Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mwenzenu nimeamua kujifunza kwa kina huu Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA). Kwanza kwa sababu nasikia huwezi kuzungumzia mipango ya maendeleo bila kujadili au kujua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanzania! Some wat a strange country. - Got a whining president & prime minister. They publicly cry out on matters they 've jurisdiction 2 sort out themselves but sadly,end up whiners more than...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nilikuwa nasikiliza radio nikasikia msaidizi wa mkuu wa wilaya akisema kuwa wameunda timu ya vijana kufuatilia mabaki ya mabomu,halafu akasisitiza kuwa ana taarifa ya mabomu mawili kule...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Salaam, Nimekuwa nikishangazwa sana na jinsi nchi yetu ilivyoacha mambo mengi yajiendee yenyewe. Vitu vingi tumeviacha vijiendee hasa katika sekta ya uwekezaji, kipekee ile inayomilikiwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
My note! mimi hii nimeipenda sana,kama hawa watoto wameamua kuandamana itakuwa ni njia nzuri sana ya kuwafungua macho wazazi mbumbumbu na kuhamasisha vijana wote wa Tanzania kudai na kutetea haki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SIKUBALIANI kabisa na uamuzi wa serikali kusimamisha tiba ya Babu Samunge. Kama ni kujaa mbona Muhimbili hospitali ya rufaa ya taifa imejaa wagonjwa hadi kwenye sebule au corridors na hata neti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri mkuu Mizengo Pinda juzi binafsi amenichefua akili yangu sana, kwanini ameshindwa kutofautisha siasa na utendaji? Eti anampiga stop Dr. Magufuli juu ya upanuzi wa barabara zetu na kuuita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SIKUBALIANI kabisa na uamuzi wa serikali kusimamisha tiba ya Babu Samunge. Kama ni kujaa mbona Muhimbili hospitali ya rufaa ya taifa imejaa wagonjwa hadi kwenye sebule au corridors na hata neti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia kwenye BBC leo kuwa Baraza la Mawaziri litakaa siku ya Jumamosi hii (12/03/2011)kutathmini hali ya kuporomoka kwa uchumi nchini. Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Political analysts and activists have criticised President Jakaya Kikwete’s advisers over misleading or outdated information provided to the Head of State.The President has apparently been relying...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzania has started benefiting from Turkish investors, who are fulfilling their promise to invest, produce products in the country for export to Turkey and other countries. The investors have...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fellow Tanzanian, the CCM has given us a minimum of 50yrs to kick them out, think now is the time to elevate and exponentiate our efforts so we can reduce it to atleast 20. Just becoz they...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
baada ya uchunguzi nilifanya kwa muda mrefu nimegundua tanzania ni nchi pekee ambayo haina raisi/kiongozi mawaziri wamekuwa wanazozana kama watoto wanaofuatana katika familia jk sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KAMATI ya Nishati na Madini imeamuru kuwashwa mara moja kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya Kampuni ya Dowans ili kupunguza tatizo la mgawo wa umeme. Hatua hiyo ni kati ya maazimio na...
0 Reactions
82 Replies
7K Views
Wanajf hii nayo imekaa vizuri. inafikia hadi wenyewe wanakiri udhaifu wao :hand:CCM Dar: JK amekwama • Yataka mitambo ya Dowans kuwashwa haraka na Betty Kangonga...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Unaamini ya kwamba Historia inajirejea ? Nikweli kuwa Kura za Waislamu zinamchango mkubwa kumuweka Raisi yeyote madarakani hapa Tanzania. Hili lilianza tangu wakati wa Mwalimu Nyerere. Muulizie...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tanzania Police Brutality: Zanzibar Nov 2005 (Part 1)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SERIKALI imesema propaganda zinazoenezwa na CHADEMA katika maandamano ya kutaka kuiondoa madarakani serikali ni sawa na ndoto za mchana. Hatua hiyo inatokana Tanzania kutawaliwa kwa kufuata mifumo...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kutokana na ubovu wa barabara ya kuelekea loriondo kwa babu, mbunge wa moshi mjini ndesamburo ametoa helcopta yake kupeleka wagonjwa mahututi kupata tiba kwa babu. Source: tbc-habari.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom