Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pichani Elias John Eliasi John (28) of Kigamboni Vijibweni is accusing a police officer of Minazini station of injecting a liquid suspected to be acidic into his eyes causing him permanent...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani wanaJF ni masikitiko makubwa kwa yaliyowapata rafiki na ndugu zetu wajapan! Lakini kwa haraka naomba kuuliza kama wote tumeenea! Isijekuwa kati yetu wamesafiri kwenda japan kwa mapumziko na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau ebu tufuatilie tuone kitakachozungumzwa.,ni kuanzia saa moja na nusu asubuh hii.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wandugu wapendwa! kwa kiasi fulani kile kilio cha ofisi ya chama cha demokrasia na maendeleo kuwa na ofisi ya mkoa yenye kufikika kwa urahisi (strategic location) na watu wengi (busy street) na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Haya tena Tanesco kupitia tuico yao wamesema dowans halipwi centi 5 na artmus waondoke kwa kushindwa kazi mikoa ya kusini Source tbc
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello wana JF Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hii ni sawa na kututisha.kwanini wasifanyie mapolini au baharini?hatutishwi na ndege.maandamano yapo palepale.
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Kweli chama cha CHADEMA kinazidi kujiwekea hazina ya wasomi hapa nchini na kinakubalika kwa asilimia kubwa sana kwa wanafunzi wa vyuo vikuu. Hivi karibuni wanafunzi wanachama na wakereketwa wa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Ningependa kufahamu mawazo yenu, je sisi ambao tumepata nafasi ya kuchangia katika hoja mbali mbali humu kwenye JF na forums nyingine, je tunaweza kubeba mawazo ya watanzania wote?, je ndizo hasa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kUNA MWELEKEO MPYA WA MIJADALA HAPA NCHINI KUTOKA KWENYE UFISADI HADI KWA BABU LOLIONDO.JAMANI NCHI HII INA TATIZO KUBWA LA UONGOZI TUJADILI HAYO TUMWACHE BABU AFANYE MABO YAKE HIVI NANI...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kuna sababu gani ya kuwa na hizo bajaji wakati hospitalini hakuna madakitari wa kutibu wagogwa na kama unadharula unazipataje hizo bajaji mimi naona huu ni wizi mwingine wa kikwete na kundi lake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KULIKUA NA SABABU GANI KIKWETE KWENDA KUMCHAGUA HUYO WAZIRI MKUU PINDA AMBAYE HALIKUA AJULIKANI, SIFA KUBWA YA PINDA NI MTOTO WA MKULIMA, NA NI KWELI MAANA ASILIMIA ZAIDI YA 80% YA WATANZANIA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika mambo yanayonishangaza ni mpango wa serikali kuingiza pikipiki aina ya bajaji zilizopewa jina kuwa za kisasa kubeba wanawake wajawazito...na kwa upande wa pili wabunge wetu wakipigiana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumbe ilikuwa mshike mshike wanawani,Mnyika,Slaa,mbowe funika bovu ebu gonga hapa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
* Blaise Campaore played a key part to kill Nyerere's Idealistic revutionalist Thomas Sankara. Blaise Campaore is gready for power now is AU peace Council is this a joke? * Jacob Zuma said he...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
RC ARUSHA agoma kusitisha huduma ya Loliondo, asema - hajapata barua yoyote kutoka wizarani - kwa hali ya sasa na wingi wa watu ni vigumu kusitisha huduma hiyo SOURCE : mwananchi update...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tuache unafiki na ubishi wa kujifurahisha nafsi wa funika kombe mwanaharamu apite. Ukweli ni kwamba bara la Africa limevamiwa na wageni wengi kutoka nje. wengi wa wageni hao ni Wazungu,wahindi...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Wanasiasa na sisi tunaojiita wasomi tumekuwa tunaongea sana . lakini tunashindwa kuonyesha mifano japo mara moja au masaa machache kwa wiki. Ni mwanasiasa , kiongozi u msomi gani yuko tayari...
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Kama mwakyembe aliweza kuvaa magwanda na kusimamia ukweli na haki kwenye ile tume hawezi kushindwa hili. Sitta naye Alijipatia sifa kem kem kwa bunge lake kwa msemo wa speed and standard. Sasa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom