Najua kuwa jimbo la musoma vijijini linaongozwa na nimroad mkono,lakini nackia kuwa jamaa huyuu anampunga wa kutisha,naye tunaweza muweka kundi la mafisadi au?
Membe amesema Gbagbo ataondolewa kijeshi ili kumpisha rais halali Alassane Outtara. Amewataka watanzania kutambua kuwa vita itakayotokea nchini humo ni halali na yenye lengo la kupigania...
jana nimeangalia Taarifa ya habari ya jioni Saa 2 TBC ikatoa habari ya kikao cha CCM huko musoma juu ya kipi kimesababisha Musoma karibia majimbo yote kushikiliwa na Chadema na hapo ndipo...
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema uhusiano baina ya chama chake na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuunda serikali moja ya kitaifa visiwani Zanzibar...
Waziri mkuu wa japan Naoto khan akiongea na press confernce live CNN.Huyu kiongozi anaelezea madhara halisi ya tsunami iliyoikumba nchi hiyo.Tofauti na niliyozoea kuona hapa kwetu,huyu anaongea...
Habari wa kuu,naamini weekend yenu inaenda vizuri na mnaedelea kufurahia maisha kama mlivopangiwa na wajanja.
Tumekuwa tukilalamika sana kuhusu masuala haya,"ufisadi" na "umasikini" naomba...
Wadau,
Heshima kwenu wote.
Napenda niulize na tueleweshane na kufundishana baina ya kizazi cha zamani na cha sasa juu ya mambo ya nchi yetu, ili iwe rahisi kujadiliana na kujuzana.
'Hivi...
Ni jambo la kawaida kusikia aaa ni mapenzi ya mungu au aaa mungu amemwita'
pale inapotokea mtu au watu kufariki dunia. Swali langu ni -Hivi ata kibaka sugu,
jambazi sugu,tapeli sugu nk. ikatokea...
Kufuatilia hali ya kutowajibika kwa serikali na hasa ikizingatiwa kuwa moja ya sababu ni kukosekana mtu wa kuwawajibisha viongozi; natoa rai kuwa katika uchaguzi ujao ndani ya chama, Kikwete...
Rais wa Tz alinukuliwa akilalamika chadema wanataka kuvuruga amani,akafuatiwa na mawaziri wake,leo waziri wa mambo ya nje naye analalamika,viongozi wote wanalalamika,
najiuliza kama kweli Jk ni...
Hivi ni Mtanzania gani asiye penda haya?
1. Makazi bora.
2. Afya bora
3. Elimu bora
Nnaimani kila mtanzania hicho ndicho akipendacho, CCM ilipewa muda wa miaka50 itimize hayo, lakini ukweli...
japo si mwanamazingira, lakini suala la mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa ni dhahiri na linaweza kutamalaki mahala popote Mungu akiamua.
Tunakumbuka ya Kimbunga Katrina kilivyoitafuna New...
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amepokewa wilayani Missenyi kwa mabango yanayokemea kauli za CHADEMA zinazoashiria uvunjivu wa amani.Katika hali inayoonyesha kukerwa na siasa za namna hiyo, wananchi...
Nimejaribu kuangalia tume nyingi zinazoundwa hapa tz hasa chini ya serikali nakugundua nyingi hazina tija zaidi ya watu kujinufaisha kwa kupata posho. Punde majanga yanapotokea au ubadhilifu...
nimekutana na hii picha kwenye mtandao ikionyesha waziri wetu wa elimu tena mwenye shahada ya uzamivu katika uhandisi ikiwa anaomba kura. sasa mtu kama unampa wizara nyeti kama ya elimu unategemea...
Ndugu wanaJf, ni muda umepita sasa toka mh. Rais alipotoa msimamo wake, wazo lake juu ya kuanzisha Constitution Review committee itakayo uhisha katiba ya sasa na mahitaji ya wakati huu, na toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.