekebisha makosa ndio sababu kuna Ongezeko la Hati Safi Rais Samia amesema 99% ni Hati Safi na 1% tu ndio Hati chafu...
9 Reactions
97 Replies
4K Views
Ni kubwa sana kiumbo, ikiwa kwenye hadhira, Ni Mamba kama wa Mombo, Sema ye hana madhara, Yakichambuliwa mambo, yatakutia hasira, Mamba huyu mamba gani, mbona hawezi kung'ata? Hukaa kimya...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Hii ni wazi kuwa NHIF iliyopo sasa inafanya siasa zaidi kuliko kujali Afya za watanzania. NHIF walianza kutoa toto kadi bila ya utaratibu au option watoto wa masikini watatibiwaje? Asilmia 90...
7 Reactions
54 Replies
3K Views
Hizi hapa Nukuu za Dkt. Biteko akifichua Mtao wa uhujumu miundombinu 1. ’'Tarehe 13 mwezi wa pili mwaka 2024, BAGAMOYO alikamatwa mtu mmoja pale akiwa na Lita 80 za mafuta ya Transfoma, kesi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Tarehe 29 Machi, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na TAKUKURU kwa mwaka 2021/2022. Ripoti...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanasiasa wenye mvuto na ushawishi kwa jamii chukueni tahadhari. Wapo watu wameletwa Duniani kuongozwa ila wanatamani kuongoza. Kipindi hiki hali ya tamaa uwaka sana mioyoni mwa wanasiasa. Malipo...
0 Reactions
4 Replies
733 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax, tarehe 28 machi, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya nje wa Hungary Bw. Peter Sziijarto na ujumbe wake katika...
0 Reactions
1 Replies
363 Views
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema...
13 Reactions
80 Replies
4K Views
Kuna mtazamo ambao umejengeka kwamba Serikali Haina lengo la kutengeneza faida bali kutoa huduma, mtazamo huu Kwa uono wangu hafifu nafikiri ndio chanzo kikubwa Cha baadhi ya mashirika kushindwa...
1 Reactions
4 Replies
387 Views
Kuna mambo yananishangaza sana kuhusu serikali ya Tanzania. Hili la serikali kumzua Mo asifunge viwanda vyake vya chai vilivyojifia limenishangaza sana. Bado sijapata mantiki kabisa. Kama lengo...
0 Reactions
1 Replies
375 Views
"Kama ningeweza kukivuta kisiwa hicho katikati ya Bahari ya Hindi, ningefanya hivyo." Alisema kwamba anafikiri mojawapo ya matatizo makubwa ya Tanganyika katika miaka ya baadaye itakuwa Zanzibar...
2 Reactions
12 Replies
767 Views
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua. === "Mimi nimepata wasaa wa...
11 Reactions
48 Replies
3K Views
Shirika la umeme Tanesco limekuwa likihujumiwa na watendaji wake Kwa maslahi binafsi na ya Kisiasa Ili kuikomoa Serikali. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati na NWM Dotto Biteko baada ya...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu, andiko hili ni fupi sana na nimatumaini yangu Mungu anabariki popote mlipo. Leo nipo na ujumbe kwa Rais wa Zanzibar, na kabla ya ujumbe, kwanza nimpe pole kwa kuondokewa na baba mzazi...
0 Reactions
3 Replies
421 Views
Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili. Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula...
13 Reactions
372 Replies
27K Views
Sikutegemea Mradi wa kubeba abiria Dar es Salaam akabidhiwe kampuni ya kigeni. Usafirishaji ni sekta ambayo Watanzania wanafanya vizuri sana. Nchi nzima mabasi yanamilikiwa watanzania wenzetu...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Wakomunisti sikubaliani nao katika mambo mengi sana. Wana upumbavu wao katika mambo mbalimbali ila linapo fika suala la nchi isiyo ya kidini wajua kweli kuchora mstari wa haki kwa dini zote...
0 Reactions
3 Replies
412 Views
Back
Top Bottom