Kutokana na utendaji kazi mzuri wa Lengai Ole Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro kuna haja ya mheshimiwa rais kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ili akapige kazi...
Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leo amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Ndg. Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi.
More to follow
Kwako Waziri wa Ardhi, Mh. Jerry Silaa. Pole sana na majukumu ya utatuzi wa migogoro ya ardhi.
Bila kupepesa macho, chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi ni watendaji. Watendaji wanapokuwa wamekaa...
Nilimsika Padre mmoja jumapili tatu zilizopita akihubiri juu ya suala zima la wito, yalikuwa ni mahubiri ya kina ambapo aliamua kufundisha kuhusu wito na michakato yake maishani.
Padre yule...
Katika jambo ambalo Mungu ameutendea haki ulimwengu huu ni lile la kila mtu kulipwa kulingana na matendo yake mwenyewe , yaani Mungu ameweza kuhakikisha kwamba kila mwanadamu aliyeumbwa kwa udongo...
Niliwahi weka Maada humu kipindi cha nyuma.
Kuna mikataba ya siri ya watu ndani ya CCM na Serikali ya ku retain watoto wao, hii ishu niliwahi elezwa na mtu wa kitengo kwamba kuna mikataba ya siri...
Wakuu heri ya sikukuu ya pasaka na poleni sana kwa mauaji ya askari wetu yaliyotokea huko Rufiji (Namuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina)
Baada ya salamu...
Jana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia...
Alikuwepo diwani maarufu kwa jina la Kanyanyila aliyeingia madarakani mwaka 2015 kuongoza kata yake ya Lusungo. Ilikuwa ni jambo la kushangaza kwa mwanamke kushikilia madaraka makubwa ya kisiasa...
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu...
Wadau,
Nimepata data muda si mrefu.
Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi...
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi maarufu kwa jina la Mzee Ruksa leo anatimiza miaka 90. Bado ana nguvu, mchangamfu, mcheshi na anapopata fursa, anawafundisha Watanzania matumizi ya...
Mashirika yasiyokuwa na hospital zao walitibiwa kwa Dr Mvungi, Dr Mtawali,Burhani, Ibrahim Haji nk
Nakumbuka pale Samora avenue kwa Dr Mtawali mapokezi yake tu unaanza kupona
Siku Hizi ukiwa na...
Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana.
This is cheap politics.
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.
Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako...
Ni jambo la uhakika kwamba sasa hivi serikali imepata ongezeko la takribani milioni 10 aliyokuwa analipwa hayati Mwinyi.
Napendekeza waajiriwe madaktari watano ili kuhudumia wananchi kutokana na...
Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu...
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo...
Ni aliyekuwa mbunge wa huko Njombe na waziri katika serikali ya awamu ya kwanza na ya pili Mhe. Jackson Makwetta amefariki dunia jioni ya leo.
Alazwe pema peponi
Chanzo: Ndugu wa karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.