Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Maandamano yaliyofanyika kwenye majiji yalikuwa ya kumtahadharisha Rais asisaini uchafu uliopo mezani pake kuwa sheria, lakini kumkumbusha pia kuwa huko mtaani watu wanateseka kwa maisha magumu...
12 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zang, ama baada ya salam ningependa kuwaombea heri ya mwaka mpya. Ndugu watanzania wenzangu, historia yetu inatuambia kuwa baba wa Taifa mwl J.K. Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wapiganapo fahari wawili, nyasi ndizo huumia! Nini maoni yako juu ya picha hii mdau?
2 Reactions
5 Replies
742 Views
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania Chadema kimedai hali ya Maisha ni ngumu sana kwa Wananchi kumudu. Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD anasema maisha ni mazuri ndio sababu Magari mapya ni...
0 Reactions
8 Replies
522 Views
Hivi Karibuni tumesikia sera nzuri ya bima kwa wote Ila ikiwa na Changamoto kubwa ya utekelezaji Mkakati wa kwanza iliatakiwa kuumarisha kwanza mfuko wa NHIF Mpaka Sasa tumeshasikia tamko la...
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake...
33 Reactions
350 Replies
60K Views
Ndugu zangu Watanzania, Baadhi ya watanzania wanyonge wamempigia magoti Mh. Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa wakimuomba kwa unyenyekevu, upendo na heshima kubwa aweze...
2 Reactions
113 Replies
4K Views
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI...
13 Reactions
69 Replies
4K Views
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa...
23 Reactions
147 Replies
15K Views
Kifungu Cha 8(1) Cha Leaders Funeral Act No. 10 of 2002 Zanzibar kinasema Rais wa Zanzibar atatangaza kifo Cha kiongozi mzanzibar na Bendera kupepea nusu mlingoti. Iwapo Tanzania hawataunga mkono...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Anaandika mbunge wa Nzega Vijijini ukurasani X kwamba rafiki yake amekiri " kwa siku 4 mfululizo umeme haujakatika Dar tena una nguvu sana" Kigwangala anasema rafiki yake huyo aliyempinga Shujaa...
20 Reactions
76 Replies
7K Views
Huu ndio mtazamo wangu kwa saa kuhusu huyu mwanasiasa. Itachukua muda gani au ni lini atatuellliwa, hio ni swala la muda. Kupewa cheo serikalini pia inawezekana, lakini hili naliona sio rahisi...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Friends and Our Enemies, Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa...
2 Reactions
74 Replies
4K Views
Mara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi...
25 Reactions
46 Replies
4K Views
Hakuhitaji akili kubwa kujua upinzani Tanzania unaundwa na chama kimoja tu ambacho ni CHADEMA. Tanzania inajumla ya vyama 22 lakini kati ya hiyo chama pekee cha upinzani wa dhati ni CHADEMA na...
4 Reactions
9 Replies
725 Views
Wafuatao wanastahili maua yao kwa kazi kubwa ya kukipigania CCM hapa JF. Hawa ni legends wa Chama kilichobeba matumaini ya watamzania wote yaani CCM. Wamefanya kazi kubwa ya kukieneza chama JF...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Nimeambiwa Mgombea Urais wa Chadema 2025 ni aliyelemazwa Tundu Lissu. Jamani nafasi ya Urais ni nyeti na ya juu mno. Ni nafasi inayohitaji utulivu, akili na usawaziko wa akili. Lissu achana na...
2 Reactions
13 Replies
817 Views
Habari za leo wana JF, Kama kichwa Cha habari kinavosema ngoja nianalyse mtazamo wangu Kwa kuangalia connection iliopo ktk past event baada ya uhuru wa nchi za Africa, current events tulipo na...
1 Reactions
2 Replies
454 Views
Mimi binafsi nimetembelea vituo kadhaa vya BBT kwa upande wa Unenepeshaji mifugo kwa lengo la kujifunza. Vikiwemo Kikulula- Karagwe,Mabuki- Mwanza nk. Nimegundua yafuatayo; 1. Vijana wengi...
24 Reactions
81 Replies
7K Views
Back
Top Bottom