Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kutokana na utendaji kazi mzuri wa Lengai Ole Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro kuna haja ya mheshimiwa rais kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ili akapige kazi...
1 Reactions
69 Replies
4K Views
Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leo amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Ndg. Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi. More to follow
39 Reactions
318 Replies
63K Views
Kwako Waziri wa Ardhi, Mh. Jerry Silaa. Pole sana na majukumu ya utatuzi wa migogoro ya ardhi. Bila kupepesa macho, chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi ni watendaji. Watendaji wanapokuwa wamekaa...
1 Reactions
5 Replies
455 Views
Nilimsika Padre mmoja jumapili tatu zilizopita akihubiri juu ya suala zima la wito, yalikuwa ni mahubiri ya kina ambapo aliamua kufundisha kuhusu wito na michakato yake maishani. Padre yule...
3 Reactions
10 Replies
586 Views
Katika jambo ambalo Mungu ameutendea haki ulimwengu huu ni lile la kila mtu kulipwa kulingana na matendo yake mwenyewe , yaani Mungu ameweza kuhakikisha kwamba kila mwanadamu aliyeumbwa kwa udongo...
34 Reactions
121 Replies
16K Views
Niliwahi weka Maada humu kipindi cha nyuma. Kuna mikataba ya siri ya watu ndani ya CCM na Serikali ya ku retain watoto wao, hii ishu niliwahi elezwa na mtu wa kitengo kwamba kuna mikataba ya siri...
22 Reactions
89 Replies
12K Views
Wakuu heri ya sikukuu ya pasaka na poleni sana kwa mauaji ya askari wetu yaliyotokea huko Rufiji (Namuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina) Baada ya salamu...
6 Reactions
147 Replies
40K Views
Jana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia...
108 Reactions
263 Replies
23K Views
Alikuwepo diwani maarufu kwa jina la Kanyanyila aliyeingia madarakani mwaka 2015 kuongoza kata yake ya Lusungo. Ilikuwa ni jambo la kushangaza kwa mwanamke kushikilia madaraka makubwa ya kisiasa...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu...
7 Reactions
89 Replies
5K Views
Wadau, Nimepata data muda si mrefu. Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi...
0 Reactions
428 Replies
64K Views
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi maarufu kwa jina la ‘Mzee Ruksa’ leo anatimiza miaka 90. Bado ana nguvu, mchangamfu, mcheshi na anapopata fursa, anawafundisha Watanzania matumizi ya...
2 Reactions
128 Replies
29K Views
Mashirika yasiyokuwa na hospital zao walitibiwa kwa Dr Mvungi, Dr Mtawali,Burhani, Ibrahim Haji nk Nakumbuka pale Samora avenue kwa Dr Mtawali mapokezi yake tu unaanza kupona Siku Hizi ukiwa na...
2 Reactions
6 Replies
548 Views
Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana. This is cheap politics.
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Taarifa yao hii hapa
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS. Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako...
245 Reactions
319 Replies
40K Views
Ni jambo la uhakika kwamba sasa hivi serikali imepata ongezeko la takribani milioni 10 aliyokuwa analipwa hayati Mwinyi. Napendekeza waajiriwe madaktari watano ili kuhudumia wananchi kutokana na...
2 Reactions
7 Replies
583 Views
Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu...
10 Reactions
147 Replies
34K Views
Moja ya Askari aliyeshiriki Ukamataji Kisutu amefunga kitambaa ambacho uvaliwa na waumini wa dini flani hasa kipindi Cha mfungo na sikukuu kuashiria vazi lenye star na linaloitambulisha dini hiyo...
3 Reactions
59 Replies
6K Views
Ni aliyekuwa mbunge wa huko Njombe na waziri katika serikali ya awamu ya kwanza na ya pili Mhe. Jackson Makwetta amefariki dunia jioni ya leo. Alazwe pema peponi Chanzo: Ndugu wa karibu na...
6 Reactions
141 Replies
27K Views
Back
Top Bottom