Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna baadhi ya wanasiasa na wanaJF walibeza maandamano ya Chadema kuwa hayatakuwa na impact yeyote, wengine wakadiliki kusema Chadema hawatapata watu Mwanza, lakini kadili siku zilivyoendelea...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Malcolm X I am for violence if non-violence means we continue postponing a solution to the American black man's problem just to avoid violence I don't even call it violence when...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanaJF, Inawezekana wengine wamefungua thread hii wakiwa wamefura kwa hasira baada ya kusoma title. Lakini ukisoma kwa umakini ninachotaka kueleza bila shaka hasira zitapungua au...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jakaya Kikwete ameongoza Tanzania kwa zaid ya miaka mitano sasa je kama mtanzania ni jambo gani ambalo litakufanya umkumbuke kama Rais wako?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama ulikua ujaona walichofanya police huko tarime kacheke mwenye sikuweka ku copy hizo video zina protection www.lifeofmshaba.com: POLISI WALIFANYA UNYAMA TARIME wakati wa uchaguzi mdogo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni nashanga kuona kamati ya ulinzi iwe ya kitaifa au kimikoa zinafuatilia "wanaopandisha bei ya Sukari" na kuacha kufuatilia mambo mengi yanayo tokea katika jamii ambayo yana madhara makubwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jakaya Kikwete ameongoza Tanzania kwa zaid ya miaka mitano sasa je kama mtanzania ni jambo gani ambalo litakufanya umkumbuke kama Rais wako?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi, Serikali kupitia kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Haji Mponda ilimwagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kusitisha kwa muda utoaji wa huduma hiyo hadi itakapojiridhisha kwamba dawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jf ningependa kujuwa hivi vazi la Taifa letu Jamhuri ya Mungano wa Tanzania ni lipi haswa? kwani ktk ile siku ya waafrika huwa naona watu wengi kutoka afika kila mtu kavaa vazi lasmi la nchi...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
* Kamati ya siasa ya mkoa yabariki * Nikutokana na utoro wa vikao kwa miaka Nane WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji Prof, Mark Mwandosya ambaye ni mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya Chama Cha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wapendwa mpo?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
jamani haja jamaa walileta shule za kata nikapeleka mtoto wangu hakapoteza miaka minne katoka bila cheti, sana wamekuja na hili la bajaji swali ninalojiuliza hizi bajaji zinawapeleka watu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
"Dr.Mponda,waziri wa afya..SERIKALI YASITISHA HUDUMA ZA BABU LOLIONDO.,William Lukuvi,waziri wa sera na bunge..HUDUMA ZA BABU LOLIONDO KUENDELEA..."ni maneno ya mawaziri wawili walioko ktk baraza...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Kwa maelezo ya waziri Mh Lukuvi jana 'serikali haijawahi kusitisha tiba ya babu wa Loliondo' kila mtanzania anayefuatilia anajua huo ni uongo. Swali langu mbona tunakosa uungwana wa kukubali kuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello wana JF Ningependa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo Nashukuru wana JF kwa michango yenu na habari mnazotuletea sisi kwetu ikiwa ni changamoto kwetu kujua mambo yanavyokwenda nchini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
March 11th, 2011 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mchana wa leo, Ijumaa, Machi 11, 2011, amerejea nyumbani kutoka kwenye ziara ya kikazi mjini Addis...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Waziri mkuu wetu mizengo pinda kalemewa na utajiri kiasi kwamba haoni kama nchi yote wananchi wana hali ngumu ya maisha anajifanya kusikitika kwamba ngara hali ni mbaya zaidi wakati hata kwao...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Juzi nilibahatika kusikiliza radio moja ya kidini, Radio Imaani, watangazaji waliokuwa studio, walinukuu gazeti moja li kiislam, likihoji suala la DOWANS ni mmliki au kanzu yake. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni kufaham kuhusu makamu wa mwenyekiti wa chadema, Mara ya mwisho nimesikia kuhusu yeye alikua ana pelekwa India kwa matibabu! Bado yuko india au hali yake inaendeleaje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom